Em sema kweliii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nawaambiaga vijana kinga ni bora kuliko tiba, wenyewe wanasema huwezi kula pipi na maganda.
Mimi juzi nilichagua kubaki na hamu zangu kuliko kuuza mechi.
Niseme ukweli upi tena 😂Em sema kweliii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Muongo wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niseme ukweli upi tena [emoji23]
Ukweli ndio huo maswala ya kukojoa nyembe siyataki.
Niliacha kweli najua wengi hawatoamini.Muongo wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na mimi limesimama nipoze basiYani wanaume mnachekesha sana aiseee yani hilo dushe likishasimama hamnaga mnalowaza...
Mkuu mm nina BBE nmepewa na potasium pamanganate ila nmeshaushauriwa nisipake kwenye dushe ambko ndo kun vilengelenge ? Je ni kwel itasaidia?Scabies hizo
Piga Ivemectin na jipake Scaboma mwili mzima