Kichaka cha waliokuwa wanajificha kufika robo fainali CAF CL kimefyekwa rasmi

Rubbish!! Mangungu anaongoza vilaza wengi sana na ndio maana Simba imeanza kuachwa mdogo mdogo na yanga kwenye mambo mengi kutokana na undezi wa viongozi wao pia utaahira wa wanachama na mashabiki wao, Mtu yeyote ambae awezi kutumia mafanikio ya mwenzake Kama somo la kufanikiwa na akawa na kichwa ngumu kukubali ukweli uyo awezi fanikiwa maisha yake yote!
Yanga kafanikiwa kutokana na uwekezaji alioufanya akuna asiyejua yanga ilikotokea, kusajili wachezaji Bora na kuwa na viongozi imara wenye kiu ya mafanikio ndio msingi wa yanga kwenye mafanikio WALIYONAYO kwa sasa, uwezi kusajili kina Onana alafu utegemee wakupe matokeo sawa na waliomsajili pacome ni uongo!
Matokeo yake ni chuki Kama hizi unazoleta hapa, izo sindano Ina maana yanga kaanza kuzitumia tokea mwaka Jana alipofika fainali ya kombe la shirikisho? Wao caf awajui isipokuwa wewe ndio unajua hizo mambo kuwazidi wao?
Na msipobadilika kwa akili hizi naiona yanga ikiendelea kutawala soka la ndani na nje kwa miaka mingi ijayo maana mawazo yenu Kama ndio Aya na viongozi wenu amtokaa msonge mbele Bali kupiga hatua 10 kurudi nyuma!
 
Tatizo sisi WATANZANIA tumezoea kuchukuliwa poa ndio maana tunaropokwa namna hii. Ila tukirudi kwenye uhalisia, hii ni shutuma nzito sana. Hii kama ingekuwa ni kweli, basi hersi angefungiwa sio chini ya miaka15 hasijiusishe n gozi, wachezaji wote wa yanga wangefungiwa n team ingefungiwa kwa miaka kadhaa. So hii shutuma ni nzito sana. Tushukuru mungu viongozi wa yanga watakuchukulia poa tu, kama lindezi moja limekurupuka n kujaribu kuupotosha uma. Ila kama wakiamua kukufatilia, ndugu yangu wewe jela au faini ya kwenda kwa kuichafua brand ya team, viongozi n wachezaji wake. Tuwe makini n kauli zetu, mazoea yatatunga! Tukumbuke mamlaka ikitaka kukupata jf itatoa ushirikiano, so tuwe makini, kauli zetu za kishenzi shenzi litamtupa mtu rumande.
 
Huu upumbavu ulioandika hapa una ushahidi nao?, unapotoa tuhuma kama hizi sio kwamba zitaiumiza yanga bali mpira wa Tanzania. Rejea malalamiko yaliyokua yanatolewa na timu pinzani za Simba et kuna dawa zinapuliziwa kwenye vyumba vya kubadilishia nguo
 
Muheshimu sana jirani yako ambaye hajajenga nyumba angali ana kiwanja pembeni yako maana hujui atashusha aina gani ya jumba.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Uko yanga wenye akili ni wawili tu! Hivyo sishangai umeshindwa kutafuta maarifa kujua dawa za kusisimua misuli ziko za aina gani!

Ushamba wako na kukosa exposure ndio maana unawaza eti timu ikifanya booking ya hotel wateja wengine hawaruhusiwi kupata huduma!

Nina uhakika hujawahi kusafiri popote kwasababu huna shughuli yeyote ya maana inayoweza kukupeleka popote! Kwanza una passport wewe? Au una number ya nida tu?! Kmmyk.
 
Ilizuka hiyo hoja kwamba walikuwa wanamdunga Mayele Sindano,sasa yuko Pyramids ameflop! Kuna uwezekano wa hizo tuhuma?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pumbavu mkubwa wewe. Umeandika ujinga wa hali ya juu. Mnahangika na kujidharirisha humu JF kwa upuuzi na upumbavu wenu.
 
Jipige kifua sema wewe ni MPUMBAVU [emoji23]
 
Yanga ya Zahera kabla GSM hajaanza ilikuwa inalala Nefaland Hotel, mara kibao tulikuwa tunapishana na kina Kamusoko kwenye lift, na kuna watu kibao tu hotelini,kwahiyo siyo kweli kusema wanachukua wao tu booking labda huko Avic Town sasa hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwana-SIMBA mwenzangu kunywa maji ukweli uko wazi mtani ana kikosi , hata Saidoo tumpige sindano hamna kitu ataweza fanya… muda wake umeisha.
 
porojo za vijiweni hizi

badala ya kujifunza wanafanyaje umatafuta kichaka cha kujificha
 
Huu upumbavu ulioandika hapa una ushahidi nao?, unapotoa tuhuma kama hizi sio kwamba zitaiumiza yanga bali mpira wa Tanzania. Rejea malalamiko yaliyokua yanatolewa na timu pinzani za Simba et kuna dawa zinapuliziwa kwenye vyumba vya kubadilishia nguo
Kabla sijadhibitisha nilichokiandika hapa! Njoo nikukague kama una marinda! Maana naona unataka kuleta ligi inawezekana huna linda! Watu wasio na marinda ndio uwa hawana aibu kabisa kubishana na uhalisia.

Mimi niliona mabomba ya sindano yaliyokwisha tumika na sio bomba moja ni mabomba mengi tu! Nikajaribu kudadisi! muhudumu akasema amepewa na mtu wa yanga akachome! Nikaunganisha dot nikapata jibu! Wewe unaleta ligi za kijinga hapa!

Suala la Simba kudaiwa kupuliza dawa kwenye dressing room lililetwa na viongozi wa yanga,hasa yule White anaeoa kila mwezi mchanga! Na yule mtumishi wa gsm ambae amepewa cheo hapo yanga anaitwa rais! Sijui toka lini rais akawa kibarua wa mwarabu
Yeye alienda mpaka kuwapokea As vita!! waliokuja kucheza na Simba hapo taifa akawadanganya na kusambaza uzushi kuwa Simba inapuliza dawa!

Kama haitoshi akawapokea kaizer Chief ya South africa akawadanganya pia,akutosheka akawapokea RS berkane akawapigia viongozi na wachezaji wa berkane simu akiwatukana viongozi na wachezaji wa Simba! Uzushi wote uliletwa na hao wawili white na uyo mtumishi wa mwarabu ambae ni rais wa kandambili.
 
Mtu kafika robo mara 4 ufyeke kwa kufika robo mara moja? Maajabu haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…