Kifo cha Hayati Magufuli kilivyosababisha Stevev Makigo bosi wa Mayanga Construction azimie mara tatu

Kifo cha Hayati Magufuli kilivyosababisha Stevev Makigo bosi wa Mayanga Construction azimie mara tatu

Kuna mzee mmoja alikuwa na nyumba mbovumbovu mitaa ya kariakoo mtaa wa Congo mkabala na ilipokuwa Club ya Nyota Nyekundu,tuliozaliwa mjini miaka hiyo tunapaelewa.

Yule mzee majirani zake waliuza vile viwanja kwa mamilioni kadhaa cha chini ilikuwa bilioni moja
Ghafla afya ya yule mzee ikaanza kutetereka ,watoto wakaona hapa ndio muda wa kutajirika ,wakawa hawamuhudumii na wanamoaushauri mbovu ili afe wauze wagawane hela.

Yule mzee akawastukia kile kiwanja akakitoa wakfu kwa Bakwata,kwamba akifa ile ni mali ya waislam sio yao,muda si muda akakata kamba.watoto hawakuambulua kitu.leo kuna ghorofa la mwekezaji akiwa na ubia na Bakwata

Steve Makigo boss wa Mayanga Construction alipewa tenda ya kujenga uwanja wa Chato kwa mabilioni ya shilingi.bajeti ya awali ya uwanja ilikuwa bilioni 18 ila npaka unakamilika zilitumika bilioni 53

Makigo alikuwa best wa Hayati tangu Secondary ,walisoma pamoja na kuna kaundugu kakaibuka hapo baada ya mmoja kuoa kwenye ukoo wa mwenzake.

Siku chache kabla ya hayati kuitwa alitoa maagizo kuwakiasi cha bilioni kadhaa zihamishwe kutoka akaunti ya Mayanga Construction kwa kazi maalumu na zingerudishwa soon.zilihamishiwa kwenye akaunti fulani sitaitaja leo

Kabla hela hazijarudishwa simu ya mheshimiwa kwa wiki mbili haipatikani hakukuwa na mawasiluani ya Steve na John.
Punde taharifa radmi kuwa John hayupo.
Kilichofuata ni Steve kuzimia kuzinduka,kuzimia kuzinduka,mara tatu.

Sasa najiuliza kuzimia huko ni upendo wa dhati aliokuwa nao Steve kwa John au ni kuwaza zile bilioni kadhaa zilizohamishwa toka Mayanga Construction.
Huyo ndiye alikuwa msimamizi wa wizi wa Magufuli kupitia hiyo kampuni yake
 
Kuna mzee mmoja alikuwa na nyumba mbovumbovu mitaa ya kariakoo mtaa wa Congo mkabala na ilipokuwa Club ya Nyota Nyekundu,tuliozaliwa mjini miaka hiyo tunapaelewa.

Yule mzee majirani zake waliuza vile viwanja kwa mamilioni kadhaa cha chini ilikuwa bilioni moja
Ghafla afya ya yule mzee ikaanza kutetereka ,watoto wakaona hapa ndio muda wa kutajirika ,wakawa hawamuhudumii na wanamoaushauri mbovu ili afe wauze wagawane hela.

Yule mzee akawastukia kile kiwanja akakitoa wakfu kwa Bakwata,kwamba akifa ile ni mali ya waislam sio yao,muda si muda akakata kamba.watoto hawakuambulua kitu.leo kuna ghorofa la mwekezaji akiwa na ubia na Bakwata

Steve Makigo boss wa Mayanga Construction alipewa tenda ya kujenga uwanja wa Chato kwa mabilioni ya shilingi.bajeti ya awali ya uwanja ilikuwa bilioni 18 ila npaka unakamilika zilitumika bilioni 53

Makigo alikuwa best wa Hayati tangu Secondary ,walisoma pamoja na kuna kaundugu kakaibuka hapo baada ya mmoja kuoa kwenye ukoo wa mwenzake.

Siku chache kabla ya hayati kuitwa alitoa maagizo kuwakiasi cha bilioni kadhaa zihamishwe kutoka akaunti ya Mayanga Construction kwa kazi maalumu na zingerudishwa soon.zilihamishiwa kwenye akaunti fulani sitaitaja leo

Kabla hela hazijarudishwa simu ya mheshimiwa kwa wiki mbili haipatikani hakukuwa na mawasiluani ya Steve na John.
Punde taharifa radmi kuwa John hayupo.
Kilichofuata ni Steve kuzimia kuzinduka,kuzimia kuzinduka,mara tatu.

Sasa najiuliza kuzimia huko ni upendo wa dhati aliokuwa nao Steve kwa John au ni kuwaza zile bilioni kadhaa zilizohamishwa toka Mayanga Construction.
Kuna baadhi ya watu wanasema Mwamba JPM hajaacha "legacy" lakini JF mpaka leo miaka miwili Mwamba JPM ameondoka bila threads zake JF inapooza kama kuna msiba. Watu wanataka kusikia habari zake tu. Ziwe nzuri, ziwe mbaya. Hawataki kusikia habari za mikutano ya Chadema wala sijui Mama kaagiza mchele kutoka nje baada ya kuuza wetu nje! Ahahahahah!

Watu wanataka habari za Mwamba JPM tu. Hata kama ni za uongo kama hii. Wewe leta tu! Watu wanazitaka ili wasisimke!!
 
Kuna baadhi ya watu wanasema Mwamba JPM hajaacha "legacy" lakini JF mpaka leo miaka miwili Mwamba JPM ameondoka bila threads zake JF inapooza kama kuna msiba. Watu wanataka kusikia habari zake tu. Ziwe nzuri, ziwe mbaya. Hawataki kusikia habari za mikutano ya Chadema wala sijui Mama kaagiza mchele kutoka nje baada ya kuuza wetu nje! Ahahahahah!

Watu wanataka habari za Mwamba JPM tu. Hata kama ni za uongo kama hii. Wewe leta tu! Watu wanazitaka ili wasisimke!!
Kumbe,lakini mi huwa naleta za ukweli,ukweli mtupu
 
Bwana mdukuzi umekula umeshiba unaropoka tu 😊😊😊

Kuna wajinga wanatiririka hapa kwenye comments eti wana wasiwasi na wewe utakuwa TISS 😊😊😊... hivi mnadhani TISS huwaga ni wajingawajinga wa kuzungumza vya hovyo visivyojulikana na visivyo na uhakika wapate tu attention kutoka kwa raia wajinga wa design hii?!

Haya baadae uje ulete kisa kuwa aliuwawa na Mzee wa watu mzee Kikwete... Bin-Adam tuna kasumba sana! 😊
 
Kuna mzee mmoja alikuwa na nyumba mbovumbovu mitaa ya kariakoo mtaa wa Congo mkabala na ilipokuwa Club ya Nyota Nyekundu,tuliozaliwa mjini miaka hiyo tunapaelewa.

Yule mzee majirani zake waliuza vile viwanja kwa mamilioni kadhaa cha chini ilikuwa bilioni moja
Ghafla afya ya yule mzee ikaanza kutetereka ,watoto wakaona hapa ndio muda wa kutajirika ,wakawa hawamuhudumii na wanamoaushauri mbovu ili afe wauze wagawane hela.

Yule mzee akawastukia kile kiwanja akakitoa wakfu kwa Bakwata,kwamba akifa ile ni mali ya waislam sio yao,muda si muda akakata kamba.watoto hawakuambulua kitu.leo kuna ghorofa la mwekezaji akiwa na ubia na Bakwata

Steve Makigo boss wa Mayanga Construction alipewa tenda ya kujenga uwanja wa Chato kwa mabilioni ya shilingi.bajeti ya awali ya uwanja ilikuwa bilioni 18 ila npaka unakamilika zilitumika bilioni 53

Makigo alikuwa best wa Hayati tangu Secondary ,walisoma pamoja na kuna kaundugu kakaibuka hapo baada ya mmoja kuoa kwenye ukoo wa mwenzake.

Siku chache kabla ya hayati kuitwa alitoa maagizo kuwakiasi cha bilioni kadhaa zihamishwe kutoka akaunti ya Mayanga Construction kwa kazi maalumu na zingerudishwa soon.zilihamishiwa kwenye akaunti fulani sitaitaja leo

Kabla hela hazijarudishwa simu ya mheshimiwa kwa wiki mbili haipatikani hakukuwa na mawasiluani ya Steve na John.
Punde taharifa radmi kuwa John hayupo.
Kilichofuata ni Steve kuzimia kuzinduka,kuzimia kuzinduka,mara tatu.

Sasa najiuliza kuzimia huko ni upendo wa dhati aliokuwa nao Steve kwa John au ni kuwaza zile bilioni kadhaa zilizohamishwa toka Mayanga Construction.
WEWE NI MUONGO
 
Bwana mdukuzi umekula umeshiba unaropoka tu 😊😊😊

Kuna wajinga wanatiririka hapa kwenye comments eti wana wasiwasi na wewe utakuwa TISS 😊😊😊... hivi mnadhani TISS huwaga ni wajingawajinga wa kuzungumza vya hovyo visivyojulikana na visivyo na uhakika wapate tu attention kutoka kwa raia wajinga wa design hii?!

Haya baadae uje ulete kisa kuwa aliuwawa na Mzee wa watu mzee Kikwete... Bin-Adam tuna kasumba sana! 😊
hohehahe ndugu yangu sio rahisi kumuua incumbent president,tena suspect awe a mere citizen ,hata kama ni rais mstaafu,unafahamu Rais ni amiri jeshi mkuu wa vyombo vya ulinzi na usalama,kuuliwa na raia ni kashfa na uzembe sana kwa victim

Ninachoamini Magufuli alikuwa mgonjwa siku nyingi na siku yake ilifika
 
Back
Top Bottom