The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Nyie ndo wale mnaosemaga "Hela ni vitu vya kupita tu"... kama huna cha kuandika bora ukae kimya.Hakuna mtu maarufu zaidi ya baba na mama yangu na mme pia.
Unajua huyo jamaa ni mpare?Kikubwa kama cha peter msechu๐
I wonder how you trim..teeeh๐ ๐ ๐๐Usidanganyike
๐Basi yaishe usije kuninyima likes zako bureehao wachache wa mjini waliojichubua wanakudanganya ๐๐๐๐๐
Najua! Ana kitambi lakini bado ni handsome๐๐คธUnajua huyo jamaa ni mpare?
Usikute na wale jamaa wa humu wanaojiita ma hendisamu wana fikra kama hizi๐๐๐๐Najua! Ana kitambi lakini bado ni handsome๐๐คธ
Tumetoka njee ya mada ujue ๐ ๐ ๐ ๐Najua! Ana kitambi lakini bado ni handsome๐๐คธ
Usikute na wale jamaa wa humu wanaojiita ma hendisamu wana fikra kama hizi๐๐๐๐
Hamjapewa onyo pm?๐I wonder how you trim..teeeh๐ ๐ ๐
Mimi nimeshajirekebisha ๐คHamjapewa onyo pm?๐
Naomba niondoke kabla sijala ban, kuna mod ni mchaga kanuna๐๐คธ
yesu sio mtu ni mungu muumbaYesu kristo
Wewe ni ME au KE? Unatupa utata zigo la masogange ulitaka kulifanya nini?Hakika masogange aliniuma, lile zigo lote chini daaah.....
Kuna watu wana mambo ya ajabu sana jf hukuWewe ni ME au KE? Unatupa utata zigo la masogange ulitaka kulifanya nini?
Johnyesu sio mtu ni mungu muumba