Kifo cha Mwalimu Nyerere 14/10/1999, ulikuwa wapi?

Radio Dedio [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nilikuwa chumba cha sita, lakini nilikuwa na akili zangu, kwani SHULE yetu ipo karibu na makaazi so niliskia wimbo wa taifa unapigwa redioni mchana kwenye saa sita na ushee hv, nikawaambia marafiki zangu"mbona wimbo unapigwa sahv" mmoja wa marafiki zangu akasema kitu sio bure ndio tukaenda kusikiliza.
 
Nilikuwa nimemaliza la 7 miaka 2 iliyopita nipo mtaani nasaka hela
 
Siku hiyo tulikuwa tunamzika dada yangu ninayemfuatia hapo nimemaliza darasa la saba,. Ni siku ambayo sitaisahau maishani mwangu
 
Kumbe huku % kubwa ni watoto ?,ushauri wangu ni huu,suala la umri lizingatiwe ili uweze kuwa member wa jf,pls wahusika walifanyie Kali
Dah! Unachosema ni kweli ndugu. Ndiyo maana mara nyingine nimekuwa nikistaajabu mada nyingi msinazokuwa zikichangiwa sana ni zile zinazohusu mambo ya kijinga kama vile ngono, nk. Wakati ule zile za muhimu zinazohusu mambo ya kijamii zikipuuzwa!

Kumbe asilimia 99% ni watoto walio balehe juzi![emoji53]
 
We like u too bro..
 
Shikamoo babu
 
Nilikuwa mwaka wa nne mwanzoni enzi hizo panaitwa FoE... Electrical Engineering..

Redio zote no kupiga ndombolo mwezi mzima. Ni nyimbo za maombolezo tu...

ILA HUMU KUNA WATOTO WENGI... ndo maana wengine tunavumiliaga matusi na kashfa nyingi humu
haaaaaa!!shikamoo sasa!!
 
Watu wanasema walikua primary schools wanatokea wengine wanasema kumbe jamii forum imevamiwa na watoto sasa mimi sijui utaniitaje maana sikuwa nimezaliwa [emoji23]
Ata avatar yako ina dhirihisha iloh dogo[emoji102]
 
asante mleta mada maana leo imenifanya nijue kwa nini mda mwingine watu wanajibu viroja kumbe wengi ni chini ya miaka 30
 
Nilikuwa darasa la kwanza Kamunyonge s/m..ile nafika shule mida ya saa 7 siku hyo alhamisi namkuta mwl matete paredi na bendera tayari ikiwa robo tatu ya mlingoti
Yego jaji. Waongelamo maboksi?
 
Nipo zangu kazini na kama miaka miwili hivi baada ya internship
 
Gatete. Mwaka huo mie nilikuwa njagu field force hapo kamunyonge. Mwl Matete namkumbuka. Unamkumbuka yule mzee Mtagalala hapo juu ya shule?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…