Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww unaona mwenye kiburi ni nan hapoKinachoendelea Gaza kwa sasa ni matokeo ya level ya juu zaidi ya ujinga wa wapalestina na kiburi cha Hamas. Wapalestina wanaendelea kufa pasipo ulazima na eneo la Gaza kwa sehemu kubwa linakwenda kuwa chini ya udhibiti wa mamlaka ya Israel. Kwa sasa Israel imesema wazi haya, haijutii chochote ikiwa itawapoteza mateka wake wote waliobakia mikononi mwa Hamas, kasi na nguvu ya operation zake za kivita ardhini imeongezwa maradufu kuelekea upande wa kusini mwa Gaza ili kufuta uchafu wowote wa kigaidi!
Embu sote tujiulize haya maswali ya msingi ili kupima upeo wa wapalestina na kiburi cha Hamas:
1. Kulikuwa na ulazima wowote wa Hamas kufanya tukio la 7 oktoba?
2. Hamas ilifahamu nini kibaya dhidi yao na wapalestina kingefuata kutoka kwa Israel baada ya tukio lile?
3. Wapalestina wanafaidika nini kuendelea kuwakumbatia Hamas mpaka leo hii?
4. Wapalestina walikuwa wanajua gharama za kuwakumbatia Hamas zikoje?
5. Kama wapalestina wanajua waisrael ni watu katili na wenye kudhamiria kile walichokisema wakikikusudia, kwanini Wapalestina wengi wasiokuwa na hatia (wanawake na watoto)wameendelea kubakia maeneo yale yale ambayo yalitangaziwa vita hata baada ya kutakiwa kuondoka?
6. Kama tangu mwanzo Wapalestina, Hamas na dunia nzima wanajua wazi mwisho wa vita hii Hamas itakuwa kwa sehemu kubwa imefutika kabisa, wapalestina wengi wamekufa na eneo karibu lote la Gaza kuwa chini ya udhibiti wa Israel, kwanini waligoma kusalimu amri mapema tu?
7. Kwanini wapalestina (wanawake, watoto, vijana na wazee) walishangilia na kusheherekea kwa shangwe kubwa tukio la Hamas la 7oktoba la kuvamia, kuteka, kuua raia wasiokuwa na hatia wa israel na mataifa mbalimbali?
Walijua nini kingefuata?
Walishindwa kulaani na kuomboleza?
8. Kuna ulazima gani kwa Hamas kuendelea kushikiria mateka wa kiyahudi mpaka leo hii?
9. Kwanini wapalestina walishindwa kutumia vyema muda wa usitishaji mapigano? Nini mantiki ya kubakia hapo hapo kwenye uwanja wa vita kama hawako tayari kufa, kujeruhiwa au kuishi kwa mateso wakati kuna upenyo wa kuondoka umetolewa?
Kwanini Hamas haikutumia huo muda kusalimu amri ili kuepusha umwagaji damu kuendelea?
10. Ni vipi mpaka leo hii wapalestina bado hawajagundua kuwa wao wanatumika na baadhi ya mataifa ya kiarabu kama chambo tu ya kupambana na Israel?
Kwanini hawajiulizi mataifa ya kiarabu yanaishia kulaani tu lakini hawapeleki askari wao kule kupigana?
UJINGA NI MAUTI...
KIBURI NI KABURI....
AKILI YA KUAMBIWA CHANGANYA NA YA KWAKO...
Walichokifanya hamas ndio kinakubalika na dunia yote?!Umeamua kuchagua upande,
Anachofanya ISRAEL hakikubaliki na dunia yote kwa ujumla, na iko siku watalipia haya watendayo,lini?,"inabaki kuwa brackets"
Ngoja ndugu wa wapalestina katika imaan wajeKinachoendelea Gaza kwa sasa ni matokeo ya level ya juu zaidi ya ujinga wa wapalestina na kiburi cha Hamas. Wapalestina wanaendelea kufa pasipo ulazima na eneo la Gaza kwa sehemu kubwa linakwenda kuwa chini ya udhibiti wa mamlaka ya Israel. Kwa sasa Israel imesema wazi haya, haijutii chochote ikiwa itawapoteza mateka wake wote waliobakia mikononi mwa Hamas, kasi na nguvu ya operation zake za kivita ardhini imeongezwa maradufu kuelekea upande wa kusini mwa Gaza ili kufuta uchafu wowote wa kigaidi!
Embu sote tujiulize haya maswali ya msingi ili kupima upeo wa wapalestina na kiburi cha Hamas:
1. Kulikuwa na ulazima wowote wa Hamas kufanya tukio la 7 oktoba?
2. Hamas ilifahamu nini kibaya dhidi yao na wapalestina kingefuata kutoka kwa Israel baada ya tukio lile?
3. Wapalestina wanafaidika nini kuendelea kuwakumbatia Hamas mpaka leo hii?
4. Wapalestina walikuwa wanajua gharama za kuwakumbatia Hamas zikoje?
5. Kama wapalestina wanajua waisrael ni watu katili na wenye kudhamiria kile walichokisema wakikikusudia, kwanini Wapalestina wengi wasiokuwa na hatia (wanawake na watoto)wameendelea kubakia maeneo yale yale ambayo yalitangaziwa vita hata baada ya kutakiwa kuondoka?
6. Kama tangu mwanzo Wapalestina, Hamas na dunia nzima wanajua wazi mwisho wa vita hii Hamas itakuwa kwa sehemu kubwa imefutika kabisa, wapalestina wengi wamekufa na eneo karibu lote la Gaza kuwa chini ya udhibiti wa Israel, kwanini waligoma kusalimu amri mapema tu?
7. Kwanini wapalestina (wanawake, watoto, vijana na wazee) walishangilia na kusheherekea kwa shangwe kubwa tukio la Hamas la 7oktoba la kuvamia, kuteka, kuua raia wasiokuwa na hatia wa israel na mataifa mbalimbali?
Walijua nini kingefuata?
Walishindwa kulaani na kuomboleza?
8. Kuna ulazima gani kwa Hamas kuendelea kushikiria mateka wa kiyahudi mpaka leo hii?
9. Kwanini wapalestina walishindwa kutumia vyema muda wa usitishaji mapigano? Nini mantiki ya kubakia hapo hapo kwenye uwanja wa vita kama hawako tayari kufa, kujeruhiwa au kuishi kwa mateso wakati kuna upenyo wa kuondoka umetolewa?
Kwanini Hamas haikutumia huo muda kusalimu amri ili kuepusha umwagaji damu kuendelea?
10. Ni vipi mpaka leo hii wapalestina bado hawajagundua kuwa wao wanatumika na baadhi ya mataifa ya kiarabu kama chambo tu ya kupambana na Israel?
Kwanini hawajiulizi mataifa ya kiarabu yanaishia kulaani tu lakini hawapeleki askari wao kule kupigana?
UJINGA NI MAUTI...
KIBURI NI KABURI....
AKILI YA KUAMBIWA CHANGANYA NA YA KWAKO...
sio kiburi ni haki yao na sikia nikwambie kuwa hakuna anayeweza kuwamaliza hamas
Warudi walipikua kabla ya mwaka 1948Wewe ulitaka Israel wafanye Nini ili kikubalike ja jamii yote duniani?
ALisemaje bwasheeLeo Msemaji wa Hamas mh Osama alikuwa anaongea na Waandishi wa Habari huku machozi yanamtoka
Umeamua kuchagua upande,
Anachofanya ISRAEL hakikubaliki na dunia yote kwa ujumla, na iko siku watalipia haya watendayo,lini?,"inabaki kuwa brackets"
Hamas kundi teule
Mleta mada tukukumbushe suala la israhell kuifuta hamas hilo suala yaani ulisahau kabisaaa
Maafa yaliotokea na Yanayoendelea kutokea ghaza bila ubishi nimakubwa sana sanaa
Ila israhell kuifuta hamas na kuikalia ghaza na kukomboa mateka wake haya usahau
Kusema kwamba kakubali mateka wake wafe sio kwamba kapenda nikwamba tu hawezi kuwakomboa
Halaf hii israhell si ndio ilipigana na mataifa yote ya kiarabu kwa siku sita tu nakuwatwanga[emoji1787][emoji3][emoji1787]
Hii israhell si ndio iliokoa mateka wake. Pale entebee kwa 72hrs tu kama sijakosea ila inashindwa kuwaokoa magaidi wake waliopo hapo jirani
Israhell ilikua overrated sana na media mbwa hawa
Wangelipiza hicho kisasi kwa kiasi walichochokozwa, sasa kisasi kimekuwa zaidi ya na vile walivyochokozwa. Kunawekwa makubaliano ya kusitisha mapigano kwa muda ila muda ulivyoisha bado et anaendelea tu kuteketeza watoto wadogo.
Muda ni mwalimu !!! Ni suala la muda ukweli utajulikana!! Ila Nina uhakika hamas wanatuja Kwa kitu wanachikutana nachoHamas kundi teule
Mleta mada tukukumbushe suala la israhell kuifuta hamas hilo suala yaani ulisahau kabisaaa
Maafa yaliotokea na Yanayoendelea kutokea ghaza bila ubishi nimakubwa sana sanaa
Ila israhell kuifuta hamas na kuikalia ghaza na kukomboa mateka wake haya usahau
Kusema kwamba kakubali mateka wake wafe sio kwamba kapenda nikwamba tu hawezi kuwakomboa
Halaf hii israhell si ndio ilipigana na mataifa yote ya kiarabu kwa siku sita tu nakuwatwanga[emoji1787][emoji3][emoji1787]
Hii israhell si ndio iliokoa mateka wake. Pale entebee kwa 72hrs tu kama sijakosea ila inashindwa kuwaokoa magaidi wake waliopo hapo jirani
Israhell ilikua overrated sana na media mbwa hawa
Umeamua kuchagua upande,
Anachofanya ISRAEL hakikubaliki na dunia yote kwa ujumla, na iko siku watalipia haya watendayo,lini?,"inabaki kuwa brackets"
Wangelipiza hicho kisasi kwa kiasi walichochokozwa, sasa kisasi kimekuwa zaidi ya na vile walivyochokozwa. Kunawekwa makubaliano ya kusitisha mapigano kwa muda ila muda ulivyoisha bado et anaendelea tu kuteketeza watoto wadogo.
Jibu ni kwambaKinachoendelea Gaza kwa sasa ni matokeo ya level ya juu zaidi ya ujinga wa wapalestina na kiburi cha Hamas. Wapalestina wanaendelea kufa pasipo ulazima na eneo la Gaza kwa sehemu kubwa linakwenda kuwa chini ya udhibiti wa mamlaka ya Israel. Kwa sasa Israel imesema wazi haya, haijutii chochote ikiwa itawapoteza mateka wake wote waliobakia mikononi mwa Hamas, kasi na nguvu ya operation zake za kivita ardhini imeongezwa maradufu kuelekea upande wa kusini mwa Gaza ili kufuta uchafu wowote wa kigaidi!
Embu sote tujiulize haya maswali ya msingi ili kupima upeo wa wapalestina na kiburi cha Hamas:
1. Kulikuwa na ulazima wowote wa Hamas kufanya tukio la 7 oktoba?
2. Hamas ilifahamu nini kibaya dhidi yao na wapalestina kingefuata kutoka kwa Israel baada ya tukio lile?
3. Wapalestina wanafaidika nini kuendelea kuwakumbatia Hamas mpaka leo hii?
4. Wapalestina walikuwa wanajua gharama za kuwakumbatia Hamas zikoje?
5. Kama wapalestina wanajua waisrael ni watu katili na wenye kudhamiria kile walichokisema wakikikusudia, kwanini Wapalestina wengi wasiokuwa na hatia (wanawake na watoto)wameendelea kubakia maeneo yale yale ambayo yalitangaziwa vita hata baada ya kutakiwa kuondoka?
6. Kama tangu mwanzo Wapalestina, Hamas na dunia nzima wanajua wazi mwisho wa vita hii Hamas itakuwa kwa sehemu kubwa imefutika kabisa, wapalestina wengi wamekufa na eneo karibu lote la Gaza kuwa chini ya udhibiti wa Israel, kwanini waligoma kusalimu amri mapema tu?
7. Kwanini wapalestina (wanawake, watoto, vijana na wazee) walishangilia na kusheherekea kwa shangwe kubwa tukio la Hamas la 7oktoba la kuvamia, kuteka, kuua raia wasiokuwa na hatia wa israel na mataifa mbalimbali?
Walijua nini kingefuata?
Walishindwa kulaani na kuomboleza?
8. Kuna ulazima gani kwa Hamas kuendelea kushikiria mateka wa kiyahudi mpaka leo hii?
9. Kwanini wapalestina walishindwa kutumia vyema muda wa usitishaji mapigano? Nini mantiki ya kubakia hapo hapo kwenye uwanja wa vita kama hawako tayari kufa, kujeruhiwa au kuishi kwa mateso wakati kuna upenyo wa kuondoka umetolewa?
Kwanini Hamas haikutumia huo muda kusalimu amri ili kuepusha umwagaji damu kuendelea?
10. Ni vipi mpaka leo hii wapalestina bado hawajagundua kuwa wao wanatumika na baadhi ya mataifa ya kiarabu kama chambo tu ya kupambana na Israel?
Kwanini hawajiulizi mataifa ya kiarabu yanaishia kulaani tu lakini hawapeleki askari wao kule kupigana?
UJINGA NI MAUTI...
KIBURI NI KABURI....
AKILI YA KUAMBIWA CHANGANYA NA YA KWAKO...
Ujinga wa chadema kumewaangamiza akina Sanane na Mwangosi? Kwanini wakaanzisha Chama?Kinachoendelea Gaza kwa sasa ni matokeo ya level ya juu zaidi ya ujinga wa wapalestina na kiburi cha Hamas. Wapalestina wanaendelea kufa pasipo ulazima na eneo la Gaza kwa sehemu kubwa linakwenda kuwa chini ya udhibiti wa mamlaka ya Israel. Kwa sasa Israel imesema wazi haya, haijutii chochote ikiwa itawapoteza mateka wake wote waliobakia mikononi mwa Hamas, kasi na nguvu ya operation zake za kivita ardhini imeongezwa maradufu kuelekea upande wa kusini mwa Gaza ili kufuta uchafu wowote wa kigaidi!
Embu sote tujiulize haya maswali ya msingi ili kupima upeo wa wapalestina na kiburi cha Hamas:
1. Kulikuwa na ulazima wowote wa Hamas kufanya tukio la 7 oktoba?
2. Hamas ilifahamu nini kibaya dhidi yao na wapalestina kingefuata kutoka kwa Israel baada ya tukio lile?
3. Wapalestina wanafaidika nini kuendelea kuwakumbatia Hamas mpaka leo hii?
4. Wapalestina walikuwa wanajua gharama za kuwakumbatia Hamas zikoje?
5. Kama wapalestina wanajua waisrael ni watu katili na wenye kudhamiria kile walichokisema wakikikusudia, kwanini Wapalestina wengi wasiokuwa na hatia (wanawake na watoto)wameendelea kubakia maeneo yale yale ambayo yalitangaziwa vita hata baada ya kutakiwa kuondoka?
6. Kama tangu mwanzo Wapalestina, Hamas na dunia nzima wanajua wazi mwisho wa vita hii Hamas itakuwa kwa sehemu kubwa imefutika kabisa, wapalestina wengi wamekufa na eneo karibu lote la Gaza kuwa chini ya udhibiti wa Israel, kwanini waligoma kusalimu amri mapema tu?
7. Kwanini wapalestina (wanawake, watoto, vijana na wazee) walishangilia na kusheherekea kwa shangwe kubwa tukio la Hamas la 7oktoba la kuvamia, kuteka, kuua raia wasiokuwa na hatia wa israel na mataifa mbalimbali?
Walijua nini kingefuata?
Walishindwa kulaani na kuomboleza?
8. Kuna ulazima gani kwa Hamas kuendelea kushikiria mateka wa kiyahudi mpaka leo hii?
9. Kwanini wapalestina walishindwa kutumia vyema muda wa usitishaji mapigano? Nini mantiki ya kubakia hapo hapo kwenye uwanja wa vita kama hawako tayari kufa, kujeruhiwa au kuishi kwa mateso wakati kuna upenyo wa kuondoka umetolewa?
Kwanini Hamas haikutumia huo muda kusalimu amri ili kuepusha umwagaji damu kuendelea?
10. Ni vipi mpaka leo hii wapalestina bado hawajagundua kuwa wao wanatumika na baadhi ya mataifa ya kiarabu kama chambo tu ya kupambana na Israel?
Kwanini hawajiulizi mataifa ya kiarabu yanaishia kulaani tu lakini hawapeleki askari wao kule kupigana?
UJINGA NI MAUTI...
KIBURI NI KABURI....
AKILI YA KUAMBIWA CHANGANYA NA YA KWAKO...
Yaliyotokea October 7,hayakutokea tu, yana chanzo chake,yalianza tangu 1948!, hakuna mbadala ardhi yako ikichukuliwa, lazima upambsne tu, palestins IPO vitani tangu 1948 jews walipovsmia na kuanza kuwafurusha kwenye maeneo yao!vitani lazima watu wafe,its collateral damage,
Kwa busara zako wewe, je ulitaka kwa mfano wananchi wa South Afrika wasipsmbsne na msksburu kwa vile makaburu ni wakatiri Sana waliua watoto wa shule,(sharp ville massacre Sept 16,1972)!? Yaani uache kupambania haki yako, kiss unsogopa kufa!.?
Kama wananchi wa South wangeogopa, Leo hii South ingekusje?
Kinachoendelea palestina ni kama ilivyokuwa apartheid regime ya South Afrika, Ili vizazi vijavyo vije viishi vzr, sasa hv, lazima watu wafe tu katika mapambano,
Vita ya Ukraine na Russia ni tofauti kabisa. Ukraine hakwenda Russia kushambulia ili kuchokoza, mzozo wote ulikuwa kwenye mazungumzo ya kumalizika kwa Amani lakini Russia alikuwa tayari kuingia vitani, Nchi ya magharibi zikampa backup Ukraine ya kumsaidia kupigana vita.Ndio sawa na Ukraine, kams angekubali yaishe tu angezuia vifo na maafa mengi tu ila kakaza shiko et anapigania nchi yake matokeo yake ni maafa si nchini kwake tu bali sehemu kubwa ya dunia.
Duniani kuna ujinga mwingi sana.