Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoa tamu sana basi tuFainali uzeeni
kabisa halafu mkeo anakuona we ndo wa kukuletea umbea, maumivu na furaha zake zote.....Hasa kipindi cha baridi na alfajiri😂
ni vile wanaoifurahia hawaisemi furaha yao huku wale wanaoteseka wakiyaweka bayana maumivu yaoNdoa tamu jamani basi tuu
Hayo ni mapungufu binafsiShida anaenihimiza nioe ndio Kwanza anasaliti mkewe na kuvunja ndoa anayoiita ndoa kwa kulala nje Kama umbwa.View attachment 3266987
Ninavyompelekeaga nyuzi za watu wa JF halafu tunawacheka wote. Yani ni raha sana kwa kweli.kabisa halafu mkeo anakuona we ndo wa kukuletea umbea, maumivu na furaha zake zote.....
Ni kweli kabisa , kelele za maumivu na mateso ya ndoa hufanya chama cha kataa ndoa kionekane maarufu sana.Mazuri huwa hayashikiwi bango kwakuwa ndio asili
Uzee ukija linakuwa tatizo maana huna familiaNyeto zimewaharibu sana vijana
Hawana akili!Mmeshaambiwa muishi nao kwa akili.. Kwahiyo kama hutaki kuishi naye maana yake ni....😂😂😂