Kiburi cha Hamas na Ujinga wa wapalestina vinaelekea kuwaangamiza kabisa huko Gaza

Kiburi cha Hamas na Ujinga wa wapalestina vinaelekea kuwaangamiza kabisa huko Gaza

sio kiburi ni haki yao na sikia nikwambie kuwa hakuna anayeweza kuwamaliza hamas
Haya endelea kuwapa kiburi hao Hamas na kuwapongeza kwa ujinga hao wapalestina lakini usiendelee kulalamika na kulia lia wakiendelea kupukutishwa kama wadudu waliopuliziwa dawa.
 
Jibu ni kwamba
1.Hamas wameshinda kwasababu wamesha pata huruma waliyo itaka, dunia sasa iko upende wa Hamas ni ushindi mkubwa huo, ingawa kiundani sio dunia iko upande wao bali ni wanafaki ndio wako upande wao , wanao pretend wana support Hamas kwa kujua wasipo onekana wana fanya hivyo basi ina weza letea matatizo makubwa kiusalama wao.
2. Wapalestina sio wajinga kama tunavyodhani, wengi waliondoka mapema baada ya kutangazwa vita , kilicho fanyika ni Hamas ni kuongeza idadi maradufu ya vifo ili ionekane ni mauaji ya kutisha yamefanyika ili dunia isimame nao . Kama unakumbuka Israel ili punguza idadi ya vifo baada kupata mahesabu sahihi . Wapalestina wanatambua Israel hwana mchezo unapo wa hatarisha maisha yao , na wakikuambia muda fulani tunapiga eneo husika , hupiga eneo husika na Wapalestina wanalijua hilo na hawakuwa wajinga kubaki .
Tumuulize Faiza Foxy kwanini wapalestina hawakuondoka na walipewa muda wa kutosha kuondoka eneo na walitarifiwa hadi idadi ya majengo yatakato pigwa?
Kama ushindi wa Hamas na wapalestina ni kuonewa huruma na dunia huku wakizidi kufa na kujeruhiwa kila siku basi huo ni UJINGA WA KIWANGO CHA JUU.

Kama wapalestina wanaona hichi kinachowapata sasa walikihisi kitatokea na wakawa tayari kukipokea, kwanini sasa wanalia, wanahuzunika na kuteseka hivyo? Kwanini wasitulie tu?
 
Yaliyotokea October 7,hayakutokea tu, yana chanzo chake,yalianza tangu 1948!, hakuna mbadala ardhi yako ikichukuliwa, lazima upambsne tu, palestins IPO vitani tangu 1948 jews walipovsmia na kuanza kuwafurusha kwenye maeneo yao!vitani lazima watu wafe,its collateral damage,
Kwa busara zako wewe, je ulitaka kwa mfano wananchi wa South Afrika wasipsmbsne na msksburu kwa vile makaburu ni wakatiri Sana waliua watoto wa shule,(sharp ville massacre Sept 16,1972)!? Yaani uache kupambania haki yako, kiss unsogopa kufa!.?
Kama wananchi wa South wangeogopa, Leo hii South ingekusje?
Kinachoendelea palestina ni kama ilivyokuwa apartheid regime ya South Afrika, Ili vizazi vijavyo vije viishi vzr, sasa hv, lazima watu wafe tu katika mapambano,
Mnalazimisha ya Suala la South Africa kuwa sawa na Palestina wakati ni vitu viwili tofauti.

Vita ya south Africa ilikuwa ni vita vya ubaguzi wa rangi kwa 100%. Wakati vita ya sasa ya Gaza ni vita vya kigaidi kwa 100%. Haiwezekani kikundi cha wanamgambo wa Hamas kivamie nchi ya Israel, kuteke, kuua na kujeruhi watu halafu Israel ikae kimya.
 
Mnalazimisha ya Suala la South Africa kuwa sawa na Palestina wakati ni vitu viwili tofauti.

Vita ya south Africa ilikuwa ni vita vya ubaguzi wa rangi kwa 100%. Wakati vita ya sasa ya Gaza ni vita vya kigaidi kwa 100%. Haiwezekani kikundi cha wanamgambo wa Hamas kivamie nchi ya Israel, kuteke, kuua na kujeruhi watu halafu Israel ikae kimya.
Ndivyo wazee wa akbar wanavyotaka.Kwao kuua raia wa Israel ni sawa ila si wao kuuwawa.Walitaka Israel afanyeje,akalalamike UN?
 
Je unajua kikundi cha Hamas kiliasisiwa na taifa la Israel
😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
MOSSAD WA BUZA...

Ok...JF kuna watu wazito...inawezekana wewe ni Agent wa Mossad, so..unajua habari za ndani, na inawezekana ulikuwepo kwenye vikao vya Mossad vilivyounda HAMAS.
 
Umeamua kuchagua upande,

Anachofanya ISRAEL hakikubaliki na dunia yote kwa ujumla, na iko siku watalipia haya watendayo,lini?,"inabaki kuwa brackets"
Kwenda zako na porojo za abunwasi? Kwahiyo unashabikia shambulio la kigaidi la kushtukiza la kuwaua waisrael? Israel inachokifanya ni sahihi kabisa! Gaidi hana rafiki! Anaweza kukugeuka na kukudhiru hata wewe muda wowote ndo maana nchi za kiarabu zimemwacha apigwe!
 
Yaliyotokea October 7,hayakutokea tu, yana chanzo chake,yalianza tangu 1948!, hakuna mbadala ardhi yako ikichukuliwa, lazima upambsne tu, palestins IPO vitani tangu 1948 jews walipovsmia na kuanza kuwafurusha kwenye maeneo yao!vitani lazima watu wafe,its collateral damage,
Kwa busara zako wewe, je ulitaka kwa mfano wananchi wa South Afrika wasipsmbsne na msksburu kwa vile makaburu ni wakatiri Sana waliua watoto wa shule,(sharp ville massacre Sept 16,1972)!? Yaani uache kupambania haki yako, kiss unsogopa kufa!.?
Kama wananchi wa South wangeogopa, Leo hii South ingekusje?
Kinachoendelea palestina ni kama ilivyokuwa apartheid regime ya South Afrika, Ili vizazi vijavyo vije viishi vzr, sasa hv, lazima watu wafe tu katika mapambano,
Kwani makaburu waliondoka south Afrika?
Makaburu wapo na bado wanaitawala South Afrika. Ni suala la muda tu kuichukua tena south na kuiongoza kisiasa.
 
Wangelipiza hicho kisasi kwa kiasi walichochokozwa, sasa kisasi kimekuwa zaidi ya na vile walivyochokozwa. .
Huo mchezo wa kitoto hata mimi sifanyi, yan unikute niko na buznes zangu ,unikere, niache nachofanya kwanujinga wako halaf niki deal na wewe unataka unnipangie ni deal kidogo kama wewe ulivyofanya. 🤣🤣. Ili uje inichokoze tena and cycle begins agains??
 
Umeamua kuchagua upande,

Anachofanya ISRAEL hakikubaliki na dunia yote kwa ujumla, na iko siku watalipia haya watendayo,lini?,"inabaki kuwa brackets"
siku gani wewe? Hamas ni wapuuzi walianzisha vita kijinga sana huku wakijua hawana uwezo wa kushinda vita hiyo, kama walidanganywa na mataifa fulani waanzishe vita watasaidiwa kuipiga israeli hiyo imekula kwao. Israel iko tayari kupambambana na taifa lolote duniani litakotia pua yake pale gaza kuisaidia hamas. Wapalestina bora wawakatae hamas tu watawaangamiza badala ya kuwaokoa na vita kati yake na israel
 
Kinachoendelea Gaza kwa sasa ni matokeo ya level ya juu zaidi ya ujinga wa wapalestina na kiburi cha Hamas. Wapalestina wanaendelea kufa pasipo ulazima na eneo la Gaza kwa sehemu kubwa linakwenda kuwa chini ya udhibiti wa mamlaka ya Israel. Kwa sasa Israel imesema wazi haya, haijutii chochote ikiwa itawapoteza mateka wake wote waliobakia mikononi mwa Hamas, kasi na nguvu ya operation zake za kivita ardhini imeongezwa maradufu kuelekea upande wa kusini mwa Gaza ili kufuta uchafu wowote wa kigaidi!

Embu sote tujiulize haya maswali ya msingi ili kupima upeo wa wapalestina na kiburi cha Hamas:

1. Kulikuwa na ulazima wowote wa Hamas kufanya tukio la 7 oktoba?

2. Hamas ilifahamu nini kibaya dhidi yao na wapalestina kingefuata kutoka kwa Israel baada ya tukio lile?

3. Wapalestina wanafaidika nini kuendelea kuwakumbatia Hamas mpaka leo hii?

4. Wapalestina walikuwa wanajua gharama za kuwakumbatia Hamas zikoje?

5. Kama wapalestina wanajua waisrael ni watu katili na wenye kudhamiria kile walichokisema wakikikusudia, kwanini Wapalestina wengi wasiokuwa na hatia (wanawake na watoto)wameendelea kubakia maeneo yale yale ambayo yalitangaziwa vita hata baada ya kutakiwa kuondoka?

6. Kama tangu mwanzo Wapalestina, Hamas na dunia nzima wanajua wazi mwisho wa vita hii Hamas itakuwa kwa sehemu kubwa imefutika kabisa, wapalestina wengi wamekufa na eneo karibu lote la Gaza kuwa chini ya udhibiti wa Israel, kwanini waligoma kusalimu amri mapema tu?

7. Kwanini wapalestina (wanawake, watoto, vijana na wazee) walishangilia na kusheherekea kwa shangwe kubwa tukio la Hamas la 7oktoba la kuvamia, kuteka, kuua raia wasiokuwa na hatia wa israel na mataifa mbalimbali?

Walijua nini kingefuata?

Walishindwa kulaani na kuomboleza?

8. Kuna ulazima gani kwa Hamas kuendelea kushikiria mateka wa kiyahudi mpaka leo hii?

9. Kwanini wapalestina walishindwa kutumia vyema muda wa usitishaji mapigano? Nini mantiki ya kubakia hapo hapo kwenye uwanja wa vita kama hawako tayari kufa, kujeruhiwa au kuishi kwa mateso wakati kuna upenyo wa kuondoka umetolewa?

Kwanini Hamas haikutumia huo muda kusalimu amri ili kuepusha umwagaji damu kuendelea?

10. Ni vipi mpaka leo hii wapalestina bado hawajagundua kuwa wao wanatumika na baadhi ya mataifa ya kiarabu kama chambo tu ya kupambana na Israel?

Kwanini hawajiulizi mataifa ya kiarabu yanaishia kulaani tu lakini hawapeleki askari wao kule kupigana?

UJINGA NI MAUTI...
KIBURI NI KABURI....
AKILI YA KUAMBIWA CHANGANYA NA YA KWAKO...
Israel wameshaunganisha mipira ya kupump maji ya bahari ya pwani ya Gaza, wanataka kujaza tunnels/mahandaki. huku juu wamekaa kusubiri panya atakayechomoza kichwa akitokea kwenye shimo ili wajue wanafanya naye nini. halafu hamas walichofanya ujinga, waliitangazia dunia kwamba mle kwenye mashimo kuna HAMAS tu hakuna raia, hivyo israel akijaza maji mle hakuna atakayesema Israel anaua raia waliojificha kwenye mashimo kwa kuwajazia maji.
 
Kinachoendelea Gaza kwa sasa ni matokeo ya level ya juu zaidi ya ujinga wa wapalestina na kiburi cha Hamas. Wapalestina wanaendelea kufa pasipo ulazima na eneo la Gaza kwa sehemu kubwa linakwenda kuwa chini ya udhibiti wa mamlaka ya Israel. Kwa sasa Israel imesema wazi haya, haijutii chochote ikiwa itawapoteza mateka wake wote waliobakia mikononi mwa Hamas, kasi na nguvu ya operation zake za kivita ardhini imeongezwa maradufu kuelekea upande wa kusini mwa Gaza ili kufuta uchafu wowote wa kigaidi!

Embu sote tujiulize haya maswali ya msingi ili kupima upeo wa wapalestina na kiburi cha Hamas:

1. Kulikuwa na ulazima wowote wa Hamas kufanya tukio la 7 oktoba?

2. Hamas ilifahamu nini kibaya dhidi yao na wapalestina kingefuata kutoka kwa Israel baada ya tukio lile?

3. Wapalestina wanafaidika nini kuendelea kuwakumbatia Hamas mpaka leo hii?

4. Wapalestina walikuwa wanajua gharama za kuwakumbatia Hamas zikoje?

5. Kama wapalestina wanajua waisrael ni watu katili na wenye kudhamiria kile walichokisema wakikikusudia, kwanini Wapalestina wengi wasiokuwa na hatia (wanawake na watoto)wameendelea kubakia maeneo yale yale ambayo yalitangaziwa vita hata baada ya kutakiwa kuondoka?

6. Kama tangu mwanzo Wapalestina, Hamas na dunia nzima wanajua wazi mwisho wa vita hii Hamas itakuwa kwa sehemu kubwa imefutika kabisa, wapalestina wengi wamekufa na eneo karibu lote la Gaza kuwa chini ya udhibiti wa Israel, kwanini waligoma kusalimu amri mapema tu?

7. Kwanini wapalestina (wanawake, watoto, vijana na wazee) walishangilia na kusheherekea kwa shangwe kubwa tukio la Hamas la 7oktoba la kuvamia, kuteka, kuua raia wasiokuwa na hatia wa israel na mataifa mbalimbali?

Walijua nini kingefuata?

Walishindwa kulaani na kuomboleza?

8. Kuna ulazima gani kwa Hamas kuendelea kushikiria mateka wa kiyahudi mpaka leo hii?

9. Kwanini wapalestina walishindwa kutumia vyema muda wa usitishaji mapigano? Nini mantiki ya kubakia hapo hapo kwenye uwanja wa vita kama hawako tayari kufa, kujeruhiwa au kuishi kwa mateso wakati kuna upenyo wa kuondoka umetolewa?

Kwanini Hamas haikutumia huo muda kusalimu amri ili kuepusha umwagaji damu kuendelea?

10. Ni vipi mpaka leo hii wapalestina bado hawajagundua kuwa wao wanatumika na baadhi ya mataifa ya kiarabu kama chambo tu ya kupambana na Israel?

Kwanini hawajiulizi mataifa ya kiarabu yanaishia kulaani tu lakini hawapeleki askari wao kule kupigana?

UJINGA NI MAUTI...
KIBURI NI KABURI....
AKILI YA KUAMBIWA CHANGANYA NA YA KWAKO...
Hawakuangamizwa kwa miaka 75 sasa wataangamizwa leo?

Jwani kupigwa na kuuliwa Wapalestina kumeanza leo?

Wacha mashaheed wapigane mpaka dakika ya mwisho.

Ni heri ufe unapigana kishujaa kutetea ardhi yako kuliko kufa kishoga.
 
Hawakuangamizwa kwa miaka 75 sasa wataangamizwa leo?

Jwani kupigwa na kuuliwa Wapalestina kumeanza leo?

Wacha mashaheed wapigane mpaka dakika ya mwisho.

Ni heri ufe unapigana kishujaa kutetea ardhi yako kuliko kufa kishoga.
Only Jews remained Jews for 2000 years in exile,

Wakawekeza kwenye Elimu, Biashara, Mabank, Sayansi na kila kitu wakawa richest na ushawishi, Wapalestina wanaamini Watakufa mashahidi wapewe mabikira 72
 
Kinachoendelea Gaza kwa sasa ni matokeo ya level ya juu zaidi ya ujinga wa wapalestina na kiburi cha Hamas. Wapalestina wanaendelea kufa pasipo ulazima na eneo la Gaza kwa sehemu kubwa linakwenda kuwa chini ya udhibiti wa mamlaka ya Israel. Kwa sasa Israel imesema wazi haya, haijutii chochote ikiwa itawapoteza mateka wake wote waliobakia mikononi mwa Hamas, kasi na nguvu ya operation zake za kivita ardhini imeongezwa maradufu kuelekea upande wa kusini mwa Gaza ili kufuta uchafu wowote wa kigaidi!

Embu sote tujiulize haya maswali ya msingi ili kupima upeo wa wapalestina na kiburi cha Hamas:

1. Kulikuwa na ulazima wowote wa Hamas kufanya tukio la 7 oktoba?

2. Hamas ilifahamu nini kibaya dhidi yao na wapalestina kingefuata kutoka kwa Israel baada ya tukio lile?

3. Wapalestina wanafaidika nini kuendelea kuwakumbatia Hamas mpaka leo hii?

4. Wapalestina walikuwa wanajua gharama za kuwakumbatia Hamas zikoje?

5. Kama wapalestina wanajua waisrael ni watu katili na wenye kudhamiria kile walichokisema wakikikusudia, kwanini Wapalestina wengi wasiokuwa na hatia (wanawake na watoto)wameendelea kubakia maeneo yale yale ambayo yalitangaziwa vita hata baada ya kutakiwa kuondoka?

6. Kama tangu mwanzo Wapalestina, Hamas na dunia nzima wanajua wazi mwisho wa vita hii Hamas itakuwa kwa sehemu kubwa imefutika kabisa, wapalestina wengi wamekufa na eneo karibu lote la Gaza kuwa chini ya udhibiti wa Israel, kwanini waligoma kusalimu amri mapema tu?

7. Kwanini wapalestina (wanawake, watoto, vijana na wazee) walishangilia na kusheherekea kwa shangwe kubwa tukio la Hamas la 7oktoba la kuvamia, kuteka, kuua raia wasiokuwa na hatia wa israel na mataifa mbalimbali?

Walijua nini kingefuata?

Walishindwa kulaani na kuomboleza?

8. Kuna ulazima gani kwa Hamas kuendelea kushikiria mateka wa kiyahudi mpaka leo hii?

9. Kwanini wapalestina walishindwa kutumia vyema muda wa usitishaji mapigano? Nini mantiki ya kubakia hapo hapo kwenye uwanja wa vita kama hawako tayari kufa, kujeruhiwa au kuishi kwa mateso wakati kuna upenyo wa kuondoka umetolewa?

Kwanini Hamas haikutumia huo muda kusalimu amri ili kuepusha umwagaji damu kuendelea?

10. Ni vipi mpaka leo hii wapalestina bado hawajagundua kuwa wao wanatumika na baadhi ya mataifa ya kiarabu kama chambo tu ya kupambana na Israel?

Kwanini hawajiulizi mataifa ya kiarabu yanaishia kulaani tu lakini hawapeleki askari wao kule kupigana?

UJINGA NI MAUTI...
KIBURI NI KABURI....
AKILI YA KUAMBIWA CHANGANYA NA YA KWAKO...
kaka
1. unawafahamu vizuri hawa watu na mafundisho yao ya "majini wazuri na majini wabaya" ?!
2. Unafahamu ahadi waliyo ahidiwa endapo watajitoa kufa ?! (Wameahidiwa kum.a ati na mbo.o isiyolala peponi na mifereji ya pombe) na wanavyopenda kum.a unadhani hata wangeambiwa watauawa wote kwa kukaangwa kwenye mafuta, amimi bado tukio la oct 7 wangetekeleza.

ujuha na ujinga ni viungo muhimu katika dini ya mudi
 
Umeamua kuchagua upande,

Anachofanya ISRAEL hakikubaliki na dunia yote kwa ujumla, na iko siku watalipia haya watendayo,lini?,"inabaki kuwa brackets"
kwamb ulitaka wafanyaj baada ya lile tukio la 7 oct ?
 
Back
Top Bottom