Kiburi cha Hamas na Ujinga wa wapalestina vinaelekea kuwaangamiza kabisa huko Gaza

Kiburi cha Hamas na Ujinga wa wapalestina vinaelekea kuwaangamiza kabisa huko Gaza

Kiukweli Gaza inageuka majivu!
Netanyahu kachafukwa sio kodogo.
Wavaa kobazi ni wepesi sana kusahau, watasahau watachokoza tena moto😁
 
Umeamua kuchagua upande,

Anachofanya ISRAEL hakikubaliki na dunia yote kwa ujumla, na iko siku watalipia haya watendayo,lini?,"inabaki kuwa brackets"
Dunia ipi mbona Mimi nawaunga mkono
 
Kinachoendelea Gaza kwa sasa ni matokeo ya level ya juu zaidi ya ujinga wa wapalestina na kiburi cha Hamas. Wapalestina wanaendelea kufa pasipo ulazima na eneo la Gaza kwa sehemu kubwa linakwenda kuwa chini ya udhibiti wa mamlaka ya Israel. Kwa sasa Israel imesema wazi haya, haijutii chochote ikiwa itawapoteza mateka wake wote waliobakia mikononi mwa Hamas, kasi na nguvu ya operation zake za kivita ardhini imeongezwa maradufu kuelekea upande wa kusini mwa Gaza ili kufuta uchafu wowote wa kigaidi!

Embu sote tujiulize haya maswali ya msingi ili kupima upeo wa wapalestina na kiburi cha Hamas:

1. Kulikuwa na ulazima wowote wa Hamas kufanya tukio la 7 oktoba?

2. Hamas ilifahamu nini kibaya dhidi yao na wapalestina kingefuata kutoka kwa Israel baada ya tukio lile?

3. Wapalestina wanafaidika nini kuendelea kuwakumbatia Hamas mpaka leo hii?

4. Wapalestina walikuwa wanajua gharama za kuwakumbatia Hamas zikoje?

5. Kama wapalestina wanajua waisrael ni watu katili na wenye kudhamiria kile walichokisema wakikikusudia, kwanini Wapalestina wengi wasiokuwa na hatia (wanawake na watoto)wameendelea kubakia maeneo yale yale ambayo yalitangaziwa vita hata baada ya kutakiwa kuondoka?

6. Kama tangu mwanzo Wapalestina, Hamas na dunia nzima wanajua wazi mwisho wa vita hii Hamas itakuwa kwa sehemu kubwa imefutika kabisa, wapalestina wengi wamekufa na eneo karibu lote la Gaza kuwa chini ya udhibiti wa Israel, kwanini waligoma kusalimu amri mapema tu?

7. Kwanini wapalestina (wanawake, watoto, vijana na wazee) walishangilia na kusheherekea kwa shangwe kubwa tukio la Hamas la 7oktoba la kuvamia, kuteka, kuua raia wasiokuwa na hatia wa israel na mataifa mbalimbali?

Walijua nini kingefuata?

Walishindwa kulaani na kuomboleza?

8. Kuna ulazima gani kwa Hamas kuendelea kushikiria mateka wa kiyahudi mpaka leo hii?

9. Kwanini wapalestina walishindwa kutumia vyema muda wa usitishaji mapigano? Nini mantiki ya kubakia hapo hapo kwenye uwanja wa vita kama hawako tayari kufa, kujeruhiwa au kuishi kwa mateso wakati kuna upenyo wa kuondoka umetolewa?

Kwanini Hamas haikutumia huo muda kusalimu amri ili kuepusha umwagaji damu kuendelea?

10. Ni vipi mpaka leo hii wapalestina bado hawajagundua kuwa wao wanatumika na baadhi ya mataifa ya kiarabu kama chambo tu ya kupambana na Israel?

Kwanini hawajiulizi mataifa ya kiarabu yanaishia kulaani tu lakini hawapeleki askari wao kule kupigana?

UJINGA NI MAUTI...
KIBURI NI KABURI....
AKILI YA KUAMBIWA CHANGANYA NA YA KWAKO...
Wewe pimbi
Pumbavu
 
Kiukweli Gaza inageuka majivu!
Netanyahu kachafukwa sio kodogo.
Wavaa kobazi ni wepesi sana kusahau, watasahau watachokoza tena moto😁
Wewe mvaa msalaba wa mbao hao unaoshabikia wanasema Yesu ni mtoto wa Malaya😂
 
Wangelipiza hicho kisasi kwa kiasi walichochokozwa, sasa kisasi kimekuwa zaidi ya na vile walivyochokozwa. Kunawekwa makubaliano ya kusitisha mapigano kwa muda ila muda ulivyoisha bado et anaendelea tu kuteketeza watoto wadogo.
Yaani hapo ni full jazba kama kimbau mbau kamtia kofi baunsa ...........
 
October 7 walifurahi Sanaa Ila Waliambiwa watajuta ndo Majuto Yenyewe Ndo Haya Inabidi Waandike Kwenye historia yao Kama Wana Akili Ili Vizazi Vijavyo Visirudie Ujinga Ule Hiki Kipigo Hakijawahi Kutokea Kihistoria
 
Wapalestina ni wajiga sana wale matajiri walishaondoka siku nyingi wako nchi za mbali kabisa masikini ndo wanaangamia halafu majirani zao hawataki kuwapokea waparastina
Wapalestina hawana akili
 
Hamas published a poster captioned with:

“Their soldiers were roasted”
 

Attachments

  • IMG_7515.jpeg
    IMG_7515.jpeg
    43 KB · Views: 2
Kama ushindi wa Hamas na wapalestina ni kuonewa huruma na dunia huku wakizidi kufa na kujeruhiwa kila siku basi huo ni UJINGA WA KIWANGO CHA JUU.

Kama wapalestina wanaona hichi kinachowapata sasa walikihisi kitatokea na wakawa tayari kukipokea, kwanini sasa wanalia, wanahuzunika na kuteseka hivyo? Kwanini wasitulie tu?
Sifa za terrorist sio ushindani wa amani ni ushindi wenye maumivu, ndio sababu wengine hata hujitoa mhanga kwa kujilipua ,Hilo ndio walilo fanya Hamas, wanajua hawa mwezi israel ila wameweza patiwa huruma wanayo itaka kwa dunia , ingawa ni huruma feki .
 
5. Kama wapalestina wanajua waisrael ni watu katili na wenye kudhamiria kile walichokisema wakikikusudia, kwanini Wapalestina wengi wasiokuwa na hatia (wanawake na watoto)wameendelea kubakia maeneo yale yale ambayo yalitangaziwa vita hata baada ya kutakiwa kuondoka?

Mkuu bila kujali uko upande gani katika vita hii.
Comment yako imekosa utu na uungwana.
1. Waende wapi?(Jibu lako linaweza kuwa sehemu salama kwao bila shaka)
2. Kwa mechanism gani ya kuondoka hapo walipo kwenda safe zone?
3. Hali zao za kiuchumi (particulary hao uliowataja) zikoje kuweza kuondoka hapo walipo kwenda palipo salama

Mwisho ushawahi kuwepo eneo la vita walau kwa dakika hata mbili tu mkuu?
Ndio ujinga tunao usema, walisha ambiwa waende south na wengi wameenda kasoro wale tuu walio shikliwa na wenye kukaidi kwa imani ya uzalendo.
Ulishaona vita huko GOMA,CONGO? kuna UN waliwatumia Luxury vihecles kuwachukua raia na kwapeleke sehemu ambako kuna hotel na hospitals iliw akae hapo kama wakimbizi? mara zote raia wenye akili hukimbia wenyewe tena kwa miguu nahufika sehemu hakuna humanitarian aid yoyote ,tena kwnye miamba ya volcano kunusuru maisha yao.
Sasa hawa Wapalestina inakuaje eti mbaka wawekewe miundo mbinu ndio wakubali kwenda huko ? ni propaganda , wapalestina walikimbia mapema na walio baki ni wale wanao pambana vita kwa imani na wengine walishikiliwa na Hamasi ili mabomu ya kidondoka na wakifa wao wwaweke muwaone muanze kulia .
 
Dah! Umeuliza maswali mengiii!! Halafu karibia yote ni 🚮. Wewe ni Mswahili tu. Maumivu na mateso wanayopitia Wapalestina kutoka kwa Mayahudi, kamwe huwezi kuyajua.

Na kwa taarifa yako, hao ndugu zako wa kulazimisha kila siku wanatunguliwa tu mmoja baada ya mwingine. Maana wanapigana vita na mizimu. Jeuri yao iko kwenye kubomoa tu majengo na miundombinu mingine. Ila siyo kwenye kuwaua hao Hamas.
Mimi siungi mkono vita, mimi ninapinga ujinga wa kipalestina, ujeuri wa Hamas.

Wewe unaamini kwenye vitu vya kufikirika, uongo wa kuaminishwa na ujinga wa kimtazamo.

Hivi wewe unaamini Hamas ni mizimu?
Hivi unaamini Israel inapiga mabomu majengo matupu?
Hizi wewe unaamini huko Gaza wanaoangamia zaidi ni Waisrael?
Kama ndivyo unavyoamini utakuwa huna tofauti na upeo wa wapalestina.
 
Kama wapalestina wanajua waisrael ni watu katili na wenye kudhamiria kile walichokisema wakikikusudia, kwanini Wapalestina wengi wasiokuwa na hatia (wanawake na watoto)wameendelea kubakia maeneo yale yale ambayo yalitangaziwa vita hata baada ya kutakiwa kuondoka?
Israel na mshirika wake wanataka rasilimali mafuta iliyopo Ukanda wa Gaza!!! Phalestine Kuamua kuondoka hapo ni sawa na Kugawa urithi wao kwa adui Yao bure! Hilo halikubaliki.
 
🛑 Israeli Kann Channel:

More than 100 IOF soldiers were injured during the war, with some experiencing blindness. Injuries resulted from shrapnel, explosions, and gunshot wounds. Between 10-15% of the injuries led to blindness in one or both eyes.
 
[emoji1630] Israeli Kann Channel:

More than 100 IOF soldiers were injured during the war, with some experiencing blindness. Injuries resulted from shrapnel, explosions, and gunshot wounds. Between 10-15% of the injuries led to blindness in one or both eyes.
Islamic propaganda from coffee booths
 
Back
Top Bottom