Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Tujitahidi kumuomba tuu Mungu kwakweliMwanamke anae walea watoto wake vyema hawawezi kuwa wakatili , na mda mwingine wanaume hufanya ukatili chanzo ni ili afanye Mwanamke wake afurahi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tujitahidi kumuomba tuu Mungu kwakweliMwanamke anae walea watoto wake vyema hawawezi kuwa wakatili , na mda mwingine wanaume hufanya ukatili chanzo ni ili afanye Mwanamke wake afurahi.
Chanzo ni nani....Wanaotupa vichanga,
Kutoa mimba,
Kimeza p2.
Hao ni wanaume?
Uasi haina jinsia
Aisee= ukatili
Ebu fungua hizo codes zaidi ili tukusome kidogo!!Tunataka kauli ya kanisa Catholic kwa mmoja wa wahusika wao waliohusika na ukatili huu utoe tamko na umvu updre kabisa
Dah wagalatia kimeumana asee sijui tutajificha wapi? Tumekwisha asee.View attachment 3020803
Kupitia taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi David Misime imewataja watuhumiwa waliokamatwa ambao walieleza jinsi walivyoshiriki katika tukio hilo ni pamoja Baba mzazi wa mtoto huyo aitwaye Novart Venant, Desideli Evarist ambaye ni mganga wa jadi mkazi wa Nyakahama, Elipidius Rwegoshora Paroko Maidizi wa Parokia ya Bugandika ambaye anadaiwa kumfuata na kumshawishi Baba mzazi wa mtoto ili wafanye biashara ya viungo vya binadamu.
Paroko huyo pia anatuhumiwa kuwa ndiye allyemtafuta mganga wa jadi na kulipia gharama zote za uganga.
Watuhumiwa wengine ni Dastan Kaiza mkazi wa Bushagara, Faswiru Athuman mkazi wa Nyakahama, Gozibert Alkadi mkazi wa Nyakahama Kamachumu, Rwenyagira Burkadi mkazi wa Nyakahama Kamachumu, Ramadhani Selestine mkazi wa Kamachumu na Nurduni Hamada mkazi wa Kamachumu.
Credit - HabariMtandaoni
Yani hata mteja hawakuwa naye! Huu ni wendawazimu wa aina gani!Watu tunaowaamini kwenye jamii ndo wanatenda ukatiri wa hivi kumuua malaika Mtoto Asimwe ili wakafanye ushirikina.
-----
Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Raia wema wanaochukia vitendo vya kinyama baada ya msako mkali kuanzia May 31, 2024 hadi usiku wa kuamkia leo June 19, 2024 wamefanikisha kukamatwa kwa Watu tisa wakiwa na viungo vinavyodhaniwa ni vya Mtoto Albino Asimwe Novart (aliyeuawa Wilayani Muleba Mkoani Kagera) wakiwa wamehifadhi katika vifungashio vya plastiki wakitafuta Mteja Mkoani Kagera.
Siyo kweli ni uwongoView attachment 3020803
Kupitia taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi David Misime imewataja watuhumiwa waliokamatwa ambao walieleza jinsi walivyoshiriki katika tukio hilo ni pamoja Baba mzazi wa mtoto huyo aitwaye Novart Venant, Desideli Evarist ambaye ni mganga wa jadi mkazi wa Nyakahama, Elipidius Rwegoshora Paroko Maidizi wa Parokia ya Bugandika ambaye anadaiwa kumfuata na kumshawishi Baba mzazi wa mtoto ili wafanye biashara ya viungo vya binadamu.
Paroko huyo pia anatuhumiwa kuwa ndiye allyemtafuta mganga wa jadi na kulipia gharama zote za uganga.
Watuhumiwa wengine ni Dastan Kaiza mkazi wa Bushagara, Faswiru Athuman mkazi wa Nyakahama, Gozibert Alkadi mkazi wa Nyakahama Kamachumu, Rwenyagira Burkadi mkazi wa Nyakahama Kamachumu, Ramadhani Selestine mkazi wa Kamachumu na Nurduni Hamada mkazi wa Kamachumu.
Credit - HabariMtandaoni
Dunia imebadilika sana kwa sasa.Hatari sana watumishi wa bwana wamekua wachawi
Inasikitisha sanaDunia imebadilika sana kwa sasa.
Ndugu zangu Watanzania
Nimesema na niliandika humu kuwa Damu ya mtoto yule mwenye Ulemavu wa ngozi aliyeuwawa kikatili Itazungumza na kunena mpaka watu wote waliohusika wakamatwe.sasa wote wamekamatwa akiwepo baba Mzazi wa mtoto aliyeshawishiwa na Paroko kufanya kitendo hicho cha kinyama.
Ambaye paroko huyo alimtafuta mganga wa kienyeji kwa ajili ya kufanya biashara hiyo haramu ya viungo vya binadamu. Watu hao na wengine ambao jumla yao ni tisa wamekutwa pia na viungo hivyo vya binadamu katika mifuko wakiwa wapo katika harakati za kutafuta wateja.View attachment 3020834