rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Waarabu wanawatumia wapalestina kwa maslahi yao ya dini wakiamini jerusalemu ni mji wao mtakatifu, wangewaacha waisrael na wapalestina wangeishi kwa amani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi shule mlikuwa mnaenda kusoma ujinga? Kwa hiyo Palestina siyo Waarabu?Waarabu wanawatumia wapalestina kwa maslahi yao ya dini wakiamini jerusalemu ni mji wao mtakatifu, wangewaacha waisrael na wapalestina wangeishi kwa amani.
Siyo waarabu hivi unawajua kina George HabashHivi shule mlikuwa mnaenda kusoma ujinga? Kwa hiyo Palestina siyo Waarabu?
Hakuna waarabu wanaowatumia wapalestineWaarabu wanawatumia wapalestina kwa maslahi yao ya dini wakiamini jerusalemu ni mji wao mtakatifu, wangewaacha waisrael na wapalestina wangeishi kwa amani.
Hebu rudia kusoma ulichokiandika, afu soma tena uliposema ilikuwa OveratedHamas kundi teule
Mleta mada tukukumbushe suala la israhell kuifuta hamas hilo suala yaani ulisahau kabisaaa
Maafa yaliotokea na Yanayoendelea kutokea ghaza bila ubishi nimakubwa sana sanaa
Ila israhell kuifuta hamas na kuikalia ghaza na kukomboa mateka wake haya usahau
Kusema kwamba kakubali mateka wake wafe sio kwamba kapenda nikwamba tu hawezi kuwakomboa
Halaf hii israhell si ndio ilipigana na mataifa yote ya kiarabu kwa siku sita tu nakuwatwanga[emoji1787][emoji3][emoji1787]
Hii israhell si ndio iliokoa mateka wake. Pale entebee kwa 72hrs tu kama sijakosea ila inashindwa kuwaokoa magaidi wake waliopo hapo jirani
Israhell ilikua overrated sana na media mbwa hawa
Sio niliposema mpaka hapa nnapoandika kwasasa israhell ni over-rated sanaHebu rudia kusoma ulichokiandika, afu soma tena uliposema ilikuwa Overated
Hapana Bado sijajua mkuuSio niliposema mpaka hapa nnapoandika kwasasa israhell ni over-rated sana
Wewe hujui ama hujajua kama israhell ni over-rated???
Basi endelea kufatilia tu utajuaHapana Bado sijajua mkuu