Kifo cha Asimwe Novath (Albino); Baba mzazi na Paroko msaidizi washikiliwa kwa tuhuma za mauaji

Inasikitisha sana kukatisha uhai wa mtoto asiye na hatia kama yule kwa tamaa ya Pesa,yes haki za binadamu ila hawa inapaswa kufa kwa kamba kabisa,lazima kama nchi tuanze kutoa mfano wa adhabu ambazo zitakuwa historia na wengine wataogopa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…