Kalamu Yangu
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 1,107
- 1,056
Siye tunaingia Ig tunacheka na reels kisha X , tunamalizia JF tunajadili comment moja baada ya nyingine huku tukifikia hatua ya kujadili Ids za huku na kujaribu kumchora mmiliki wake atakuwaje kisha nashangaa kaishia usingizini katikati ya maongezi anakuja kushituka ni morning groly....Ninavyompelekeaga nyuzi za watu wa JF halafu tunawacheka wote. Yani ni raha sana kwa kweli.
kuna msimu mnajikuta mpo kwa Iddy Makengo mnasoma visa vya wapenzi wanavyotendana kimoyo moyo unawaza siku tusije kuwa sie tu...
Ndoa tamu sana