Beberu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 4,548
- 9,740
Korea Lugha yao wameanza nayo 1444, japan wana lugha yao toka zamani sanaaa, China vivyo hivyo,
Sisi kiswahili kimeingia mwaka 1950+
Huko ndani ndani hadi leo watu hawajui kiswahili vizuri, 😂 huyo mtu bado unampa kazi ya kujifunza English then Physics iliyo katika English, utakuta tu mtu hajui
Sisi kiswahili kimeingia mwaka 1950+
Huko ndani ndani hadi leo watu hawajui kiswahili vizuri, 😂 huyo mtu bado unampa kazi ya kujifunza English then Physics iliyo katika English, utakuta tu mtu hajui
Uko sahihi kabisa,hata mimi natamani tuchague lugha moja tu ya kufundishia kuanzia awali hadi chuo kikuu,kuliko huu mchanganyo wa sasa.