Kifo cha David Balali: Kauli mbalimbali toka kwa watanzania

Kifo cha David Balali: Kauli mbalimbali toka kwa watanzania

Mkuu Mushi1,

Punguza jaziba mkuu, huyu balali awe amekufa au yuko hai kwa sasa liko nje ya control yetu lakini tunaweza kutumia plan B iwapo tutatulia na kuangalia clue kwani naamini kabisa kama hakufa wametudanya tutajua, kwani lazima tutapata clue inayoonyesha hivyo, kama alikufa tutajua tu mimi naamini kuwa watanzania wote sio wajinga kiasi ambacho serikali inafikiri.

Membe katoka kusema kuwa serikali isituishwe mzigo wa kifo cha balali, lakini hakuna jinsi ya kuacha kuioji serikali kwani tangia alipoondoka wao walionyesha kujiusisha zaidi kwa kulipa bili ya hospitali isiyojulikana ndo maana wananchi wanataka kujua kutoka serikalini.

Mimi naomba tuunmgane badala ya kubishana, mtu akipata data atuwekee hapa kwani naamini kabisa kuna clue walizosahau, vitu vya aina hii havikosagi clue lazima tutaipata na serikali itajikuta haina cha kuwaeleza wananchi ukweli utakapo julikana.

Tusidharau hata kidogto mawazo ya wenzetu na kuwaacuse kuwa wamenunuliwa na CCM kwani kila mtu ana mawazo tofauti, kuna watu wanaoamini kuwa mpaka sasa balali hajafa na kuna wanaoamini kafa wote wako sawa till ushaidi wa kuwa amekufa au hakufa umepatikana.
 
jmushi... sasa unaanza kuona mwanga? ukitafuta majibu utapata usiishie kuuliza maswali tu...
 
Kuwekewa simu na akakaa miezi 9 hilo linawezekana lakini una hakika gani RA au EL si wote ni mafisadi
 
Mkuu Mushi1,

Punguza jaziba mkuu, huyu balali awe amekufa au yuko hai kwa sasa liko nje ya control yetu lakini tunaweza kutumia plan B iwapo tutatulia na kuangalia clue kwani naamini kabisa kama hakufa wametudanya tutajua, kwani lazima tutapata clue inayoonyesha hivyo, kama alikufa tutajua tu mimi naamini kuwa watanzania wote sio wajinga kiasi ambacho serikali inafikiri.

Membe katoka kusema kuwa serikali isituishwe mzigo wa kifo cha balali, lakini hakuna jinsi ya kuacha kuioji serikali kwani tangia alipoondoka wao walionyesha kujiusisha zaidi kwa kulipa bili ya hospitali isiyojulikana ndo maana wananchi wanataka kujua kutoka serikalini.

Mimi naomba tuunmgane badala ya kubishana, mtu akipata data atuwekee hapa kwani naamini kabisa kuna clue walizosahau, vitu vya aina hii havikosagi clue lazima tutaipata na serikali itajikuta haina cha kuwaeleza wananchi ukweli utakapo julikana.

Tusidharau hata kidogto mawazo ya wenzetu na kuwaacuse kuwa wamenunuliwa na CCM kwani kila mtu ana mawazo tofauti, kuna watu wanaoamini kuwa mpaka sasa balali hajafa na kuna wanaoamini kafa wote wako sawa till ushaidi wa kuwa amekufa au hakufa umepatikana.

Ila sikubaliani na hizi semi za hawa wan CCM eti nina Jazba!
Nani hakumbuki mlivyomfanya mzee wa Kiraracha akaonekana kichaaa na mwenye jazba huku mkiutumia upole uliokithiri wa watanzania kwa maslahi yenu ya kifisadi?
CCM haiwezi kuwaambia watu namna ya kudili na ufisadi wao wenyewe!
 
basi mbowe si aseme tu anachojua kuliko kusema mkono wa vigogo (awataje) !! hata kama anawasuspect ! otherwise nachukulia maneno yake kama politics ! yeye pia si alivunjika mguu wiki iliyopita, au kulikuwa na mkono wa vigogo ?
 
Hawa hawana jipya sasa kazi ya siasa wameacha na kujihusisha na upelelezi .hivi wameibua mangapi na mangapi yamebaki ,mbona hatuoni nguvu za kisiasa katika hekaheka hizi za upaparazi ,hivi watu hawa wamesahau kama huo upelelezi wao hauna mshiko na hautamsaidia Mtanzania katika maisha yake ya kila siku ,okay wanapeleleza ,wanabaka nyaraka na vielelezo kibao ukiagali hatima yake utaona hakuna zaidi ya wahusika kuachizwa kazi na kupewa mwengine ambae ni miongoni mwao.
Hakuna faida hata moja ambayo imepatika zaidi ya kusaidia biashara za magazeti.
Nahisi kuna haja ya kuandaa mikakati ambayo itawezesha upelelezi wao kuwa na mshiko na watu au raia wanaposikia kuwa paparazi kaibuka na ishu nzito basi hakuna salama lazima mtu atakwenda jela tu.ila hapa tulipo mtu anaibuliwa lakini anaondoka katika wadhifa aliohusika na kubakia kimeta katika sehemu nyengine.
Hebu tuangalie ni wangapi wameibuliwa na kukiri kuwa kweli wamehusika ?Naomba jibu hapo !
Ni wangapi wameibuliwa na wamesema wameonewa ? Naomba jibu hapo !
Nikiombacho kwa wana siasa hawa wanaoibua harufu mbaya kwanza waelekeze watu katika kudai KATIBA haya maandamano yanayofanywa sijui Inchi nzima maandamano haya hayana faida hata moja zaidi ya kupoteza fedha tu ,ila kama maandamano haya yangekuwa ya kuwashawishi wananchi wadai KATIBA mpya inayokidhi utawala wa vyama vingi naona kungekuwa na muelekeo mkubwa wa maendeleo hapo baadae na tokea yalipoanza basi tayari wangelikuwa wameshaifikisha mbali serikali ya Kikwete.
Huu si wakati wa kumsikiliza mtu moja tu akisema kwa sasa hatuhitaji mabadiliko ya Katiba ,tunasubiri mtu mmoja aende mahakamani kufungua kesi ya madai ya Katiba ,mtu huyu angepata nguvu kama vyama vingine navyo kwa upande wake vingelikuwa vimeshaanzisha vuguvugu la kudai KATIBA mpya.
Tunamwita Muungwana na serikali yake kuwa ni yausanii lakini haya ya vyama vya Upinzani ni usanii mkubwa pengine kuushinda huu wa Kikwete & Group Co.
Huu mkakati wa kuibua mafisadi kuanzia Mkapa hadi mawaziri wa Kikwete si hoja akawemo na Kikwete mwenyewe huu kama si usanii ni kitu gani ? watu hawa mnajua wazi wanalindwa na Katiba iliyoundwa chini ya Chama kimoja ,hivi sasa tumebakiza miaka miwili kuingia katika uchaguzi tume ya kusimamia Uchaguzi inaendelezwa na kulindwa na katiba ile ile ya Utawala wa Chama kimoja,mahakama majeshi mapolisi wamo katika kufanya kazi zao kwa kutumia katiba ile ile ya mfumo wa Chama kimoja....Hivi wapinzani hawa raia mnaowapiga domo mnawapeleka wapi ? Hapa ndipo mnapowapiga chenga wakati nyie mkifakamia ruzuku toka serikalini ni wazi mnawadanganya hamuwambii ukweli kuwa hata raia wote wachague mgombea kutoka upinzani bado tume inaweza kabisa kupiga teke na kutangaza inavyotaka bado kabisa polisi inaweza kutumika kuiba matokeo na kuwagandamiza wapinzani,bado kabisa mahakama zinaweza kuubadili ukweli ,bado kaisa sheria zinawalinda viongozi .
Mabadiliko ya KATIBA ni kitu cha Lazima kabla ya mambo yote kuanzia kuwaibua mafisadi hadi kuelekea Uchaguzi mkuu.
Tusidanganyane na hizi hekaa za kujifanya mtu ni hodari wa kuibua hili na lile ni kuwadanganya wananchi kiasi cha baadae kuwasikia wananchi wakikoromea vyama vya siasa kuwa vinashirikiana na Chama Tawala.
 
Now ninaomba kuuliza hivi, Balali alifutiwa viza na serikali ya US akiwa US tayari, sasa ilikuwaje aliendelea kuishi huko bila ya viza? Naomba wenye kujua zaidi wanisaidie hili!

Maana kwa ufahamu wangu mdogo mtu akifutiwa viza akiwa ndani ya US, basi anatakiwa kuondoka haraka sana kama hakurudishwa na wenyewe wanyamwezi, au?


Mkuu FMES!

Inavyosemekana, marehemu alikuwa na uraia wa US......pamoja na uraia wa TZ. Na kama unavyoelewa sheria za US hazikatazi raia wao kuchukua uraia mwingine (in his case uraia wa TZ) ILA sheria za kwetu zinakataza hivyo.....kwahiyo inaelekea it was an open secret kuwa alikuwa na ganda letu ambalo ndiyo inawezekana alipewa visa kama gavana na hivyo hiyo visa ilivyokuwa revoked....haikumsumbua sana kwasababu....ana uraia wa US na technically ukiwa raia hutakiwa kuomba visa.....hivyo yeye alikuwa anafanya makusudi kuchukua visa (kimakosa)....kwasababu anazozijua mwenyewe......
The analogy might not make sense BUT nevertheless it is as close to the truth as it can be....UNLESS.....sirikali yetu kwa makususi kabisa ilikuwa inapotosha habari za visa yake kuwa revoked.......lakini kama ni hivyo inamaanisha na Balozi wa US Tanzania was also in the game?? Maana na yeye aliconfirm kuwa visa yake ilikuwa revoked....
 
Ni jana tu wanyamwezi wamekamata Carlifonia watu 950, na watu 270 wamekamatwa huko nafikiri Minnesota, sasa wanasubiri kurudishwa, ninachojua ni kwamba toka baada ya September 11, huwa wanaku-deport wenyewe hawakupi tena nafasi ya kuamua mwenyewe kama zamani, na ninawajua watu wengi sana waliofanyiwa hivyo since 2001, sasa ilikuwaje hawakumfanyia Balali?

Mkuu,
kuna kitu inatwa 'Removal Proceedings.' Hii kitu inatokea pale immigrant anapogundulika kuwa hana kibali cha kuishi nchini. Usually, USCIS wana prepare case na kuipeleka kwenye court yao (immigration court). Katika kipindi chote cha case, illegal immigrant ana kuwa kwenye 'Removal proceedings' window. During this window, defendant anaweza kuchukuwa kitu inaitwa 'Voluntary Departure.' Basically, hii kitu inasaidia kama una mpango wa kurudi kwenye ardhi ya U.S. in the near future. Otherwise, once court wakitoa judgement against the illegal alien, immigration wana issue kitu inaitwa 'Deportation Order.' Hii order inakupa 90 days kukusanya kilicho chako na kutambaa kwenu.

Sasa basi, kama hizo 90 days ziki-expire na bado unadunda tu nchini, USCIS court wana issue kitu inaitwa 'Warrant of Arrest.' Hapo ndipo kosa dogo kama la trafic violation linaweza kukulengesha kwa wajomba wa uhamiaji.

In short, 90 days period ni haki ya kila illegal alien ambaye amekuwa issued deportation order. Exception ni pale tu illegal alien anapo-pose threat kwenye society in one way or another.

Addition
Sheria za U.S. Green Card ni kwamba holder anapaswa kuishi Marekani. So it is expected holder ata residein the U.S. Once ukihamua kwenda kuishi nchi nyingine, basi unapaswa ku-give up privilege ya GC. Hii ndio sheria.

Sasa je inawezekana kuishi nje ya U.S. permanently na bado uka maintain U.S. GC?

Kwa sheria za USCIS, jibu ni hapana. Unaruhusiwa tu kuwa nje ya U.S.temporarly up to 6months at one time. Kama ukikaa nje zaidi ya miezi 6, unapaswa ku-apply kitu inaitwa 'Re-entry permit' pindi unapokuwa tayari kurudi Marekani.

Je kuna U.S. GC holders wanaovunja sheria kwa kukaa nje ya U.S. permanetly?

Jibu ni ndio. Wapo wengi tu wanaominya makwao lakini wana GC. Wengi wao wanachofanya ni kuingizana ma-U.S. kila baada ya miezi 6 ku-maintain status yao. Lakini ukweli ni kwamba wanavunja sheria za GC. Na once wakishtukiwa, USCIS wanakila haki ya ku-revoke their GC status.

Kumbuka, initial intention ya GC ni ku-reside in the U.S. permanently. Sasa kama unaminya nchi nyingine, unapindisha the main intention. Na once ukibambwa utawekwa kwenye kona kui-defend GC yako.

Well, I know one exception ya U.S. GC holders ambao wanaruhusiwa kuwa nje ya U.S. zaidi ya miezi sita bila ya kuhitaji re-entry permit once wanaporudi..... Wale walikuwa kwenye U.S. military.
.............................................................................................
Samahani kwa kutoka nje ya mada. Lakini pengine kulikuwa na umuhimu wa kuelimishana kuhusu hili.
 
Inavyosemekana, marehemu alikuwa na uraia wa US......

...lakini kama ni hivyo inamaanisha na Balozi wa US Tanzania was also in the game?? Maana na yeye aliconfirm kuwa visa yake ilikuwa revoked....

Kigoma,

Umeanza na assumption ku prove assumption. Inaitwa circular argument.

Ishu, ama maswali, ya watu hapa ni Immigrant status ya Ballali. Kwa hiyo huwezi kuanza na 'inasemekana...' Hilo ndilo fumbo kwa baadhi ya watu.

Inasemekana. Nani kasema?

Ballali hakuwa na Uraia wa Nchi mbili wala hakuwa na Green Card. Ishu rahisi sana hii.
 
Kigoma,

Umeanza na assumption ku prove assumption. Inaitwa circular argument.

Ishu, ama maswali, ya watu hapa ni Immigrant status ya Chenge. Kwa hiyo huwezi kuanza na 'inasemekana...' Hilo ndilo fumbo kwa baadhi ya watu.

Inasemekana. Nani kasema?

Chenge hakuwa na Uraia wa Nchi mbili wala hakuwa na Green Card. Ishu rahisi sana hii.

na chenge keshakuwa marehemu tena jamani au ni typo?
 
Kama mwenyekiti wa chama ndio anaongea irresponsibly hivi basi naweza kupata picha vikao vya chama hiki vinavyokuwa.

Chama hiki kwa karne hii hakiwezi kuongoza nchi, ila mchango wao katika kutafuta na kuziweka hadharani habari za ufisadi na mafisadi unahitajika.
 
QM, ahsante.

Siwaelewi ndugu zangu wengine wanao tatanishwa na hili la Visa na Uraia wa Ballali jamani. Kama unayo Visa ya kukaa hapa tayari, basi ulipitia pitia viutaratibu fulani kuhusu Visa na unajua, au inabidi ujue, mpango wote wa Visa na baadae kupata Uraia wa US unakuwaje. Na hata mtu ambae hana Visa ya kuendelea kuishi US, huyo ndio nadhani yuko super curious kujua, na at some point ninahakika 100% alishawahi kuulizia, mpango wa kurekebisha maswala unakuwaje, na matoke ya kutokuwa nayo ni nini, na kama wanakutafuta au la?

Kwa hiyo sikutegemea kabisa masuala ya Visa Status ya Ballali yatatupiga chenga wahamiaji, hususan waishio US. Hakuna utata hapa. Ballali hakuwa Raia wala hakuwa na Green Card. Kuna wahamiaji hapa, wako US wanatatanishwa ni hili swala. Sielewi kabisa ni kivipi, whether umesha "jilipua" au bado.

Kama tunaenda na magazeti ya Bongo, yale magazeti jamani ni machovu. Nipashe imeripoti kwamba US walimfutia Uraia Ballali. Well, hawajui tofauti ya Visa na Uraia wale. Wale wanakuja hapa kuchukua habari kwa walioko huku. Ballali hakuwa Raia wala hakuwa na Green Card. Tusiwasikilize Nipashe!
 
Acheni unafiki wenu hapa Mbowe ameongea kama mwenyekiti wa CHADEMA na aliyosema ni sahihi, kama nyie mna jipya wekeni hapa tusome sio kuwa vibaraka na makuwadi wa MAFISADI tu.

Mlitaka amsifu Kikwete kwa kwenda Japan?
 
Nipashe imeripoti kwamba US walimfutia Uraia Ballali. Well, hawajui tofauti ya Visa na Uraia wale. Wale wanakuja hapa kuchukua habari kwa walioko huku. Ballali hakuwa Raia wala hakuwa na Green Card. Tusiwasikilize Nipashe!

Kuhani,
Nipashe walikosea big time kwa hili

Uraia wa U.S. haufutwi. Once ukishakuwa raia wa marekani, ndio imetoka hiyo. Unless uukane mwenyewe, ni uraia ambao utaenda nao kaburini.

GC, asylum,na visa zote zinaweza kufutwa, lakini uraia kamwe haufutwi.
 
Kwa hiyo sikutegemea kabisa masuala ya Visa Status ya Ballali yatatupiga chenga wahamiaji,

Mkuu heshima yako, aliyeliuliza hili swali ni mimi sio mtu yoyote mwingine, na
nimeliuliza kwa nia njema ya kutaka kuelimishwa, sasa naona inaazna kuwa taabu na majibu ya uhakika siyaoni zaidi ya hoja za ubabe, sio shida mmkakubali kuwa hamuelewi, badala ya kutaka kurushiana matusi na kejeli,

Kama ni huko majuu tunajua ni kuwa tulikuwepo huko hata kabla hamjaenda wala kufikiria kwenda huko, sasa either tuambieni kama mnajua Balali alikuwa na status gani au hamjui, kama ni majuu wengine tulishakuwa mpaka ma-DJ huko tena kati kati ya New York, sasa sioni tatizo ni lipi mnalotaka kututisha nalo? Hilo gazeti ni yale yale ya nonesense!

Ninasema hivi nia na madhumuni yangu ilikuwa kujua Balali alikuwa na status ipi huko US, na hasa baada ya viza yake kuwa revoked, wakati ambao wabunge wa upinzani walikuwa Congress kuelezea pamoja na mengine madhambi yake! Sasa kama kuna anayejua Balali alikuwa na status ipi ya viza aseme au tukubali kuwa hatujui.
 
Back
Top Bottom