Tetesi: Kifo cha ginimbi, mazito yaibuka...

Tetesi: Kifo cha ginimbi, mazito yaibuka...

Mbona ginimbi handsome tu Jaman , halafu ana sura ya kiume, au mlitaka awe na sura kama nuhu mziwanda au richmitindo, mi wanaume kama hawa ndo wananilowesha chupi sio weupe watoto wa mama[emoji23][emoji23]
mi pia nashangaa mwenzangu jamaa mbona ana sura ya kiume
naona wanataka awe kama Calisa au brown wa zuunamela
 
Mkuu, Joannah halafu mbaya zaidi ni kwamba wanaolalamika wengi ni wanaume.
Ninapoona mwanaume analalamika kisa sura ya mwanaume mwenzie ambaye amafanikiwa kiFedha (multi-millionaire in US dollars), Hapo huwa nashindwa kuelewa, je ni Wivu ama nini?

Vijana tutafute pesa tuache jealous za kipuuzi.
Yaani hata sijui tatizo nini,!maana wamekazana kudis eti alikuwa ana sura ngumu,....vijana tuna haja ya kutafuta pesa kwa kweli.
 
Jamaa nyembe tu...matajiri wengi weusi SA ni wezi tu
 
Sasa warumi kama unapenda pesa na unasema tetesi ni kwamba jamaa alikua na joka si uende ukalichukue nawewe uwe billionaire???

Vinginevyo namie naungana na mwamba Nyani Ngabu kwamba hizi ni changamsha genge tu.

Kama joka lilikua lina sababisha ukwasi wote huo inamaana biashara za kusambaza gas ilikua ni hadaa na hiyo pesa inachanganywa na zinazoletwa na joka au hizo ni miamala tofauti?
Ujue unazingua, hahahahha hapo pa miamala tofauti nimecheka sana, kwamba miamala ya joka na ya gas sio? Muache binamu na stori zake buana we!

Btw, umefika?
 
hakuna cha joka wala bibi yake joka,
huyo alikua tapeli kama kina Ivan.

Utapeli wa level zake huwez kuufanya bila kushirikiana na nguvu za Giza binamu

Ingawa marehemu alikua ni msomi mzuri tu , alikua na masters ya business administration, sasa wenzangu na mie mnataka kuwa kama ginimbi hata certificate hamna

Uzuri matapel wa nchi za wenzetu wako smart sana kichwan , wanatapel had wazungu wenye elimu zao za juu sio bongo hapa, hata kiingereza kuongea shida Sijui wanamtapel nani
 
Utapeli wa level zake huwez kuufanya bila kushirikiana na nguvu za Giza binamu

Ingawa marehemu alikua ni msomi mzuri tu , alikua na masters ya business administration, sasa wenzangu na mie mnataka kuwa kama ginimbi hata certificate hamna

Uzuri matapel wa nchi za wenzetu wako smart sana kichwan , wanatapel had wazungu wenye elimu zao za juu sio bongo hapa, hata kiingereza kuongea shida Sijui wanamtapel nani
nyie matapeli wenu si hawa wa "tuma ile pesa kwenye namba hii" 🤣 🤣 🤣
 
nyie matapeli wenu si hawa wa "tuma ile pesa kwenye namba hii" [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]

Jaman nimecheka kwa ngvu binamu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Umenivunja mbavu , na bado wanataka kufikia level za kina ginimbi fucken sana [emoji16][emoji16]
 
Midude gan tena binam na wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]
Binamu nyama ya hamu... Tunapinduana tu kama vipi tukiona zina kaa sawa vipimo vipo sawa, hapo kwenye kyupi kuloa umemstua binamu nakujilambalamba[emoji39]
 
C basi tu jeur ya pesa , na ajaribu kwenda kuzifukua mtu , cha moto watakiona
Vipi yule jamaa wa Uganda nae si alizikwa na hela? Kuna mtu alikwenda kufungua kesi mahakamani kupinga yule jamaa kuzikwa n a hela, je yule mfunguaji wa kesi alifanikiwa?
 
Binamu nyama ya hamu... Tunapinduana tu kama vipi tukiona zina kaa sawa vipimo vipo sawa, hapo kwenye kyupi kuloa umemstua binamu nakujilambalamba[emoji39]

Binamu tunatiAna nyege asubuh asubuh ndo mambo gan hayo[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom