Kifo cha mtu gani maarufu kishawahi kukusikitisha?

Tumekuwa tukiumizwa na vifo vua watu wa karibu Kama ndugu jamaa au marafiki au majirani kutokana na bond tuliyokuwa nayo.

Je, kifo Cha mtu Gani maarufu kishawahi kukusikitisha kutokana na mchango wake katika jamii au athari chanya aliyoleta?
Sokoine na Magufuli.
 
Huu unatosha kuwa uzi unaojitegemea wenyewe..mkuu kama hutajali fungua uzi watu wachangie kwa nafasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…