Kiburi cha Hamas na Ujinga wa wapalestina vinaelekea kuwaangamiza kabisa huko Gaza

Kiburi cha Hamas na Ujinga wa wapalestina vinaelekea kuwaangamiza kabisa huko Gaza

Waarabu wanawatumia wapalestina kwa maslahi yao ya dini wakiamini jerusalemu ni mji wao mtakatifu, wangewaacha waisrael na wapalestina wangeishi kwa amani.
 
Waarabu wanawatumia wapalestina kwa maslahi yao ya dini wakiamini jerusalemu ni mji wao mtakatifu, wangewaacha waisrael na wapalestina wangeishi kwa amani.
Hivi shule mlikuwa mnaenda kusoma ujinga? Kwa hiyo Palestina siyo Waarabu?
 
Waarabu wanawatumia wapalestina kwa maslahi yao ya dini wakiamini jerusalemu ni mji wao mtakatifu, wangewaacha waisrael na wapalestina wangeishi kwa amani.
Hakuna waarabu wanaowatumia wapalestine

Waarabu wa Palestine wanapigania haki yao yakimsingi wanataka eneo lao wapewe eneo lao

Hizi chai chai hazitasaidia kuwatoa watu kwenye reli

Mwisho kuna wakati ukiwadia haki hua inapiganiwa haiombwi ombwi
 
Hamas kundi teule
Mleta mada tukukumbushe suala la israhell kuifuta hamas hilo suala yaani ulisahau kabisaaa
Maafa yaliotokea na Yanayoendelea kutokea ghaza bila ubishi nimakubwa sana sanaa
Ila israhell kuifuta hamas na kuikalia ghaza na kukomboa mateka wake haya usahau
Kusema kwamba kakubali mateka wake wafe sio kwamba kapenda nikwamba tu hawezi kuwakomboa
Halaf hii israhell si ndio ilipigana na mataifa yote ya kiarabu kwa siku sita tu nakuwatwanga[emoji1787][emoji3][emoji1787]
Hii israhell si ndio iliokoa mateka wake. Pale entebee kwa 72hrs tu kama sijakosea ila inashindwa kuwaokoa magaidi wake waliopo hapo jirani
Israhell ilikua overrated sana na media mbwa hawa
Hebu rudia kusoma ulichokiandika, afu soma tena uliposema ilikuwa Overated
 
Hebu rudia kusoma ulichokiandika, afu soma tena uliposema ilikuwa Overated
Sio niliposema mpaka hapa nnapoandika kwasasa israhell ni over-rated sana

Wewe hujui ama hujajua kama israhell ni over-rated???
 
Back
Top Bottom