Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Haaaaaa....ujue Kuna vitu vingine unaleta complain za kitoto japo wewe ni mtu mzimaHahahaaa.
See, ni stori tu hizo.
Kama siyo stori tu, watu wanithibitishie kweli kuwa joka linaweza kumpa mtu hela!
Ni stori tu hizo. Na ndo maana hata wewe umeishia kusema uliwahi “kuambiwa”.
Udhibitisho sio lazima uone au uletewe
Yote kwa yote haya mambo yapo sana