tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,327
- 4,624
Kwani wakijitokeza ndio watapata sifa? Wakijitokeza mtoto wao atakuwa amekufa kishujaa au itakuwa aibu kwenye familia? Wakijitokeza ndio atafufuka?Huyo demu kafia kwenye gar la naibu wazir watu wanaficja kitu Gani? Na hao wazaz au ndugu zako kwann hawajajitokeza kwenye hili jambo.
Sasa kama KIFO Cha binti Yao kina utata kwann wasijitokeze kuomba uchunguzi.Kwani wakijitokeza ndio watapata sifa? Wakijitokeza mtoto wao atakuwa amekufa kishujaa au itakuwa aibu kwenye familia? Wakijitokeza ndio atafufuka?
Tamko la UDOM linashangazaTamko la familia yake pengine laweza toa jibu
Tamko la UDOM linashangazaView attachment 2611723
Ina maana hakuna wanafunzi wa Udom hapa JF wanaofahamu Nusra alifia mkoa ganiHuyo demu kafia kwenye gar la naibu wazir watu wanaficja kitu Gani? Na hao wazaz au ndugu zako kwann hawajajitokeza kwenye hili jambo.
Tatizo ni akili wanayotoka nayo huko o level na a level kuwa chuo ni Bata,chuo Kuna PC za kutosha chuo unawezakuishi kinyunba na hakuna WA kukukataza ,chuo unaweza kudoji halafu ikiwa poa tu,chuo mwanamke hutakiwi KUKOSA bwana wa kukuongaNi Mimi tu naona au ni kweli mabinti wachuo wanatawanya mbususu sana siku hizi,na hawaogopi wa kumpa ilimradi awe na umate mate,huko nyumbani wakiagwa wanaambiwaga katafteni Hela Nini?Mimi sio mpiga ramli ila niamini manzi kafa akiwa anakitembeza.
Huyo demu kafia kwenye gar la naibu wazir watu wanaficja kitu Gani? Na hao wazaz au ndugu zako kwann hawajajitokeza kwenye hili jambo.
Vitoto vya chuo dom wanapigwa sana na waheshimiwa
Ova
Tanzania hii hii? Serikali ya CCM??Nimewaza sana
Kama alikiwa kwa mchumba wake kwann mchumba asikamatwe ili tujue ukweli
Kuna harufu ya uovu hapo
Hypothesis, je kifo cha Nusra wa UDOM kinaweza kufanana na Kifo cha VICKY wa CHENGE?? hahaha usiku mwema
Kama itakuwa hivyo,kuna mtu ataangushiwa jumba bovuNimewaza sana
Kama alikiwa kwa mchumba wake kwann mchumba asikamatwe ili tujue ukweli
Kuna harufu ya uovu hapo
Kama mtu ana dem,mke alafu iwe pisiHalafu waheshimiwa wengi wameunganishwa kwenye "Grid ya Taifa" 132KV na Wengi wanatumia "Njugu".....Inasikitisha sana wanawaunganisha Mabinti wadogo na "Dally Kimoko".
RipKuna nini kimejificha nyuma ya kifo cha huyu Binti?? Anadaiwa kufariki tarehe 29/04/2023 ila taarifa zimeanza kuzagaa Leo kwenye social media. Kuna maswali mengi kama haya....
Haya maswali yamechukuliwa sehemu nyingine, sio yangu.View attachment 2610308View attachment 2610312
Mwanafunzi wa UDOM, Nusura Hassan Abdallah anafar-
iki 29/04/2023 kifo chake kinatangazwa 04/05/2023, siku
6 baadae?
Hakuna taarifa za Jeshi la Polisi (pia kutoka kwa
tabibu) za kuuwawa kwa (kwa kipigo) Nusura, Moshi,
Kilimanjaro hadi sasa.
Hakuna taarifa za kukamatwa kwa huyo aliyetajwa bila
jina kuwa "mpenzi wake. Mtuhumiwa pia hajatajwa
popote katika taarifa.
UDOM, Wamefahamu vipi alikwenda Moshi kwa
mpenzi wake? Kwanini wamtambue ni mpenzi wake?
Walizungumza na marehemu?
UDOM walijuaje chanzo cha kifo cha Nusura ni kupigwa
na mpenzi wake? Walifanya postmortem? Walipewa
taarifa za kitabibu? Na nani?
Pia unaweza kusoma hapa