Kiburi cha Hamas na Ujinga wa wapalestina vinaelekea kuwaangamiza kabisa huko Gaza

Kiburi cha Hamas na Ujinga wa wapalestina vinaelekea kuwaangamiza kabisa huko Gaza

Hawakuangamizwa kwa miaka 75 sasa wataangamizwa leo?

Jwani kupigwa na kuuliwa Wapalestina kumeanza leo?

Wacha mashaheed wapigane mpaka dakika ya mwisho.

Ni heri ufe unapigana kishuja

Huyu Muislam ni mjinga, why afanye ibada hapo?

Ukipita mbele yake ataanza kulalamika
Marekebisho sio huyo muislamu ni mjinga bali waislamu ni wajinga, washari na wanafiki sana. Sasa utajiuliza kuswali kati kati ya restaurant mantik yake nini ?! Kuna mwingine alizuia ndege isiruke na abiria wasiingie kisa ni muda wa kuswali na yeye anaswali kwanza ndani ya ndege, ili hali pale Airport ya Philipines kuna vyumba vingi tu vimetengwa kwaajili ya kuswali.

Hawa ndio wanafanya dini yenu ionekane na kuthibitika kua ni dini ya unafiki, ukorofi na shari FaizaFoxy Malaria 2
 
Marekebisho sio huyo muislamu ni mjinga bali waislamu ni wajinga, washari na wanafiki sana. Sasa utajiuliza kuswali kati kati ya restaurant mantik yake nini ?! Kuna mwingine alizuia ndege isiruke na abiria wasiingie kisa ni muda wa kuswali na yeye anaswali kwanza ndani ya ndege, ili hali pale Airport ya Philipines kuna vyumba vingi tu vimetengwa kwaajili ya kuswali.

Hawa ndio wanafanya dini yenu ionekane na kuthibitika kua ni dini ya unafiki, ukorofi na shari FaizaFoxy Malaria 2
Hizo zote ni porojo zako tu.

Weka ushahidi kama u mkweli.

Wewe hapa Tanzania hauishi na Waislam? Walikuchokoza nini?
 
Screenshot_20231116_013959_Quora.jpg

Screenshot_20231116_011416_Quora.jpg
 
kama hujui jibu bas huna akili , Hamas amekuwa anarusha Rocket ndan ya Israel tangu mwaka 2017 ila Israel hajawai kujibu zaid ya kupangua , ebu waislam muwe mnafuatilia mnakuwa wajinga wa dini yenu hiyo
uislamu ni ugonjwa wa akili mkuu acha kubishana na huyo kenge hawezi kukuelewa kitu
 
Yule anaitwa Myahudi, anafuata sheria za mababu zake akina Musa, yaani ukimchokonoa subiri kufutwa wewe na kizazi chako.
Mlijue hilo ili muepukane na Myahudi, achaneni naye, endeleeni kuchinja Wakristo ila kwa Myahudi kaeni mbali naye.
Ni kweli maana wakristo Mungu wao ni wa amani na yeye pekee ndio hufanya visasi.
 
Hizo zote ni porojo zako tu.

Weka ushahidi kama u mkweli.

Wewe hapa Tanzania hauishi na Waislam? Walikuchokoza nini?
ushahidi nitakuwekea hapa wa ndugu yenu katika imami wa Philipines. Kuhusu hapa Tanzania mbona pia mifano ya ushari wa uislamu ni mingi sana.

Je umesahau miaka ya nyuma kikundi cha waislamu pale UDOM walitoa amri na masharti wajengewe msikiti kati kati ya chuo, na jengo liwe kukwa kuliko yote chuoni pale na wakatoa na muda msikiti ukamilike ndani ya mwaka mmoja vinginevyo watachoma chuo moto ? Je umesahau ?? Wakaenda mbali na kusema yeyote atakaezuia msikiti kujengwa kichwa chake ni halali yao ?! Je kwa haya machache je hauoni ushari, vitisho, vurugu na unafiki wa ndugu zako katika imani ?!

2. Wakati wa mwezi wenu wa kutokula mwaka 2019 kiongozi wenu mkubwa tu alitoa tamko lenye ukakasi sana. Ati shule zote za serikali lazima zifundishe somo la Islamic Knowledge vinginevyo watachoma shule zote zisizotoa elimu ya kiislamu, je umesahau ? Je hapa kiongozi wenu aliakisi tabia gani ya dini yenu ?
 
Hizi ni porojo za kizayuni tu.

Suleiman ni Muislam.
Cheki huyu Mama, nahisi nimewahi kumtongoza binti yako, alikuwa ni binti mdogo ila too extremist.

Suleiman alikuwa Mfalme wa Wayahudi/Israel au Wapalestina?

FaizaFoxy Jina zuri, ila Akhera imekuharibu fikra.
 
Cheki huyu Mama, nahisi nimewahi kumtongoza binti yako, alikuwa ni binti mdogo ila too extremist.

Suleiman alikuwa Mfalme wa Wayahudi/Israel au Wapalestina?

FaizaFoxy Jina zuri, ila Akhera imekuharibu fikra.
Mkuu hawa watu ni wabishi ajabu hata Musa wanasema ni muislamu wanauida nabii Musa na ni muislamu ili hali liko wazi alikua kiongozi wa Wayahudi. 😄 😄 inahitaji ujuha wa hali ya juu kua muislamu
 
Yaliyotokea October 7,hayakutokea tu, yana chanzo chake,yalianza tangu 1948!, hakuna mbadala ardhi yako ikichukuliwa, lazima upambsne tu, palestins IPO vitani tangu 1948 jews walipovsmia na kuanza kuwafurusha kwenye maeneo yao!vitani lazima watu wafe,its collateral damage,
Kwa busara zako wewe, je ulitaka kwa mfano wananchi wa South Afrika wasipsmbsne na msksburu kwa vile makaburu ni wakatiri Sana waliua watoto wa shule,(sharp ville massacre Sept 16,1972)!? Yaani uache kupambania haki yako, kiss unsogopa kufa!.?
Kama wananchi wa South wangeogopa, Leo hii South ingekusje?
Kinachoendelea palestina ni kama ilivyokuwa apartheid regime ya South Afrika, Ili vizazi vijavyo vije viishi vzr, sasa hv, lazima watu wafe tu katika mapambano,
Hii inshu haina ufanano hata kidogo na inshu ya Apartheid..
 
Unajua kama hayo mashambulizi ya kisasi yangeelekezwa moja kwa moja kwa hao wahusika basi isingekuwa shida ila unauwa wasio na hatia kwa kikatili huku hao wahusika wakijificha huko sasa si inakuwa ni ujinga nao.
Sasa hilo ni tatizo la Hamas au IDF??
 
Walichokifanya hamas ndio kinakubalika na dunia yote?!
Kuna mawili

1 inawezekana hujui kuhusu HAMAS,ni nani ilianza wapi na ilianzishwa na nani na kwanini na inafanya kazi kwa niaba ya nani
2 inawezekana unaijua HAMAS na unajua nini kinaendelea kwenye mgogoro huu lakini umeamua kuchagua upande

HAMAS hawako sahihi ISRAEL hawako sahihi kabisa,hawa wote wanatenda kinyume na taratibu za MWENYEZIMUNGU (kama unaamini katika MUNGU) kwa maana hao wote ni wamoja kwa maana ni waharibifu
 
Back
Top Bottom