Hawahurumii mbegu zao[emoji57]Hawa watu wanaopachika watu kama hawa mimba huwa wana roho ngumu sana!
[emoji7]
I love your thinking + atittude.Labda walikua wanakwenda clinic.
love thé love or hâte thé love.....
I have 1
Unaweza kufafanua tafadhali?Kwahiyo wanawake ambao hulea vyema watoto wao kuendana na utamaduni wetu wao huwa hawabebi ujauzito?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuuWewe ndiye unayeenda vyema na kauli ya JPM aliyosema "fyatuaneni tu", fanya hima na mwaka keshokutwa usitoke hospitali bila ya chanjo pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] malaya mjaalaana faiza?Hivi lini tutaacha kuwazungumzia hawa malaya wajaa laana[emoji22].
hapa ndipo naamini shetani ana watu wake.
kama tumwombavo Mungu ,basi na hawa watu wasiostaarabika, shetani anawawezesha ili tuone kuwa matendo kama hayo tukofanya wala hatupatwi na janga.
Sent using Jamii Forums mobile app
labda sie wengine tunalea kizamani, angetulia tu kwasasa asingepata hizi kashfa.
Hilo unalilolisema nami nilifikiria hivyo hivyo...si kumuombea mabaya hapana lakini mtoto mdogo wa hivyo kumyumbisha kunaweza Leta hitirafu ya ubongo ni kheri angembeba kwa kumkumbatia MIKONONI mwake...pili hapo mama anaonyesha hana mapenzi kabisa na mtoto wake, kwa mtoto wa umri huo huwezi muweka kwenye kitenga ukatembea nae.Kazi kweli kweli... Huyo mtoto huenda akaja kupata matatizo ya ubongo..
haujaenda moshi???Hata me nilimpeleka chanjo nikatoka nikanywa supu sehemu sababu nilikaa sana hospital sema sikupiga picha
wanasema kulea mimba si kazi , kazi kulea mwana.Hilo unalilolisema nami nilifikiria hivyo hivyo...si kumuombea mabaya hapana lakini mtoto mdogo wa hivyo kumyumbisha kunaweza Leta hitirafu ya ubongo ni kheri angembeba kwa kumkumbatia MIKONONI mwake...pili hapo mama anaonyesha hana mapenzi kabisa na mtoto wake, kwa mtoto wa umri huo huwezi muweka kwenye kitenga ukatembea nae.
Kweli Kuzaa ni jambo moja lakini kulea ni jambo lingine tofauti kabisa na la msingi zaidi.
[emoji87] makubwaHilo unalilolisema nami nilifikiria hivyo hivyo...si kumuombea mabaya hapana lakini mtoto mdogo wa hivyo kumyumbisha kunaweza Leta hitirafu ya ubongo ni kheri angembeba kwa kumkumbatia MIKONONI mwake...pili hapo mama anaonyesha hana mapenzi kabisa na mtoto wake, kwa mtoto wa umri huo huwezi muweka kwenye kitenga ukatembea nae.
Kweli Kuzaa ni jambo moja lakini kulea ni jambo lingine tofauti kabisa na la msingi zaidi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Iyo picha ya tatu inaoneasha bado anamaumivu,... i instagrama itawawauwa,....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona anamuiga Zari hajui mwenzie papuchi mwendokasi ,inafyatua bila maumivu
Wanadamu hawajawahi kukosa la kusema ndugu.labda sie wengine tunalea kizamani, angetulia tu kwasasa asingepata hizi kashfa.