Kibiti mpaka laana ya Cabo Delgado: Part II

Kibiti mpaka laana ya Cabo Delgado: Part II

Kipindi tuko secondary miaka ya 2008- kuna vijana wenzetu tuliokua nao tangia utotoni mtaani sasa ghafla tu walibadilika wakawa ni watu wa itikadi kali sana hata ile kujumuika na sisi kwenye michezo wakakata kabisaa afu mazungumzo yao yalijaa sana chuki dhidi ya wasioamini kama wao.

Mara ghafla walipoteaga hadi leo sijawahi kuwaona, kweli huu mtandao unaweza kuwa ni mkubwa sana hata hapa nchini tuwe makini.
 
Wa kibiti walikua wanaua viongozi wa CCM,polisi,hawakua raia,nilikua huko kipindi hicho,palikua na maneno mitaani kwamba hao jamaa walifunzwa na mtu/watu toka jeshini
Wa Kibiti walikuwa dini gani?Ulivyokuwa huko kipindi hicho uliwahi.kukemea mauaji hayo?
 
Alipohojiwa, alisema kauli hii; "Mungu, wasaidie watu wale."

Kipi kilichompelekea azungumze haya,?Alikwenda kuwasaidia,halafu anaondoka anajua fika anawaacha matatani.

Nirudie unielewe,Alikwenda kutatua tatizo,tatizo halijesha anaondoka na anawaombea Kwa Mungu.Aligundua Nini?
SteveMollel
Aliondoka kwa mujibu wa mkataba alopewa na jeshi la polisi. Huduma yake ilikuwa inatamatika April 6, 2021 hivyo asingeweza kuendelea.
 
Ni kweli ni ndoto😀

Kwamba wao JWTZ na JKT ni special sana hapa duniani😀
Sio special hapa duniani, ila kwa Tanganyika hii (isome Tanzania) ni special sana, wamefanikiwa kuthibitisha hilo pale wanapohusika / wanapohitajika.

Hao hao JWTZ unao wasifia ndio mambo ya panya road yametokea hapa hapa nchini tena chini ya vitoto vidogo tu na watu wazima kulazwa ndani mapema kama kuku.
JWTZ wanahusika vipi na panya road?

Unatambua majukumu yao ya kiutendaji katika nchi hii? Vizuri kabisa?

Hili hili taifa ndilo yale ya kibiti yalitokea na JWTZ ikiwepo.
Na hapo ndipo heshima yao ndani ya mipaka ya hii nchi ilisimama tena.

Fatilia zaidi kuhusu Kibiti, akikisha hauko intoxicated with hate, biasses or ignorance ukiwa tafitini.

Rais wa nchi mchonga alinusurika kupinduliwa na hao hao JWTZ wengine kwa zaidi ya mara moja.
Ni vizuri zaidi unapotaka kulizungumzia jambo, haswa hadharani Kama hivi, Jitahidi uwe na details sahihi.

Jiepushe na mihemko katika kuwasilisha hoja.

Wewe unafikiri hao vijana wa JKT wataendelea kuwa humble miaka yao yote huku umasikini ukiwatandika vilivyo na wanaona wakubwa wao wakitumbua tu mali na kufanya ufisadi na viongozi wa serikali huku wao wakiimbiwa uzalendo.
Nimekuuliza hii program ya JKT mujibu + hiyari imeanza Mwaka gani?

Si ajabu umezaliwa umeikuta!

Sasa katafiti ilianza lini, sababu za kuanzishwa kwake na wako wapi wahitimu wote ndani ya miaka hiyo yote.

Hao viongozi wa serikali hawajashushwa toka mbinguni, ni matokeo ya jamii yetu na wewe ukiwemo.

Kwa kifupi tu; Viongozi wa Tanzania ni reflection ya Wananchi wa Tanzania.

Unafikiri watu wanakula uzalendo etii ehhhh nakusisitiza hawa vijana sio kwamba hawawezi kufanya ila wanakosa supplier wa silaha tu maana kila sababu ya ku go against serikali wanayo hawahitaji kuambiwa na yoyote.
Uzuri ni kwamba wewe sio muwakilishi wao so maneno yako haya ni Sawa na mashairi ya Segere jandoni.

Nina hakika hukupita JKT mujibu wala hiyari, adabu yako iko uchi.

Ubaya au uzuri mtaani maisha kila siku yanazidi kuwa tight kwa sababu ya uongozi na hakuna mabadiliko yoyote yale.
Siku itakayofika ya kumface mchawi halisi wa nchi hii, Tanzania itanyanyuka.

For now, let’s keep on the hunt for the Witch who resides in our own hearts.

Hata huko Msumbiji naamini kabisa walikuwepo wananchi na viongozi waliokuwa wana ongea kama wewe awali ila leo hii kiko wapi ?
Again; tafiti taarifa zako kwa umakini na uzipate sahihi ndipo uwasilishe hoja hadharani.

Unaifahamu history ya Msumbiji vizuri?

Tanzania leo hii tu kuna vijana wamepotea na hawaeleweki walipoenda.
Wataje kwa majina na uweke history ya masaa yao 72 kabla ya kupotea kwao.

Official reports only Pls, Siasa Hapana.

Ogopa sana mtu aliyechoka umasikini na akapata silaha huyu maana ya maisha kwake inakuwa haina uzito tena.
Unless useme wewe ndio hujui hizo silaha zinakopatikana ama unataka ramani ya kufika huko na kununuliwa kabisa. Unapenda kamseleleko eeh?

Watanzania wakiuchoka umasikini kwa dhati toka moyoni watajua cha kufanya.







It’s all by design, no accidents in Life.
 
Kaka hai si ndio wale waliokimbia Kibiti kwanini sio ugaidi
Sina uhakika na wala sijui kwa sababu hakuna independent sources zilizotoa taarifa za uhakika kuhusiana na suala la Mauaji yaliyojiri huko MKIRU (Mkuranga, Kibiti na Rufiji). Na hata Serikali yenyewe ya Tz haijawahi kutoa taarifa za ukweli, hakika na za kuaminika kuhusu suala hili. Badala yake zipo tu taarifa za juu juu na rumors kwamba Mauaji hayo yalikuwa ni matukio ya kigaidi, hali inayoibua maswali mengi Sana bila ya kupata majibu. Kama kweli Mauaji hayo ya huko MKIRU yalitokana na vitendo vya kigaidi, Je, kwa nini Watu waliokuwa wakilengwa na wauaji walikuwa na sifa fulani fulani za kufanana????Ni kwa Nini Mauaji hayo ya 'kigaidi' yalifanyika kwenye hilo eneo dogo tu la MKIRU na Wala siyo ktk mikoa yote ya Tanzania yenye Waislamu wengi???? Why MKIRU only????
 
Hawa jamaa ni hatari kwenye ushawishi kuna washkaji nilisoma nao Darasa moja,mmoja primary na mwingine secondary Uko Rufiji waliingia uko Mmoja akala shaba mwingine yupo keko hapo,ndugu zake walijuaga ameshakufa.
 
stop-isis.jpg
 
Sina uhakika na wala sijui kwa sababu hakuna independent sources zilizotoa taarifa za uhakika kuhusiana na suala la Mauaji yaliyojiri huko MKIRU (Mkuranga, Kibiti na Rufiji). Na hata Serikali yenyewe ya Tz haijawahi kutoa taarifa za ukweli, hakika na za kuaminika kuhusu suala hili. Badala yake zipo tu taarifa za juu juu na rumors kwamba Mauaji hayo yalikuwa ni matukio ya kigaidi, hali inayoibua maswali mengi Sana bila ya kupata majibu. Kama kweli Mauaji hayo ya huko MKIRU yalitokana na vitendo vya kigaidi, Je, kwa nini Watu waliokuwa wakilengwa na wauaji walikuwa na sifa fulani fulani za kufanana????Ni kwa Nini Mauaji hayo ya 'kigaidi' yalifanyika kwenye hilo eneo dogo tu la MKIRU na Wala siyo ktk mikoa yote ya Tanzania yenye Waislamu wengi???? Why MKIRU only????
Sina uhakika na wala sijui kwa sababu hakuna independent sources zilizotoa taarifa za uhakika kuhusiana na suala la Mauaji yaliyojiri huko MKIRU (Mkuranga, Kibiti na Rufiji). Na hata Serikali yenyewe ya Tz haijawahi kutoa taarifa za ukweli, hakika na za kuaminika kuhusu suala hili. Badala yake zipo tu taarifa za juu juu na rumors kwamba Mauaji hayo yalikuwa ni matukio ya kigaidi, hali inayoibua maswali mengi Sana bila ya kupata majibu. Kama kweli Mauaji hayo ya huko MKIRU yalitokana na vitendo vya kigaidi, Je, kwa nini Watu waliokuwa wakilengwa na wauaji walikuwa na sifa fulani fulani za kufanana????Ni kwa Nini Mauaji hayo ya 'kigaidi' yalifanyika kwenye hilo eneo dogo tu la MKIRU na Wala siyo ktk mikoa yote ya Tanzania yenye Waislamu wengi???? Why MKIRU only????
Ule ni ugaidi wale jamaa walitumia njia ya kuwalenga viongo wa serikali na chama ili wapate uungwaji mkono na Wananchi.
 
Wa Kibiti walikuwa dini gani?Ulivyokuwa huko kipindi hicho uliwahi.kukemea mauaji hayo?
Mi si mwendawazimu kukemea mtu nisiyemjua,siwezi kupayuuka kimajnuni kinywa kipana hadharani,barabarani,sokoni,ndani ya basi Kama wale wahubiri wa dini ile
 
Back
Top Bottom