Alva
Senior Member
- Dec 1, 2017
- 119
- 127
Darasa la pili shule ya msingi Yombo Dovya,siku hii hua naikumbuka sana maana wali ulipakuliwa kwenye sinia nikaambiwa nitakula na marehemu bibi yangu,
Basi kila nikimuita aje kula anasema wee endelea .. endelea ,nikamaliza wali wote bibi akalala njaa kisa tuu kifo cha baba wa taifa maana tv ilikua moja tuu mtaani kwa jirani
Basi kila nikimuita aje kula anasema wee endelea .. endelea ,nikamaliza wali wote bibi akalala njaa kisa tuu kifo cha baba wa taifa maana tv ilikua moja tuu mtaani kwa jirani