Kibiti mpaka laana ya Cabo Delgado: Part II

Asante Tivu Kwa Uzi murua na shemeji yangu alikuwa moja ya magaidi mmoja ya wale Mwema alionesha picha zao jamaa alikuwa fundi fenicha keko mlevi kila siku police ghafla akabadilika mtu wa dini vilemba ndevu kuna Sheikh Tandika akampa mtaji(Sheikh nahisi ndo alokuwa kiongozi wao alouliwa)basi jamaa akakataa ndugu wote marafiki including my hubby anasema makafiri jamaa hataki kuhesabiwa sensa hataki familia yake watibiwe hospital mkewe kujifungua anamzalisha mwenyewe to cut a story shemeji alihusika na mauwaji ya stakishari hata shamba kule mkuranga zilipo fukiwa bunduki na sanduku la pesa shamba lake akakamtwa kwake Toa Ngoma hapo baada ya picha yake na wenzie kutoka magazetini wenzake wengine wakatorokea msumbiji yeye aka kamatwa sijui alipelekwa wapi maana ndugu walifatilia hawapewi majibu ya kueleweka ndugu yake akaja kumpa mume wangu taarifa mwenzio amafariki polisi wamekuja kutuambia tukatambue maiti Muhimbili mume wangu akaenda nae akamtambua anasema wala hakuwa na majeraha sijui walimfanyaje 😁yaani nilitetemeka sana kujua Shem gaidi naikumbuka Toa Ngoma kwake alikuwa hanipendi oiiii oiii anitazama macho makali kumbe nimevaa nguo za kubana wig amiona kafiri anatamani anipige risasi mpaka leo kama namuona sura yake ya kutisha hacheki imagine aliowa lakini mume wangu hamjui mkewe akienda mke haruhusiwi kutoka ndani yeye ndo anahudumia Kwa kweli nashukuru serikali yetu ilipambana tungekuwa pabaya RIP Magufuli nasikia walikuwa wana kamata hata familia mzima inayo husika unafatwa unahojiwa unapotea ndo wale viroba vya baharini Mungu ilinde nchi yetu na Madhalimu wazazi tusomeshe watoto elimu za dini wajue wasiwe brain wash na wapuuzi wanao tumia mwamvuli wa dini hakuna uislamu wa kuuwa aisee.
 
Nimeishi Pemba Cabo Delgado province aisee wa Tz tunaogopwa ukiongea kiswahili unaonekana Al Shabab 😂na kaka yangu sura ya kisomali akawa anaongea kiswahili wakam ripoti Al Shabab 😁ila alitoka wale watu waoga sana maaana wengi hawajasoma wanaogopa Uchawi Mganga Sheikh na Al Shabab.

Rafiki yangu Mzungu alikuwa ana lima mahindi Montepues wakawa wanalindwa na wanajeshi alishindwa aisee hao Al Shabab karudi Tz asikari wa Mozambique waoga wanavua nguo wanavuaha raia wasiuliwe na Al Shabab 😂
 
Aisee. Hii ni thread kabisa, Nourhan.
 
Huyo ndo' umtegemee akulinde.
 
Aisee. Hii ni thread kabisa, Nourhan.
Natamani niandike Uzi nielemishe wazazi watoto wanabebwa sana kuwa recruiting kwenye Ugaidi wa kike wanakuwa Al Shabab Bride wapewe mafundisho ya dini ambapo mtu akija kumpotosha asipotoke kama Zanzibar watoto wengi wanachukuliwa sana na Kenya.
Aisee. Hii ni thread kabisa, Nourhan.
 
Si mchezo
 
Natamani niandike Uzi nielemishe wazazi watoto wanabebwa sana kuwa recruiting kwenye Ugaidi wa kike wanakuwa Al Shabab Bride wapewe mafundisho ya dini ambapo mtu akija kumpotosha asipotoke kama Zanzibar watoto wengi wanachukuliwa sana na Kenya.
Itasaidia
 
Natamani niandike Uzi nielemishe wazazi watoto wanabebwa sana kuwa recruiting kwenye Ugaidi wa kike wanakuwa Al Shabab Bride wapewe mafundisho ya dini ambapo mtu akija kumpotosha asipotoke kama Zanzibar watoto wengi wanachukuliwa sana na Kenya.
Ukiandika, nishtue.
 
Kabla sijamaliza kusoma hercopta ilibeba mbwa uma acha watu weusi
 
Sio kweli Jwtz halijawahi kufukuza wanajeshi ambao hawakufika form four tafuta taarifa vizuri mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…