Paroko wa Kanisa la Roman Catholic huko Misenyi Kagera ametiwa mbaroni na Polisi pamoja na wenzake wanna akiwemo Baba mzazi wa mtoto albino aliyeuwawa.
Inadaiwa Bwana Paroko Kwa jina la Epidius Rwegishora alimfuata Baba mzazi wa mtoto albino aliyeuwawa na kumshawishi eti wafanye biashara ya viungo.
View: https://www.instagram.com/p/C8Zj-FcNzue/?igsh=MWFjZmdxcHZ2ZHh5MQ==
My Take
Hayo ndio Makanisa yenu na hao ndio Viongozi wenu mnaodai wanawawekea mikono ya Baraka.
Hakuna watu Wana kashfa za uhayawani na unyama ikiwemo uchawi kama Viongozi wa dini mlizoletewa na Wazungu na Waarabu kuanzia usenge(Ushoga) Hadi kulawiti Watoto.Very sad.
R.I.P mtoto.