Kifo cha Mwalimu Nyerere 14/10/1999, ulikuwa wapi?

Kifo cha Mwalimu Nyerere 14/10/1999, ulikuwa wapi?

aha ahaha nilikuwa darasa la kwanza, tumejipanga mandela road kuupokea mwili wa Mwl kutoka uwanja wa ndege kipawa
 
Mimi nilikiwa kuwa Nashuka na SOUTH AFRICAN AIRWAYS BLANTIRE INTERNATIONAL AIR PORT natokea NEW DELH...INDIA.. . nafika BORDER LA KASUMULO nasikia nyimbo za maombolezo... Nyeyere kafa,,,
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] mwalimu mkuu wa shule yako ulikua humjui loh
Nilikuwa namjua, Mkuu kichwa changu nakijua mwenyewe, kipindi hicho ndio nilikuwa nimeanza kuvuta bangi, so nilihisi ni mwalimu mkuu wa shule, nilikwenda shule nikiwa tayari nishavuta[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Nakumbuka siku hiyo natoka kaliakoo kununua tv ya inchi 14 ya kichogo ile naiwasha tu nasikia Nyerere kafariki,nikaishia kusikiliza tu nyimbo za maombolezo,ilikuwa tv yangu ya kwanza kununua
 
Nilikuwa juu ya kifua cha binti wa mama mwenye nyumba.
 
Me nilikuwa nasoma vidudu katika jengo moja hivi la duara lina gorofa moja lipo karibu na uwanja wa mpira wa kambarage........... nilikuwa naishi naishi majengo ya zamani karibu na buchosa bar mtaa wa maduka mengi

sema ghorofa sh tano hyo mitaa naijua very well
 
Mi siku hiyo ndo nliuza ubikra wangu kwa binti wa kihaya, maana baada ya kutangaziwa kuwa nyerere kafa yaan asubuhiasubuhi rafiki yangu alokuwa ananikuwadia kwa mschana wa kinyarwanda akaja kuniambia dem kakubali kwenda kumegwa, yaan hata chai sikunywa kwa furaha nilokuwa nayo. Nlimmega toka saa nne hadi saa 12 jioni. Nlitoka huko mwili mzima unauma miguu imelegea kwa mgegedo nlioutoa
 
Lazima niwe mkweli nilikuwa darasa la sita shule ya msingi Mbuyuni hapo njia ya kuelekea posta, tulirudishw home kisa nyerere kafa, nilipofika nyumbani nilimkuta mwenye nyumba analia mithili ya mtu aliyebakwa
Hahaha
 
Nilikuwa Jandoni nakumbuka jamaa anaetusimamia katucharaza henzirani za kutosha halafu eti akatuletea radio tusikilize Sasa. Tu Me nkawa najionea usumbufu tu mana hata uyo Nyerere mwenyewe simjui
 
Nilikuwa darasa la kwanza halafu siku hiyo kulikuwa na baridi sana mara kengele ikagongwa kwenda mstarini tunatangaziwa nyerere amefariki turudi nyumbani.
 
Mimi nilikuwa nyumbani Bibi alikuwaga anatutembelea asubuhi sana,Mara nikasikia akimwambia mama "Nikasikia Nyerere amekufa sjui Tanzania itakuwaje hapo baadae kama sio kurudi kwa Vita tena"

Kumbe kinachozungumziwa 1996 ndo kinaelekea kutokea ....
 
Ebwana nilikua nimerudi zangu myumbani Kolomije kutoka Mwanza pamba sec baada ya kutaga mtihani wa form 4
 
Back
Top Bottom