Kifaduro na kisonono cha wakataa ndoa, zimwi la kuogopwa sana kwenye jamii

Kifaduro na kisonono cha wakataa ndoa, zimwi la kuogopwa sana kwenye jamii

Lengo kubwa ni kuongeza idadi ya mashoga duniani,hata single mama, women empowerment yote Lengo kuzalisha mashoga duniani.
Asilimia kubwa ya mashoga wamelelewa na masingle mama.
Lengo la ushoga ni kuunga mkono dini ya nimrod muendelezo wa freemason na ukiwa members wa FM ni lazima ulike
 
Hizi ndoa namna kazi kisha m nataka watu wa kale vumbi?! Ngoja warudi VETA, wakishahitimu wajiajiri, wakishaanza kupata kipato ndio tuwashawishi waoe. Watu wamechanganyikiwa huku mtaani, njaa kali.
 
Mmeshaambiwa muishi nao kwa akili.. Kwahiyo kama hutaki kuishi naye maana yake ni....😂😂😂
Akili ipi mkuu hii hii ambayo inatakiwa kuleta unga wa ugali nyumbani na kulipa kodi ada za watoto matibabu mavazi nk.
Hapana mtanisamehe kwa kweli yeye ndio inambidi aishi na mimi kwa akili akishindwa ndio tunarudi kule kule kwenye kataa ndoa ni uwizi na utapeli.

Mimi nawaunga mkono KATAA NDOA na hii yote ni kwasababu ya utandawazi,malezi ya jamii yanatoka kwenye mitandao na siyo kwa wazazi na jamii ambayo imetuzunguka,mfano mzuri miaka ya tisini katika ukuaji wangu nilikuwa nikifanya kosa na Lina stahili kuadhibiwa na mkubwa nilipewa adhabu Papo hapo na kisha baadae kesi inaenda kusomwa nyumbani upya kuwa huyu kijana nimemkuta sehemu fulani kufanya hiki na hiki na ameadhibiwa kwa makofi au bakora kadhaa,na nyumbani kuonesha kuwa kitendo kile ambacho nimefanya ni kosa nilikuwa naadhibiwa tena mara ya pili na mazazi au wazazi na unapewa onyo kali likifuatiwa na ushauri juu ya mienendo yako,hapo ndio kesi inakuwa imekwisha.

Sasa turudi katika malezi ya Digitally ni nani anayeweza kumuonya Binti ambaye amevaa mavazi yasiyo na stara au kijana Mlevi,Mwizi,Mzinzi,wazazi wapo bize na kutafuta pesa,Baba akitoka alfajiri akirudi usiku mnene,Mama naye akirudi amechoka hoi bado hajaenda kwenye vikao vya kausha damu na vikoba,malezi ya familia anaachiwa mfanya kazi wa ndani,
 
Back
Top Bottom