Kifo cha David Balali: Kauli mbalimbali toka kwa watanzania

Kifo cha David Balali: Kauli mbalimbali toka kwa watanzania

Familia ya mke wa marehemu, ni kubwa sana nafikri kama sikosei kwa wale tuliowahi kufika Musoma, hawa ni next almost to familia ya Mwalimu, kwa heshima ya African Clan, wametokea kwenye very strong family values kwa sababu baba yao alikuwa kiongozi mkubwa sana wa dini ya Christianity kule, watoto wote wamesoma sana isipokuwa mmoja tu wa mwisho, ni familia inyoheshimika sana kwa ujumla, ni watu very objective na kwa wale tunaowajua kwa kairibu ni watu wenye very strong mind na very independent kwamba sio rahisi kuwafanya wote wakubali kunyamaza wakati wanajua ukweli kuwa ni tofauti na unaosemwa,

Ina maana kuwa baada ya yote haya, Balali na mkewe wataendelea kusihi kama kaiwada, hao wazungu marafiki zao wa IMF wataendeelea kuwatembelea kama kawaida, kina Sefue wataendelea kushirikiana nao kama kawaida,

Halafu Mkuu Freeman, ambaye wengi tunamtegemea kuja kuwa rais wetu one day, na yeye amepoteza muda wote huu kuilaumu serikali kwa kitu ambacho anajua kuwa sio kweli, akakubali kuweka credibility yake na sisi wananchi at stake kwa kuwaheshimu sana familia ya Balali kuliko sisi wananchi, kwa sababu familia hiyo imemuahidi kuwa Balali hatakuja kuonekana tena maana watamficha vizuri sana?

Halafu watoto wa familia nzima ya watu wa Balali na Muganda waliokuwepo kwenye msiba mpaka mazishi, na wao pia wataendelea kuelimishwa kila siku kuwa uncle Balali hajafa ila tulikuwa tu tunadanganya for a good reasons, kwa hiyo msishangae mlipokuwa watoto tulimzika that was not him ila tulikuwa tunadanganay tu!

It does not make a sense at all!
FMES,
...are you trying to convince all visitors here (JF) that Ballali has died AMID all doubts? Do you want to tell us that faking death to Ballali's saga is NON-SENSE! I thought you're patriot to let others view their opnions, but now I start sensing that they trying using you knowing JF's member believe in whatever come from your keyboard!!

The point is, since you started a thread proves Ballali's death someone has started this STICKY thread negate your theory. Here, JF members are trying to raise their concerns as to why Ballali's death has faked and not NON-SENSE. PLEASE tells whomever send you to negate that "PEOPLE have awaken and no one will take them BACK"! If you don't know yet, go and ask Pinda!
 
Pamoja na respect zote, mabosi wote wa IMF walijua vizuri balali alichokifanya Tanzania na wote waliendeleza heshima hiyo hiyo waliokuwa nayo kwake mpaka kufa kwake.

Balozi wetu pamoja na kujua yote yaliyotendeka Tanzania aliendelea kuwasiliana naye vizuri tu na kumtembelea kama baadhi walivyosema hapa.

Watoto wake wenye misimamo/walisoma na kuelimika saana walijua yote kuwa Balali anatafutwa na watanzania mpaka sasa hakuna aliyejitokeza hata kumuuliza ilikuwaje hata wakfahamisha jamii ya watanzania tukajua kulikoni, ili tusiendelee kumuandama?

Kwa nini hawakutumia usomi wao, Hata hawakumsaidia kumpeleka ktk vyombo vya kisheria vya kimatifa hili asiendelee kuandamwa?

bado kuna ka-mshikeli fulani fulani

Sounds more like an Economic Hitman
 
Hivi balali awe kafa au hajafa kutatusaidia nini?naona ni kupoteza muda tu kujadili kufa au kutokufa kwa balali!kwani balali yeye ndo alikuwa kila kitu?Jamani loosing time kubwabwaja hapa kuhusu kuamini balali kafa au hajafa hakutotusaidia!
 
Wana JF kweli kiboko. Najua ukweli utajulikana tuu siku moja. Naomba niulize hivi kwani sisi ambao tunaweza kusoma na kutoa maoni yetu hapa hatujasoma sio? Watoto (Wajinga, wachovu ) wa Balaa la Hali (Balali) ndio wasomi wazuri sana. MAFISADI WAKUBWA HAO. Bora babu yangu aliyeko kule kijijini huwa nikimpa hela ananiuliza umezipata kihalali? Au ni Dhuluma? kama sii za halali hatapokea. Babu yangu ni msomi zaidi ya hao Mabubu wa Balali. How come they are hiding the truth? Kama kweli wamesoma watuambie ukweli kuhusu baba yao.

FMES angalia usipoteze credibility yako kwa kutetea ujinga.
 

Balali kafa. "Akifufuka", atakuwa mtu wa pili kufanya hivyo baada ya Yesu Kristo!
nani aliekwambia kama Yesu alikufa msalabani ,hii sasa ni hatari unajua huu ufisadi haukuanza leo kuna muimbaji alisema mambo yalianzia tokea kwa adamu na eva.
Pale msalabani yesu akufa jamaa walitoa rushwa pilato akamwonnjesha vijidawa akazimia kwa haraka na misheni ikafanikiwa.
"Pilate had been bribed to allow Jesus to be taken down from the cross before he was dead." sasa hata Balali inawezekana kabisa watu wakaamini amekufa lakini huwezi kujua kama feza ilitumika kufanya mauza uza.
 
nani aliekwambia kama Yesu alikufa msalabani ,hii sasa ni hatari unajua huu ufisadi haukuanza leo kuna muimbaji alisema mambo yalianzia tokea kwa adamu na eva.
Pale msalabani yesu akufa jamaa walitoa rushwa pilato akamwonnjesha vijidawa akazimia kwa haraka na misheni ikafanikiwa.
"Pilate had been bribed to allow Jesus to be taken down from the cross before he was dead." sasa hata Balali inawezekana kabisa watu wakaamini amekufa lakini huwezi kujua kama feza ilitumika kufanya mauza uza.
usilete malumbano yako ya kijinga hapa, kwenye jukwaa la dini mmewekewa biti ndo unaanza kuropokwa hapa, kwani we nani alikwambia Yesu hakufa msalabani?
 
Social Security Death Index Search Results
81,529,674 Records
last updated on 5-20-2008 The key to your research
Join Ancestry.com Today!



The most full-featured SSDI search engine on, the internet

Field Value Records Results
Last Name BALALI 0 0
First Name DAUD Scanned
Middle Name T Scanned

Nothing found
Sasa hapo ndio sijui kama hiyo result ni kweli au si kweli ila hakuna rekodi ya mtu anaeitwa Daud T balali kuwa amefariki. naenda kuguguli tena.

Mkuu, naomba hiyo site na mimi nikusaidie kuguguli. kama kuiweka hadharani ni noma, nitumie kwenye PM yangu tafadhali
 
I cant imagine situation itakuwaje kama ikija kujulikana kw aushahidi kuwa huyu balali hajafa.... tanzania tanzania sijui kutakuwaje?
 
usilete malumbano yako ya kijinga hapa, kwenye jukwaa la dini mmewekewa biti ndo unaanza kuropokwa hapa, kwani we nani alikwambia Yesu hakufa msalabani?

Usiendeleze ubishi huu, utatupotezea muda. Ni vema huyu jamaa akarejea hukohuko kwenye jukwaa lao la mabishano yasiyo na mwelekeo
 
Familia ya mke wa marehemu, ni kubwa sana nafikri kama sikosei kwa wale tuliowahi kufika Musoma, hawa ni next almost to familia ya Mwalimu, kwa heshima ya African Clan, wametokea kwenye very strong family values kwa sababu baba yao alikuwa kiongozi mkubwa sana wa dini ya Christianity kule, watoto wote wamesoma sana isipokuwa mmoja tu wa mwisho, ni familia inyoheshimika sana kwa ujumla, ni watu very objective na kwa wale tunaowajua kwa kairibu ni watu wenye very strong mind na very independent kwamba sio rahisi kuwafanya wote wakubali kunyamaza wakati wanajua ukweli kuwa ni tofauti na unaosemwa...

FMES,

Nataka kuongeza viwili vitatu kwenye uchambuzi wako wa familia ya Muganda na ambavyo wangeweza kusaidia kwenye huu mtafaruku.

Hata mimi sipo katika kambi ya dhana za njama zinazosema Ballali hajafa, japo suala zima bado lina utatanishi mkubwa kama Serikali kusema haiijui hospitali wakati ililipia gharama za matibabu. Lakini nadhani ukimya wa familia ya Muganda tusiharakishe kuutafsiri kumaanisha lolote.

Kwanza, hatujui kama wanajua ukweli tofauti na unaosemwa, na ndo maana labda wako kimya, assuming ni "watu very objective ... watu wenye very strong mind na very independent," kama ulivyo wa characterize.

Na pia, sidhani kama wana clout ya kuingilia hili swala au kumwekea dada yao shinikizo katika mambo ya familia yake, tena yenye ukubwa wa Kitaifa.

Mambo ya ndani ya familia ni vigumu kuyajua lakini nadhani ambae angeweza kuingilia au kumshawishi Anna kama angekuwepo ni Kaka yake Bernard aliye kuwa Foregn Affairs ambae bahati mbaya alisha fariki. Mwingine mwenye community standing ni kaka yake, Josia, Pastor mmoja mstaafu, mkimya mkimya na hajakaa ki-politics politics kabisa. Hivyo hivyo na dada yake, Perusi, ambae pia amechukua wito wa utumishi wa Baba yao, marehemu Ezekiel, na huwa anapenda sana privacy yake kwenye utumishi wake. Hawa sio watu outspoken hata kidogo, at least not in the public arena. Mwingine, mwenye community standing, Alex, analingana lingana na Anna ki umri. Hawa wote nadhani hawamuwezi "alwatan" Anna aliyebobea katika mambo ya Kitaifa, Siasa na Kashfa baada ya ku role na ma Governor na ma First Lady, na Mabalozi na kina Rais Mkapa, kupitia shoga yake Anna Mkapa. Sidhani kama kuna credible family influence kuingilia kati kutoa picha tofauti na Anna anvyo i potray au ku exact pressure on Anna ya kutosha kumtapisha "dataz" kama hataki kusema.

Na mwisho, kuhusu stature ya familia ya Muganda kule kwao, umaarufu wao ulikuwa within the confines of their small, largely unknown Anabaptist Mennonite Church. Sidhani kama walikuwa "next almost to familia ya Mwalimu, kwa heshima ya African Clan." Na kutokana na ukubwa wa mkoa wa Mara, sidhani kama kuna familia kama hiyo, ukiachilia mbali ugumu wa kupima hiyo stature. Na hata within the spheres of the small church, reputation yao kanisani ilimomonyoka mno wakati Josia alipojikuta katikati ya mgogoro mkubwa ulio taka kulivunja kanisa katika vita vya madaraka.

Kwa hiyo nadhani hata kama upande wa Anna wa Familia wangekuwa wana dhana nyingine inayotofautiana na picha iliyoko hadharani, labda wasingekuwa na political (or moral) clout kuweza kuingilia hili swala.
 
Mwafrika wa Kike,

Mimi nimeandika mara nyingi hapa na kuudhi baadhi ya watu lakini msimamo wangu bado ni ule ule, nakubaliana na wewe kabisa na bado naendelea kuamini Ballali hajafa.

Watanzania tunaingizwa kwenye udanganyifu mkubwa sana. Tumeibiwa pesa zetu na sasa tunafanywa wajinga na kuanza kudanganywa.

Mimi kuna watu ambao nafahamiana nao kwa muda mrefu ambao ni wahusika wakuu kwenye hili jambo, ningeweza kukaa kimya ili kulinda urafiki. Ila imani yangu na moyo wangu unakataa maana kila nikifikiria napata sababu nyingi za kuamini Ballali hajafa kuliko za kunifanya niamini.

Inaelekea nchi yetu haina serikali, usalama wa taifa ni watupu na wanachojua ni kuiba na kutishia wananchi maskini badala ya kukabiliana na mafia wa kimataifa kama akina Ballali pamoja na watu wake ndani ya serikali yetu.

Tuendelee kupiga kelele mpaka kieleweke.

Hivi haya MAISHA tunakwenda wapi WATANZANIA, Huu ni ujinga ambao dhambi yake haiji kufutika kamwe maana kama ni kweli ina maana hata JK nae anajua hili, Pinda na viongozi wengine wanaojidai kujua kuficha SIRI.

Yaaani sasa hivi ndo itakuwa tabia mtu akishafanya upumbavu wa tamaa zake binafsi aidha ANAJIUZULU au ANAPOTEZWA KIUTATA NA SERIKALI.

JK acha kilinda maslahi ya wapuuzu wachache ambao hawakufikiria kama maisha ni mduraa unaozunguka.

Kupotea kwa Balali naamini sasa Mzigo unaangukia kwa MRAMBA na tunaelewa kabisa HUUMWI hakuna kujidai unaenda kutibiwa USA maana ndio kwenye maficho yenu, MGONJA (ambaye still bado Kiongozi) Haki ya Mungu hivi kweli jamani, Fujaji bado lipo Madarakani tena pale pale ambapo ndio pana ushahidi kama sio kutaka kupoteza mafaili ili tusijue ukweli, ila kwa taaarifa tuu Mtiririko wa Situation nzima upo kwenye mikono ya watu nyeti ambao muda wowote wanaweza kulipua na sio kwamba yupo 1 au 2 WENGI NA NINAMAANISHA.

Kazi kwenu
 
Mkuu Wangu Mwafrika Wa Kike,

Naomba nikupe heshima kubwa sana, na ninaheshimu sana the fact kwamba hapa JF tunakuwa na hoja tofauti on the ishu bila kutishana wala matusi, ninaomba kusema yafuatayo kulingana na uchunguzi wangu kuhusu kifo cha Balali, niliyoyagundua

1. Balali ninaamini 100% kuwa amefariki na kuzikwa majuzi kule Silver Spring, walioruhusiwa kuona maiti ni balozi Sefue, ndugu wa karibu, na maofisa wachache toka IMF, mwili wa marehemu haukuchomwa ila ulizikwa kama ulivyo. Hakuna laiyekuwa akiuliza kadi za kualikwa kuanzia kanisani mpaka kwenye mazishi, hivyo kupelekea watu wengi ambao hawakualikwa ku-gate crash, mke wake wa zamani alikuwepo so was watoto wake wawili wa mke wa kwanza, na pia mke wa sasa alikuwepo na mtoto wa mke ambaye sio wa Balali alikuwepo pia, Balali na mama wa sasa aliyemuacha hawakuwa na mtoto.

2. Hapa niweke marekebisho makubwa kwa kauli zetu nyingi sana, Balali hakuwahi kuwepo Boston hata wakati mmoja au wowote ule, Marehemu hakuwahi kufanya kazi World Bank kama wengi tulivyoaminishwa, aliwahi kufanya kazi IMF, akiwa na level ya juu sana iliyokuwa inampa nafasi ya kuwasiamia ma-Gavana wote wa Afrika kimashauriano, kwa hiyo alipochukua kazi ya u-Gavana wetu, wakuu huko IMF walishitushwa sana.

3. Niendelee zaidi na uchunguzi wangu ni kwamba Balali, ni kweli alikuwa na nyumba huko DC eneo la Bethesda, mahali panapoitwa Potomac, ambako pia balozi wetu anaishi, lakini aliporudi bongo aliipangissha ile nyumba , na kununua nyumba nyingine mahali panapoitwa Foggbottom, Washington DC eneo wanalosihi watu wakali kama Condy Rice na Bob Dole na wengineo, na ndipo alipofia yaani nyumbani kwake hapo, na hiyo nyumba ipo karibu na Watergate Hotel au apartments.

4. Balali aliondoka mara ya mwisho akielekea US kutokea Dodoma, alianza kupata maumivu makubwa ya tumbo, aliunganisha na kwenda US ambako alikuwa akitbiwa na baadye alipona na kuruhusiwa kurudi nyumbani kwake, ambako alikufa ghafla, siku ya Jumapili iliyopita.

5. Mara baada tu ya kuondoka kwa Balali, na habari zake kuanza kutoka kwenye media na kila mahali, kuna kundi la "Majambazi" lillilokwenda nyumbani kwa Mama wa Balali na kumpa kipigo kikali sana na kuipekua nyumba nje ndani, kule Boko na kuondoka na somethings, lakini haijulikani ni watu gani hawa kama ni majambazi kweli au "Majambazi", mke wa sasa wa Balali ilibidi arudi nyumbani kumuuguza mama mkwe, na ndio chanzo cha kuwekewa walinzi kwenye nyumba hiyo, kama ni wa serikali au wa binafsi hilo sikuweza kuthibitisha.

6. Ninaomba kusema hivi, kuwa serikali haijawahi kuwa ana habari yoyote ya uhakika na hii ishu, zaidi tu ya kuokoteza okoteza hasa hapa JF, hii ni kwa maoni yangu binafsi na mengi ninyoyajua.

Kwa hayo machache, ninaomba kusema kuwa ninaamini 100%, kuwa Balali amekufa, lakini pia ninaheshimu sana hoja ya Ndugu yangu Mwafrika Wa Kike kuwa anaamini kuwa hajafariki. Ningewaomba ndugu zangu wengine humu kuwa tujaribu kutafuta ukweli wa hii habari ili tuweze kuelimishana, hayo niliyoyasema nimeyafanyia kazi kubwa sana ikiwa ni pamoja kutembelea miji yote mitatu ya Boston, Dc, na Louisiana na bado ninaendelea lakini sio kwa kasikubwa tena kama mwanzoni,

Na pia ninaomba niwaombe radhi sana wanafamilia wa marehemu, kuwa sina nina ya kuendelea kuwaumiza na never ending stories on hiki kifo, lakini ni vyema tukweka record straight.

Ahsanteni Ndugu Zangu! JF mbele Zaidi!

SASA KWELI NIMEAMINI U ARE AN INFORMAL SPOKESMAN OF THE GOVERNMENT, BUT STILL TANZANIANS ARE NOT FOOLS TO BUY YOUR STORY. KUNA WALIKINI KATIKA STORY HII YA KIFO CHA BALALI. MAULANA WETU ATATUONYESHA NJIA. MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
To those who believe that Ballali isn't dead: why don't you all just stop running your mouths and asking endless questions instead of looking for answers through some concrete course(s) of action? Why not hire a private detective for example, or embark on legal steps to have Ballali's Death Certificate and /or Medical Records made available to the public? Some of us are fed up and tired of hearing you whining, blaming and repeating the same tired theories ad nauseam like they were some friggin' articles of faith! Damn!
 
To those who believe that Ballali isn't dead: why don't you all just stop running your mouths and asking endless questions instead of looking for answers through some concrete course of action? Why not hire a private detective for example, or embark on legal steps to have Ballali's Death Certificate and /or Medical Records made available to the public? Some of us are fed up and tired of hearing you whining, blaming and repeating the same tired theories ad nauseam like they were some friggin' articles of faith! Damn!

I have done all... and guess what.....
 
nani aliekwambia kama Yesu alikufa msalabani ,hii sasa ni hatari unajua huu ufisadi haukuanza leo kuna muimbaji alisema mambo yalianzia tokea kwa adamu na eva.
Pale msalabani yesu akufa jamaa walitoa rushwa pilato akamwonnjesha vijidawa akazimia kwa haraka na misheni ikafanikiwa.
"Pilate had been bribed to allow Jesus to be taken down from the cross before he was dead." sasa hata Balali inawezekana kabisa watu wakaamini amekufa lakini huwezi kujua kama feza ilitumika kufanya mauza uza.
Kuleta hayo malumbano yenu hapa ni UPUNGUANI mkubwa, acha hizo mkuu hapa sio mahala pake
 
Kwa habari nilizonazo ni kwamba,Pamoja na watu kumuona JK kuwa ni mzuri na hana kashfa nzito ni kwamba, Ushahidi wa Balali ulikuwa ni mchungu kwa JK kuliko kitu chochote na ungemfanya JK aumbuke mbele ya Watanzania na hata uchaguzi wa 2010 asingekuwa na hamu ya kugombea tena. kwa hiyo ndiyo maana waliamua kufanya kila linalowezekana ili asionekane na ni kweli kabisa kuwa BALALI HAJAFA NI MZIMA BUHERI WA AFYA. Ila kilichofanyika ni sayansi ya hali ya juu kutoka serikali.na pia haya yote BWM anayajua na kwa ushahidi tu ni kwamba serikali iliyopo madarakani haitothubutu kumfanya lolote BWM na hata hizi habari mnazosikia za huyu Pinda kuwa serikali inamchunguza ni danganya toto tu, maana huwa wanasema ngoma ya mtoto haikeshi wana JFtutaongea wee mwisho tutalala tu.USHAURI WANGU pamoja na kwamba tunapiga kelele sana sana ,basi naomba ifike mahali tubadili mbinu za mashambulizi ikiwezekana tuwe tunaandaa maandamno ya kupinga mambo haya ya kishenzi kwa jamii, wasiposikia tuanze na silaha za jadi kama mikuki nk na huku akina mwafrica wa kike akitutafutia wadhamini watakaotupa silaha za moto. TUPAMBANE MPAKA TUHAKIKISHE TUNAKIMALIZA KABISA HIKI KIZAZI CHA NYOKA NDANI YA NCHI YETU TULIYOPEWA ZAWADI NA MUNGU
 
kikwete yeye ni 'mtu wa dini' hakutaka kutoa roho ya mtu (balali) na akaamua kumuachia kwa shuruti aondoke na asirejee!
(have a good weekend)
 
I cant imagine situation itakuwaje kama ikija kujulikana kw aushahidi kuwa huyu balali hajafa.... tanzania tanzania sijui kutakuwaje?

Kwani hata ikijulikana kuwa hajafa watanzania mna nini cha kufanya PLS mimi ni Mkenya japokuwa zamani nilikuwa Mtanzania ila nilibadili uraia baada ya kugundua kuwa Watanzania ni sawa na MAITI na mimi siwezi kuwa mmoja wao, kwani hata mlipogundua waziri wenu mkuu ni mwizi mmefanyaje? au raisi wenu wa zamani Ben alikuwa kibaka mmefanya nini? na Chenge je?tena ndiyo kwanza nasikia mmewafanyia sherehe!na tena ole wenu mungu asijenijalia nikawa Kiongozi wenu, ningewafanyia kitu kibaya sana marehemu nyie!
 
Kwani hata ikijulikana kuwa hajafa watanzania mna nini cha kufanya PLS mimi ni Mkenya japokuwa zamani nilikuwa Mtanzania ila nilibadili uraia baada ya kugundua kuwa Watanzania ni sawa na MAITI na mimi siwezi kuwa mmoja wao, kwani hata mlipogundua waziri wenu mkuu ni mwizi mmefanyaje? au raisi wenu wa zamani Ben alikuwa kibaka mmefanya nini? na Chenge je?tena ndiyo kwanza nasikia mmewafanyia sherehe!na tena ole wenu mungu asijenijalia nikawa Kiongozi wenu, ningewafanyia kitu kibaya sana marehemu nyie!

Mjor umetutukana watanzania tusi baya sana kutuita marehemu, lakini kuna ukweli mwingi sana katika matusi yako. duu!
 
Back
Top Bottom