George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
Hamas kundi teule
Maji sio nitaita naendelea kuita maji ni mma
Una jengine mdogo wangu[emoji3][emoji41][emoji3]
Kama ungetafuta na mabaya Israel dhidi ya Palestine kabla ya lile shambulio ingekuwa vizuriKinachoendelea Gaza kwa sasa ni matokeo ya level ya juu zaidi ya ujinga wa wapalestina na kiburi cha Hamas. Wapalestina wanaendelea kufa pasipo ulazima na eneo la Gaza kwa sehemu kubwa linakwenda kuwa chini ya udhibiti wa mamlaka ya Israel. Kwa sasa Israel imesema wazi haya, haijutii chochote ikiwa itawapoteza mateka wake wote waliobakia mikononi mwa Hamas, kasi na nguvu ya operation zake za kivita ardhini imeongezwa maradufu kuelekea upande wa kusini mwa Gaza ili kufuta uchafu wowote wa kigaidi!
Embu sote tujiulize haya maswali ya msingi ili kupima upeo wa wapalestina na kiburi cha Hamas:
1. Kulikuwa na ulazima wowote wa Hamas kufanya tukio la 7 oktoba?
2. Hamas ilifahamu nini kibaya dhidi yao na wapalestina kingefuata kutoka kwa Israel baada ya tukio lile?
3. Wapalestina wanafaidika nini kuendelea kuwakumbatia Hamas mpaka leo hii?
4. Wapalestina walikuwa wanajua gharama za kuwakumbatia Hamas zikoje?
5. Kama wapalestina wanajua waisrael ni watu katili na wenye kudhamiria kile walichokisema wakikikusudia, kwanini Wapalestina wengi wasiokuwa na hatia (wanawake na watoto)wameendelea kubakia maeneo yale yale ambayo yalitangaziwa vita hata baada ya kutakiwa kuondoka?
6. Kama tangu mwanzo Wapalestina, Hamas na dunia nzima wanajua wazi mwisho wa vita hii Hamas itakuwa kwa sehemu kubwa imefutika kabisa, wapalestina wengi wamekufa na eneo karibu lote la Gaza kuwa chini ya udhibiti wa Israel, kwanini waligoma kusalimu amri mapema tu?
7. Kwanini wapalestina (wanawake, watoto, vijana na wazee) walishangilia na kusheherekea kwa shangwe kubwa tukio la Hamas la 7oktoba la kuvamia, kuteka, kuua raia wasiokuwa na hatia wa israel na mataifa mbalimbali?
Walijua nini kingefuata?
Walishindwa kulaani na kuomboleza?
8. Kuna ulazima gani kwa Hamas kuendelea kushikiria mateka wa kiyahudi mpaka leo hii?
9. Kwanini wapalestina walishindwa kutumia vyema muda wa usitishaji mapigano? Nini mantiki ya kubakia hapo hapo kwenye uwanja wa vita kama hawako tayari kufa, kujeruhiwa au kuishi kwa mateso wakati kuna upenyo wa kuondoka umetolewa?
Kwanini Hamas haikutumia huo muda kusalimu amri ili kuepusha umwagaji damu kuendelea?
10. Ni vipi mpaka leo hii wapalestina bado hawajagundua kuwa wao wanatumika na baadhi ya mataifa ya kiarabu kama chambo tu ya kupambana na Israel?
Kwanini hawajiulizi mataifa ya kiarabu yanaishia kulaani tu lakini hawapeleki askari wao kule kupigana?
UJINGA NI MAUTI...
KIBURI NI KABURI....
AKILI YA KUAMBIWA CHANGANYA NA YA KWAKO...
Hamas wafichua ujinga wa netanyahu haijawahi kutokea tangu 1947 israel kushutumiwa na hadi kuanza kuengwa na jumuia ya kimataifa ikiwemo marekani yenyewe amba ndio mleezi wa israel.Kinachoendelea Gaza kwa sasa ni matokeo ya level ya juu zaidi ya ujinga wa wapalestina na kiburi cha Hamas. Wapalestina wanaendelea kufa pasipo ulazima na eneo la Gaza kwa sehemu kubwa linakwenda kuwa chini ya udhibiti wa mamlaka ya Israel. Kwa sasa Israel imesema wazi haya, haijutii chochote ikiwa itawapoteza mateka wake wote waliobakia mikononi mwa Hamas, kasi na nguvu ya operation zake za kivita ardhini imeongezwa maradufu kuelekea upande wa kusini mwa Gaza ili kufuta uchafu wowote wa kigaidi!
Embu sote tujiulize haya maswali ya msingi ili kupima upeo wa wapalestina na kiburi cha Hamas:
1. Kulikuwa na ulazima wowote wa Hamas kufanya tukio la 7 oktoba?
2. Hamas ilifahamu nini kibaya dhidi yao na wapalestina kingefuata kutoka kwa Israel baada ya tukio lile?
3. Wapalestina wanafaidika nini kuendelea kuwakumbatia Hamas mpaka leo hii?
4. Wapalestina walikuwa wanajua gharama za kuwakumbatia Hamas zikoje?
5. Kama wapalestina wanajua waisrael ni watu katili na wenye kudhamiria kile walichokisema wakikikusudia, kwanini Wapalestina wengi wasiokuwa na hatia (wanawake na watoto)wameendelea kubakia maeneo yale yale ambayo yalitangaziwa vita hata baada ya kutakiwa kuondoka?
6. Kama tangu mwanzo Wapalestina, Hamas na dunia nzima wanajua wazi mwisho wa vita hii Hamas itakuwa kwa sehemu kubwa imefutika kabisa, wapalestina wengi wamekufa na eneo karibu lote la Gaza kuwa chini ya udhibiti wa Israel, kwanini waligoma kusalimu amri mapema tu?
7. Kwanini wapalestina (wanawake, watoto, vijana na wazee) walishangilia na kusheherekea kwa shangwe kubwa tukio la Hamas la 7oktoba la kuvamia, kuteka, kuua raia wasiokuwa na hatia wa israel na mataifa mbalimbali?
Walijua nini kingefuata?
Walishindwa kulaani na kuomboleza?
8. Kuna ulazima gani kwa Hamas kuendelea kushikiria mateka wa kiyahudi mpaka leo hii?
9. Kwanini wapalestina walishindwa kutumia vyema muda wa usitishaji mapigano? Nini mantiki ya kubakia hapo hapo kwenye uwanja wa vita kama hawako tayari kufa, kujeruhiwa au kuishi kwa mateso wakati kuna upenyo wa kuondoka umetolewa?
Kwanini Hamas haikutumia huo muda kusalimu amri ili kuepusha umwagaji damu kuendelea?
10. Ni vipi mpaka leo hii wapalestina bado hawajagundua kuwa wao wanatumika na baadhi ya mataifa ya kiarabu kama chambo tu ya kupambana na Israel?
Kwanini hawajiulizi mataifa ya kiarabu yanaishia kulaani tu lakini hawapeleki askari wao kule kupigana?
UJINGA NI MAUTI...
KIBURI NI KABURI....
AKILI YA KUAMBIWA CHANGANYA NA YA KWAKO...
Jina langu tu linapingana na hiki ulichokiandika.
Nyie watu mna shida sana!
Acha waoane tu hakuna namnaKwa kipigo anachokitoa Israel naamini hawa jamaa hawatokaa warudie kamwe.Kumbe dawa ya moto ni moto aisee.
HAMAS watamalizika kwa mtindo wa kikundi hicho kutokuwepo Hai tena (Defunct)ila masalia ya waliokuwa ni washiriki wa kundi hilo watajitoa ubabe wao wa kijinga na kuwa raia wema na watiifu kwa serikali itakayokuwepo Palestina i.e. Hawatajihusisha tena na Ugaidi wala kubeba bunduki na maguruneti.sio kiburi ni haki yao na sikia nikwambie kuwa hakuna anayeweza kuwamaliza hamas
Huu ni uharo wa kiwango cha juu kabisa.Kinachoendelea Gaza kwa sasa ni matokeo ya level ya juu zaidi ya ujinga wa wapalestina na kiburi cha Hamas. Wapalestina wanaendelea kufa pasipo ulazima na eneo la Gaza kwa sehemu kubwa linakwenda kuwa chini ya udhibiti wa mamlaka ya Israel. Kwa sasa Israel imesema wazi haya, haijutii chochote ikiwa itawapoteza mateka wake wote waliobakia mikononi mwa Hamas, kasi na nguvu ya operation zake za kivita ardhini imeongezwa maradufu kuelekea upande wa kusini mwa Gaza ili kufuta uchafu wowote wa kigaidi!
Embu sote tujiulize haya maswali ya msingi ili kupima upeo wa wapalestina na kiburi cha Hamas:
1. Kulikuwa na ulazima wowote wa Hamas kufanya tukio la 7 oktoba?
2. Hamas ilifahamu nini kibaya dhidi yao na wapalestina kingefuata kutoka kwa Israel baada ya tukio lile?
3. Wapalestina wanafaidika nini kuendelea kuwakumbatia Hamas mpaka leo hii?
4. Wapalestina walikuwa wanajua gharama za kuwakumbatia Hamas zikoje?
5. Kama wapalestina wanajua waisrael ni watu katili na wenye kudhamiria kile walichokisema wakikikusudia, kwanini Wapalestina wengi wasiokuwa na hatia (wanawake na watoto)wameendelea kubakia maeneo yale yale ambayo yalitangaziwa vita hata baada ya kutakiwa kuondoka?
6. Kama tangu mwanzo Wapalestina, Hamas na dunia nzima wanajua wazi mwisho wa vita hii Hamas itakuwa kwa sehemu kubwa imefutika kabisa, wapalestina wengi wamekufa na eneo karibu lote la Gaza kuwa chini ya udhibiti wa Israel, kwanini waligoma kusalimu amri mapema tu?
7. Kwanini wapalestina (wanawake, watoto, vijana na wazee) walishangilia na kusheherekea kwa shangwe kubwa tukio la Hamas la 7oktoba la kuvamia, kuteka, kuua raia wasiokuwa na hatia wa israel na mataifa mbalimbali?
Walijua nini kingefuata?
Walishindwa kulaani na kuomboleza?
8. Kuna ulazima gani kwa Hamas kuendelea kushikiria mateka wa kiyahudi mpaka leo hii?
9. Kwanini wapalestina walishindwa kutumia vyema muda wa usitishaji mapigano? Nini mantiki ya kubakia hapo hapo kwenye uwanja wa vita kama hawako tayari kufa, kujeruhiwa au kuishi kwa mateso wakati kuna upenyo wa kuondoka umetolewa?
Kwanini Hamas haikutumia huo muda kusalimu amri ili kuepusha umwagaji damu kuendelea?
10. Ni vipi mpaka leo hii wapalestina bado hawajagundua kuwa wao wanatumika na baadhi ya mataifa ya kiarabu kama chambo tu ya kupambana na Israel?
Kwanini hawajiulizi mataifa ya kiarabu yanaishia kulaani tu lakini hawapeleki askari wao kule kupigana?
UJINGA NI MAUTI...
KIBURI NI KABURI....
AKILI YA KUAMBIWA CHANGANYA NA YA KWAKO...
Finally the Gazans will throw bullets at HAMAS militants licha ya Joex kubadilisha HAMAS na kusema ni IDF ilhali Joe Roberts (Twitter) amesema ni HAMAS wanarushiwa mawe kwa kitendo chao cha kuiba misaada inayotolewa kwa raia waathirika.
Wewe kumbe punguani unajifanya kulalamika kwa mods sasa wewe unawaita watu Majinga Majinga wewe utakuwa Shoga lazima.Angesalinu amri ya kutekwa maeneo yake na kutawaliwa. Nyie majitu mbona ni majinga majinga hivi?
Wenye uwezo wa kulipiza kwa Israel ndio washirika wake. Amini nakuambia wote watailaani Israel kwa maneno tu.Umeamua kuchagua upande,
Anachofanya ISRAEL hakikubaliki na dunia yote kwa ujumla, na iko siku watalipia haya watendayo,lini?,"inabaki kuwa brackets"
Unafananishaje taifa teule la Mungu na chama cha mafisadi?Wa Israel ni kama CCM na wapalestina ndio sisi wananchi
Hakuna mawili wala nini, hapo nilipokuquote ndio jibu.HAMAS hawako sahihi ISRAEL hawako sahihi kabisa,hawa wote wanatenda kinyume na taratibu za MWENYEZIMUNGU (kama unaamini katika MUNGU) kwa maana hao wote ni wamoja kwa maana ni waharibifu