Kifo cha David Balali: Kauli mbalimbali toka kwa watanzania

Kifo cha David Balali: Kauli mbalimbali toka kwa watanzania

Rev. Kishoka,

Kulingana na madai ya Dr. Slaa, Anna Muganda hakuwa na share kwenye Meremeta bali alikuwa na shares kwenye kampuni inayoitwa Time Mining ambayo baadaye ilipewa kazi ya kuongoza Meremeta.

Haya makampuni ni mengi mno, rahisi kuchanganya. Yote yana kitu kimoja in common, ni kumwimbia Mtanzania maskini.

Source: Gazeti la Mwananchi


Akizungumzia tuhuma zinazomhusu Gavana wa Benki Kuu, alisema inamhusisha moja kwa moja Gavana huyo na kwamba alifanya uzembe katika upotevu au matumizi mabaya ya fedha za Serikali ndani ya Benki hiyo. Alisema taarifa ya mkaguzi mkuu inamtaja pia mkewe, Anna Muganda kuwa mmoja wa Wakurugenzi wa Kampuni ya Time Mining, ambayo ndiyo iliyokuwa inaendesha kampuni ya Meremeta, na hatimaye imeuzwa kwa bei ya kutupa na baada ya BOT kulipa dhamana ya zaidi ya Dola za marekani 100,000, kabla ya kuuzwa kwa Rand Gold, ambako mama huyo pia anamiliki hisa. "Watanzania tunajiuliza hapa kuna nini? Serikali kila ikihojiwa Bungeni haitoi majibu kama alivyojibu waziri wa Fedha Bungeni juzi. Wakurugenzi wa Alex Stewart waliolipwa zaidi ya Dola za marekani 65 millioni nao walitoka Time Mining ambako Ana Muganda anahusika." alisema Dk. Slaa.

Dk Slaa aliomba Gavana Balali ajiuzulu kutokana na kashfa hizo zinazomkabili. Vile vile , Dk Slaa alisema kuanzia sasa kambi ya upinzani inatambulika kama kambi ya ushindani kwa vile wao ni washindani na sio wapinzani.

Je hii ripoti ya Mkaguzi Mkuu ni ya mwaka gani na inaweza kupatikana? Tukishajua hayo, tuiulize Serikali, je kwa nini haikufanyia kazi ripoti hii na kuchukua hatua za Kitendaji na Kisheria baada ya ripoti kutolewa? Je Ukurugenzi wa Anna Muganda ulithibitishwa na nani au mamlaka yapi? Je Mkaguzi Mkuu alikagua jarida la kampuni ya Time Mining pale Brela au kule Afrika Kusini ilikosajiliwa na kuona jina la Anna Muganda?

Kama hayo yote yalithibitishwa kuwa ni kweli, kwa nini Serikali ilipobaini mchezo mchafu haikumchukulia Ballali hatua za kinidhamu mara moja pamoja na za kisheria?

Ikiwa Gavana wa Benki Kuu alifanya uzembe ambao uliruhusu upotevu wa mamilioni ya pesa za Serikali, ni kwa nini mpaka leo Serikali imekaa kimya na kuanza uchunguzi wa tatu wa swala hilo hilo?
 
Okay wakuu kama nilivyoahidi, ninathibitisha dataz zifuatazo, na ninazitoa hapa kwa mara ya kwanza kwa taifa zima na sio JF tu:-

1. Marehemu Balali alikuwa amelazwa katika Hospitali ya George Washington University Hospital, na ndipo alipofanyiwa kila kitu mpaka kuleekea kuzikwa.

Hii Hospitali haiko mbali sana na nyumbani kwake, yaani kule Foggbottom, karibu na Watergate Hotel au Watergate Apartments.

2. Father aliyeendesha misa ya mazishi na mazishi yenyewe, anaitwa Father Sirianni wa kanisa la St. Stephen,

Ndugu zangu naomba sasa na wengine mchukue from here na kutafuta zaidi za mbele, kwa sasa nipumzike kidogo, maana this has been a very diffficult week, ni matumaini yangu kuwa nitakuwa nimewapunguzia mzigo mzito hasa ndugu yangu Mtanzania, ambaye ndiye hasa unayenisukuma kuutafuta ukweli na dataz,

Bado tunaendelea kuukaribia ukweli zaidi kwa manufaa ya taifa, JF mbele zaidi!
 
naam ! nitapenda kuona watu watakavyozungusha vichwa vyao humu ! lols... am really loving it.
 
Mushi,

Hiyo barua ya Jeetu Patel pamoja na kuwa inasisimua lakini haina credibility kwa kuwa iliandikwa kuvuruga kiini na chimbuko la uhalifu.

Ukiangalia walichosema kuhusu Meremeta na ukweli unaozungumziwa kuhusu Meremera inabidi ujiulize kama hii ililetwa mapema kuzuga wananchi ili kuvuruga taratibu nzima za uchunguzi.

At this minute baada ya kuona aliyosema Slaa na uchunguzi mbali mbali kuhusu EPA, Meremeta na Tangold, it is safe to say kuwa labda Serikali was right ilipotaka kujua ni nani alianzisha hii barua ambayo inaonekana wazi ilitumwa kwa makusudi na jumuia ambayo inapingana na ile iliyokwisha jipatia "riziki" au kulikuwa na ugomvi.

Hii Time Mining inayosemwa ni ya Anna Muganda ni kampuni ya Afrika Kusini, sasa tutafute ndugu walioko SA watutafutie date of incorporation na listed onwers and directors.

http://www.timemining.co.za/default.htm

The Meremeta Gold Company

The Governor is the custodian of this ill conceivedmining project.

He guaranteed this project from the Government for USD 100 million in 1999.

Anna Muganda was a major shareholder and partner who brought in Time Mining to manage and operate the Meremeta Mines on behalf of the Government of
Tanzania.


She went on to become the wife of Balali in 2004.

The Meremeta Mines was a classic example of Daudi Balali giving Guarantees to companies in which he had an interest, the company thereafter filed bankruptcy and the Bank of Tanzania paid the funds against the Guarantee.

Noting the strategic importance of having its own Gold Mine, Bank of Tanzania invested heavily into this mine while the South African partners raised the money
 
Kwa wale wanaodhani kuwa kifo cha Ballali kitatunyamazisha...Basi ni wale watakaoweza kuziita dola bilion 3 "vijisenti"

Uhusiano wa Mama Anna Muganda Ballali ulianza kabla hajawa Governor!
Na pia uhusiano wa Mama Anna Muganda Ballali na familia ya Mkapa pia haukuanza juzi!
Hivyo basi Ballali na yeye ana uhusiano na Mkapa..Hivyo hawezi kujitokeza!
Uhusiano wa Anna Muganda Ballali na Dr Ballali mwenyewe ulihanikizwa na fursa ya kupeana ushauri wa masuala ya kiuchumi kwenye serikali ya Mkapa...Ambapo basi inawezekana hapo ndipo walipoanza ku engineer THE WHOLE MAFIOSO DEAL!
Wanajua kila kitu!
Kama hii isssue ni kweli..Then hawa ni mafiosso na sielewi kwanini waachwe nje!

Hawa watu wanaweza kututafuta ili watuuwe!
Situation hapa si nzuri hata kidogo!

Halafu huko Italy nako nina wasiwasi sana!
Huko ndiko kulifungwa ndoa!

Washington ndiko mtandao mahali upo!
Labda mtu aliyewakutanisha Ballali na Mama Muganda ni Mkapa mwenyewe....Ama pia inawezekana ni Mama Anna Muganda Ballali aliyewakutanisha Mkapa na Ballali!

Usishangae kama walipanga the whole deal loong time!
Toka akiwa IMF akijuana na Mama Anna Muganda anayejuana na Mkapa....Mkapa aliyemtoa IMF na kumwajiri kama Governor...!


Daudi Ballali...A demure and insignificant former official of the IMF, his close relationship with Anna Muganda brought him back to Tanzania as an Advisor to the State House in 1995.

He then went on to become Governor of Bank ofTanzania and discovered that he could pillage resources without fear.

He has been involved in every major scandal and has now holds more wealth than half the Governments recurrent budget per annum.

He has various companies and houses in South Africa, Tanzania, Dubai, Mauritius, Monaco, Switzerland and Washington.

Not satisfied with the already high salary of USD 12000 per month from the Bank of Tanzania, Balali under heavy influence from his wife, Anna Muganda, went on to rob Tanzania.

Anna has close ties with powers that be in the Third Phase Government, and close family ties with Malegesi.

Balali became a hard core white collar criminal using his office to enrich himself and his friends, the other Capos Criminals.

The projects and the amounts of funds stolen by him exceed UD 800 Million for transactions valued at USD 3 Billion over the last 7 years
 
Again marehemu hakulazwa Georgetown Hospital kama ilivyokuwa ikifikiriwa, sababu kuna watu ambao tunawafahamu ambao wangekuwa wa kwanza kujua.

Ahsanteni Wakuu!
 
Below is The Anna Muganda Ballali-Malegesi-Johnson Lukaza-Makubo questionable connection....

Pia masikitiko makubwa kwa namna walivyozichezea pesa za masikini wa Tanzania wanaokufa kwa njaa na magonjwa kwa matumizi yao ya kifahari,kianasa na kimafiosso....!

Jonson Lukaza, Makubo and Malegesi:
Capo Crimines

Jonson Lukaza and Makubo are brothers with close relationship with Malegesi, the lawyer and brother of CCM Wazazi Chairman, Malegesi. Using the name of CCM falsely, Malegesi and Lukaza used the very close relationship with Governor Balali to participate in theft of Government funds from the Foreign Debt Service Account of Bank of Tanzania.

Malegesi, abusing his position as a lawyer, has prepared false documents, and also written letters on behalf of Japanese companies( who have no knowledge of the documents and claims) to confirm their assignment to companies owned by Malegesi, Lukaza, Vimal Mehta, Jeetu Patel.

Malegesi and Lukaza have been charged before for stealing Government funds in 2001 in Mwanza and other places. They have defrauded the Government of
Tanzania USD 30 million.


The criminals have recently purchased properties of USD 25 Million in Tanzania and suddenly found new found fame in USD 200,000 Mercedes Benz and Range Rovers.

The opulence was recently described by a British Airways official as clear stupidity when Lukaza and his partners flew in Range Rovers vehicles by air to Tanzania from the United Kingdom.

He is more like a Soldati for Jeetu, Balali and Vimal and has been exchanging the TAS billions into USD cash from banks and bureaus in Tanzania and carries the stolen funds to Dubai and Mauritius on behalf of Don and Capos.Has flown to Dubai over 40 times in the last two years with cash.

The wives of Lukaza and Malegesi are shareholders and co owners of the properties and companies bought from the funds stolen from the Foreign Debt Service Account. All family members live in Tanzania and have
properties in Dubai. .
 
Hawa watu Daudi vs Anna walikuwa wana chumbiana kuanzia kabla ya mwaka 1995!
Akiwa hajaletwa na Mkapa kutoka huko IMF!

Halafu wamekuja kufunga ndoa muda mfupi tu kabla siri haijagundulika na kabla hajafa na mara baada ya scandal yao inyowezekana ilipangwa zaidi ya miaka ishirini iliyopita!
Kuoana kwao na kuja Marekani wakati wa hicho kifo chake kinachoonekana kilipangwa kikianza kukaribia...Inaonyesha ni mpango maalum ili siri iweze kufichwa na huyo ambaye sasa ni MKE ambaye hapa Marekani kisheria ana haki nyingi sana juu ya siri za Ballali!
Na hawezi kuzitoa siri hizo kama na yeye asipojumuishwa kwenye uchunguzi huu kama mtuhumiwa!

Yani wakati wengine tukiwa watoto wadogo..Wao walikuwa wana MASTER PLAN ya kulitoka taifa Dolla billioni 3!

Hii NI KUFURU KUBWA NA HAIWEZI KUFUMBIWA MACHO!
Na ndio maana Serikali haitaki mgombea binafsi!

Maana bila mgombea binafsi hakuna kitakachochunguzwa naweza kusema nimegundua!

Ballali anaweza akawa amefichwa/kuuwawa na watu ambao hawawezi kuchunguzwa na serikali ama wale ambao wana affiliations nyingi pamoja na wale ambao wanahusika moja kwa moja na umafia huu!

Serikali inajua kila kitu na imeshindwa kuwa responsible kwa wananchi lili kulinda maslahi ya CCM!

Lakini mpango mzima ni deal iliyopangwa zamani na ilitengenezwa ili kuwatega hata wale ambao wanaweza kujifanya vimbelembele!
 
Kuna anayejua Ballali ali divorce lini?
Maana sijui ni kwanini alipewa madaraka mtu aliyekuwa hana familia!
Mke wake wa kwanza waliachana lini?
Walikutana vipi na Anna Muganda?
Walioana mwaka 2004...Na hapo ni baada ya wizi kwishatokea ili wawe kama Bonnie & Clyde...Tatizo ni kwamba hawajafa wote!
Kwasababu Mama amekataa kutoa ushirikiano na ni wazi kwamba hawakufa pamoja...Sasa then ni wazi kuwa hata yeye anaweza akawa alipenda Ballali afe ili ajinusuru!
Yeye na serikali ya CCM wana manufaa na kifo ama kutoweka kwa Ballali!
This is their chance to come clean!
 
Kuna anayejua Ballali ali divorce lini?
Maana sijui ni kwanini alipewa madaraka mtu aliyekuwa hana familia!
Mke wake wa kwanza waliachana lini?
Walikutana vipi na Anna Muganda?
Walioana mwaka 2004...Na hapo ni baada ya wizi kwishatokea ili wawe kama Bonnie & Clyde...Tatizo ni kwamba hawajafa wote!
Kwasababu Mama amekataa kutoa ushirikiano na ni wazi kwamba hawakufa pamoja...Sasa then ni wazi kuwa hata yeye anaweza akawa alipenda Ballali afe ili ajinusuru!
Yeye na serikali ya CCM wana manufaa na kifo ama kutoweka kwa Ballali!
This is their chance to come clean!


Mushi,
You are a piece of shit. We are supposed to be talking about issues and not personalities Di8vorce ya mtu na ndoa ya mtu inahusiana vipi na nini?
You are a piece of shit. FMES samahani mkuu, nilisema sitarudi tena lakini siwezi kuvumilia upumbavu kama huu!
 
Rev. Kishoka,

Kulingana na madai ya Dr. Slaa, Anna Muganda hakuwa na share kwenye Meremeta bali alikuwa na shares kwenye kampuni inayoitwa Time Mining ambayo baadaye ilipewa kazi ya kuongoza Meremeta.

Haya makampuni ni mengi mno, rahisi kuchanganya. Yote yana kitu kimoja in common, ni kumwimbia Mtanzania maskini.

Source: Gazeti la Mwananchi

Wapinzani wamwanika Mzindakaya,Gavana Balali,mkewe

*Wadai amekiuka kanuni za Bunge
*Wamhusisha kashfa ya ubadhirifu

Na John Stephen

KAMBI ya Upinzania bungeni imesema Mbunge wa Kwela, Christant Mzindikaya amevunja kanuni za bunge kwa kuzungumzia suala ubadhirifu Benki Kuu ya Tanzania (BOT) ambalo ana maslahi nalo wakati akijua wazi kuwa ni kuvunja taratibu za bunge.

Akiwasilisha hotuba ya kambi ya hiyo bungeni jana Msemaji Mkuu wa kambi hiyo, Dk Willibrod Slaa ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Karatu, alisema kanuni za bunge hazimruhusu mbunge kuzumgumzia jambo lolote ambalo ana maslahi nalo isipokuwa baada ya kusema jinsi anavyohusika na jambo hilo.

Mbunge hatazungumzia jambo lolote ambalo yeye mwenyewe ana maslahi ya kifedha nalo, isipokuwa baada ya kutaja jinsi anavyohusika, na kiwango cha maslahi hayo?. Dk Slaa alinukuu kifungu cha kanuni za bunge na kuongeza kuwa; Mheshimiwa Mzindakaya hakutamka lolote kuhusu maslahi yake katika jambo hili,

Mbunge huyo alilieleza kuwa kutokana na utafiti walioufanya, walibaini kuwa Mzindikaya ana maslahi na jambo alilolizungumzia bungeni na kwamba mwaka 2004 alichukua mkopo kwa shughuli zake binafsi wa Sh9.7 billioni kutoka benki ya Standard Chartered kupitia kampuni ya SAAFI na kudhaminiwa na BOT.

Alisema kwamba SAAFI ilidhaminiwa na BOT huku mhusika mkuu katika tuhuma hizo akiwa ni Gavana wa benki hiyo na kwamba baada ya miaka 4 bila deni hilo kulipwa hadi sasa benki kuu Ikiwa mdhamini, iliwajibika kulilipa deni hilo kwa benki ya Standard Charter.

Dk Slaa alisema hivi sasa tena Mzindakaya ameomba adhaminiwe na BOT mkopo mwingine tena wa Sh billioni mbili na kwamba mkopo huo uko kwenye hatua ya kujadiliwa na BOT. Katika hotuba yake hiyo, Dk. Slaa alisema kauli ya Mzindikaya kwamba wabunge hawafanyi utafiti si sahihi na kwamba Ililenga kuwapotosha Watanzania.

Alisema pia kauli ya mbunge huyo wa Kwela kwamba kuna uwezekano wa baadhi ya Wabunge kutumika na wafanyabiashara wa nje ili kuwasemea mambo yao si jambo zuri na kwamba kauli hiyo Itawafanya Watanzania waamini kuwa wabunge hao wanatumiwa. "Hii ni kauli nzito sana kusemwa dhidi ya mbunge yeyote, wa upinzani au wa chama tawala, kwa sababu wote ni wabunge kama Mzindakaya, tumechaguliwa na Wananchi wetu kama yeye," alisema Mbunge huyo.

Katika hatua nyingine, Dk. Slaa alisema kuwa kambi ya upinzania imestushwa na kiwango cha ubadhirifu wa fedha za umma na hujuma wa kiasi cha malipo ya fedha yenye utata wa Sh40 bilioni ambazo ziliripotiwa na gazeti moja la kila siku hapa nchini. Alisema Kampuni ya Kagoda Agricultural Ltd iliyosajiliwa Septemba 29, 2005 na baada ya wiki zisizozidi nane ilipewa zaidi ya Sh.30.8 billioni kupitia akaunti ya External Service Debt na benki Kuu ambapo Gavana ndio msimamizi mkuu.

Kuhusu matamshi ya Waziri wa Fedha, Zakia Megheji kuwa wapinzani wana upeo mdogo wa kuelewa mambo, Dk. Slaa alisema kuwa majibu ya waziri huyo hayakuridhisha akiwa mbunge na mwakilishi wa Wananchi katika kuisimamia serikali.

Akizungumzia tuhuma zinazomhusu Gavana wa Benki Kuu, alisema inamhusisha moja kwa moja Gavana huyo na kwamba alifanya uzembe katika upotevu au matumizi mabaya ya fedha za Serikali ndani ya Benki hiyo. Alisema taarifa ya mkaguzi mkuu inamtaja pia mkewe, Anna Muganda kuwa mmoja wa Wakurugenzi wa Kampuni ya Time Mining, ambayo ndiyo iliyokuwa inaendesha kampuni ya Meremeta, na hatimaye imeuzwa kwa bei ya kutupa na baada ya BOT kulipa dhamana ya zaidi ya Dola za marekani 100,000, kabla ya kuuzwa kwa Rand Gold, ambako mama huyo pia anamiliki hisa. "Watanzania tunajiuliza hapa kuna nini? Serikali kila ikihojiwa Bungeni haitoi majibu kama alivyojibu waziri wa Fedha Bungeni juzi. Wakurugenzi wa Alex Stewart waliolipwa zaidi ya Dola za marekani 65 millioni nao walitoka Time Mining ambako Ana Muganda anahusika." alisema Dk. Slaa.

Dk Slaa aliomba Gavana Balali ajiuzulu kutokana na kashfa hizo zinazomkabili. Vile vile , Dk Slaa alisema kuanzia sasa kambi ya upinzani inatambulika kama kambi ya ushindani kwa vile wao ni washindani na sio wapinzani.

Can someone help me please...who owns Mwananchi newspaper?
 
Mushi,
You are a piece of shit. We are supposed to be talking about issues and not personalities Di8vorce ya mtu na ndoa ya mtu inahusiana vipi na nini?
You are a piece of shit. FMES samahani mkuu, nilisema sitarudi tena lakini siwezi kuvumilia upumbavu kama huu!

Issue hapa sasa ni mtu aliyekuwa karibu vya kutosha na mtuhumiwa wa kwanza!

Na tukianza kudig info za scandal ya watu wazito kama hao..Ni lazima sasa tuingie kwenye mjadala wa mahusiano yao hayo ambayo yalishuhudia scandals zote hizi zikitokea chini ya uangalizi wake Ballali kwa kushirikiana na mpenziwe aliyekuja kuwa mke mnamo mwaka 2004!

Sasa kama wengine wakigoma kuzungumzia kuhusu mke wake huyo aliyekuwa naye kipindi hicho billioni 3 za kimarekani zikipotea...Then unataka tumzungumzie yule wa kwanza amabaye hakuusika?
Mjadala si utakufa?
Tusipojadili uhusikaji wa Anna Muganda Ballali...Basi na mjadala huu si utakufa pia?

Mtu ambaye na yeye pia ni mtuhumiwa!
Sasa kama wana connection ya ki Bonnie and Clyde watatenganishwa vipi?

Si ni yeye huyo Anna Muganda Ballali amekataa kutoa ushirikiano kwa watanzania kwa vigezo vya siri ya familia?

Yani kwamba watanzania hawahusiki na upotevu wa zaidi ya dolla billion 3 za kimarekani ambazo yeye na mumewe huyo aliyetutangazia kuwa ni marehemu walihusika kwa namna moja ama nyingine kuzifuja pesa za masikini!?

Mwanamama aliyekuwa na uhusiano na pia aliyeoana na Ballali kabla ya scandal kujulikana aachwe nje ya mjadala kwa vigezo vipi hivyo?

Halafu kuwa naye kipindi chote hadi kifo kilipotangazwa asitajwe kwenye huu mjadala?
Narudia tena...Kama mama hatotoa ushirikiano basi acha iwe mbaya!
 
As far as I know personal relationships are untouchable in JF. Stick to the issues you moron!
 
hapana naona tunakoenda sijui kukoje... basi jmushi tafuta majibu badala ya kuuliza maswali tu..!
 
As far as I know personal relationships are untouchable in JF. Stick to the issues you moron!

Mtusi yako hayatanitisha hata iweje!
Kama mnataka nifungieni!
Mpambano nitau hamishia kwingine!
Na hii ni mara ya mwisho...Sitavumilia matusi!
Nitajibu mapigo!
Hapa si tulishaambiwa ni kijiweni?
Sasa nini unaanza jazba?
Hizi kashfa zilikuwa personal before lakini siyo sasa!
 
hapana naona tunakoenda sijui kukoje... basi jmushi tafuta majibu badala ya kuuliza maswali tu..!

Majibu na maswali vyote vyote vinafaa!
Kuna baadhi ya majibu ya namna Anna Muganda Ballali alivyohusika na kashfa!
Halafu hapo naona ndio penyewe maana naona mizuka inaanza kupanda!
There is no any other way possible other than THE TRUTH Na hizi kauli zenu za kutumbia sisi wananchi tusiulize maswali bali tuje na majibu ni kauli mbovu mbovu ambazo zinaonyesha utata!

Mjadala ukitoka nje ya mada watu wanasema ni kijiwe...Nikiuleta panapotakiwa...inageuka na kuwa issue personal!

Kuna issue ngapi ama thread ngapi hapa za personal tena za Muungwana mwenyewe na wazito wengine ndiyo ije kuwa Anna Muganda Ballali?

Mi nakwambia haendi mtu mahali hapa labda tuuwane!

Na hivyo maisha yangu kwa hatarini ni Jambo ambalo sasa nitakuwa nalo aware kwasana kutokana na ukweli kuwa dola bilioni 3 zinatisha!
 
Mushi,
You are a piece of shit. We are supposed to be talking about issues and not personalities Di8vorce ya mtu na ndoa ya mtu inahusiana vipi na nini?
You are a piece of shit. FMES samahani mkuu, nilisema sitarudi tena lakini siwezi kuvumilia upumbavu kama huu!

Anko vipi tena....this is out of your character....
 
Wakuu,

Kweli naona tuko kama wale watu waliochorewa mlango ukutani halafu wakawa wanang'ang'a nia kutoka nje kupitia kwenye mchoro huo badala ya mlango wa kweli. Kati ya malumbano yaliyoendelea, Mchungaji Kishoka aliuliza kama tutapata usuluhishi wa EPA ikiwa mama Ballali ataongea na Mkuu JMushi1 akasema tutapata kujua undani wa suala hili.

Kwa kweli nilipenda swali la Mchungaji kwani naona kwamba tumemsimamia rohoni mama wa watu ambaye kwa sasa angependa amalizie msiba wake na kuendelea maisha. Hivi kama mama Ballali akiamua kusema (kama inavyosemekana aliamua kutojihusisha na serikali baada ya kumfanya mumewe adui wa umma) "I will not dignify any of your nonsense by answering any question or taking any part on this", tutafaidika vipi? Wahenga walisema, unaweza kumleta punda mtoni kwa lazima lakini huwezi kumlazimisha anywe maji (sikusudii kumfananisha mama Ballali na punda bali ni kuelezea pointi yangu).

Mkuu Mushi nae alimjibu mchungaji jawabu zuri sana (na kwa hili nakubaliana naye) kuwa tunataka tujue undani wa EPA. Nafikiri hii ndio fundamental desire of every JF member...kujua ilikuwaje. Lakini kwa bahati mbaya naona tumeingia kiza na kumshupalia Ballali as if yeye ndio mtuhumiwa. Kama ni shahidi nyota wa serikali, kwanini wengine hatujawashupalia, kina Mramba, Mgonja, Rostam, Chenge na wengineo wengi?

Inasikitisha kuona kuwa tunatoka nje ya mstari na kuanza kufuatilia jinsi Ballali alivyofunga ndoa na mkewe au wake wa zamani...how is this relevant? Najua kuna watu watataka kusema kuwa Ballali na mkewe walishirikiana, lakini kabla ya kusema hivi, waelewe kwamba, Ballali hakuwahi kushtakiwa wala kutajwa kama mtuhumiwa hivyo mambo ya familia yake yalikuwa ni ya kwake na sio ya taifa.

Ningependa kupendekeza kuwa huyu mama mwacheni apumzike, keshateseka sana kuuguza na hahitaji maneno kuchangamsha siku yake. Kwa wale ambao wanaamini kuwa Ballali amefariki, vema, endelea na imani yako kwa amani. Vivyo hivyo kwa wale ambao hawaamini kuwa Ballali amefariki, vema, endelea na imani yako kwa amani. Kwa wengine kama mimi, well, tuiweke serikali kitimoto ili tujue ni nani walihusika na hatima yao ni ipi? Na kwanini wengine waliondolewa nyadhifa zao serikalini wakati wengine bado wanaendelea kupeta. Je tutegemee fedha nyingine zaidi zichotwe wakati tunakaribia uchaguzi ujao? Nafikiri haya ndio maswali tunapaswa kudeal nayo.
 
Back
Top Bottom