Kiburi cha Hamas na Ujinga wa wapalestina vinaelekea kuwaangamiza kabisa huko Gaza

Waarabu wanawatumia wapalestina kwa maslahi yao ya dini wakiamini jerusalemu ni mji wao mtakatifu, wangewaacha waisrael na wapalestina wangeishi kwa amani.
 
Waarabu wanawatumia wapalestina kwa maslahi yao ya dini wakiamini jerusalemu ni mji wao mtakatifu, wangewaacha waisrael na wapalestina wangeishi kwa amani.
Hivi shule mlikuwa mnaenda kusoma ujinga? Kwa hiyo Palestina siyo Waarabu?
 
Waarabu wanawatumia wapalestina kwa maslahi yao ya dini wakiamini jerusalemu ni mji wao mtakatifu, wangewaacha waisrael na wapalestina wangeishi kwa amani.
Hakuna waarabu wanaowatumia wapalestine

Waarabu wa Palestine wanapigania haki yao yakimsingi wanataka eneo lao wapewe eneo lao

Hizi chai chai hazitasaidia kuwatoa watu kwenye reli

Mwisho kuna wakati ukiwadia haki hua inapiganiwa haiombwi ombwi
 
Hebu rudia kusoma ulichokiandika, afu soma tena uliposema ilikuwa Overated
 
Hebu rudia kusoma ulichokiandika, afu soma tena uliposema ilikuwa Overated
Sio niliposema mpaka hapa nnapoandika kwasasa israhell ni over-rated sana

Wewe hujui ama hujajua kama israhell ni over-rated???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…