1.
Mkuu Heshima mbele,
Again respect kwa msimamo mzito sana ndio hasa maana ya JF yaani demokrasia juu, wabunge wengi ukiongea nao kwa pembeni, wanasema kuwa kuondoka kwa Balali kwenda huko US hakukubadilisha anything kwa sababu wao wanajua kuwa kila kitu kipo bongo as far as ushahidi kuhusiana na EPA, na wanajua sana kila aliyehusika, wanasema kuwa next bajeti ndio wataanza na EPA kwa hiyo mimi sidhani kama kama serikali imehusika na "kumuuuua" basi imetatua anything na kuna ambayo siwezi kuyaweka hapa oin this nimekutumia kwenye PM nafikrii wakati wake kuwa hapa bado. Lakini ninaamini kwa dhati sana kuwa kuna some serious co-ordinated efforts kujaribu kuzipata hizo documents on the European na US side!
2.
Mkuu hii point nilifikiri kuwa tuliushakubaliana kutokubaliana, wewe unaamini hajafa, mimi ninaamini 100% kuwa amekufa.
3. B]
Balozi Sefue aliuona mwili ndani ya jeneza, wazungu toka World Bank na IMF waliuona ule mwili ndani ya jeneza, watoto wa marehemu waliuona mwili kwenye jeneza, kama hii nayo ni point ya muhimu if you will,
sasa kama wale ambao hawakuwepo wanajua kuwa ule mwili haukuwa wa Balali, kwa kweli hapo sina argument against maana inaonekana kuna watu ambao hawakuwepo huko wanaojua mengi sana ambayo wengine hatujui,
lakini Balozi Sefue ninamuaminia sana tena sana, sio mtu wa wasi wasi wala mbabaishaji kama wengine, sasa for him kumdanganya bosi wake Membe na rais wa Jamhuri, au kwamba wote wana njama moja, kwamba Kikwete naye anahusika na a deal ya 'kumuua" Balali, lakini akamuacha Lowassa ajiuzulu ambaye najua anajua mengi kuliko Balali, nafikiri ni kitendawili kikubwa sana ndugu yangu Mtanzania unakijua.
Otherwise una strong arguments, keep it up mkuu tule education hapa!