Kifo cha Nusra wa UDOM Bado ni pasua kichwa, UDOM waikana taarifa iliyosambaa

Kifo cha Nusra wa UDOM Bado ni pasua kichwa, UDOM waikana taarifa iliyosambaa

Tamko la familia yake pengine laweza toa jibu
Tamko la UDOM linashangaza
IMG-20230506-WA0011.jpg
 
Watanzania mnamakasiriko hata yasiyokuwa na maana. Navyojua mtoto wa chuo ni mtu mzima Sasa kama aliamua kujibanza kwa huyo muheshimiwa na likatokea lakutokea nyie inawahusu Nini. Hao waheshimiwa hawana time na nyie Sasa mnapata wapi muda wa kupoteza kwa ajili Yao?
 
yaani tunawapa uwaziri, halafu wanashinda na mademu wa chuo? hivi kwanini wasije na wake zao huku dodoma? na waandishi wa habari mpo wapi? au kanunua vyombo vyote vya habari? tunahitaji kuhabarishwa, kama kweli kafia kwenye gari waandishi mtuambie, na kama hajafia kwenye gari pia mtuambie ili isijekuwa waziri huyo anasingiziwa hadi afukuzwe kazi kwasababu ya uongo. na kama ni ukweli tujue. nendeni mkahoji ndugu zake huko kilimanjaro.
 
Ni Mimi tu naona au ni kweli mabinti wachuo wanatawanya mbususu sana siku hizi,na hawaogopi wa kumpa ilimradi awe na umate mate,huko nyumbani wakiagwa wanaambiwaga katafteni Hela Nini?Mimi sio mpiga ramli ila niamini manzi kafa akiwa anakitembeza.
Tatizo ni akili wanayotoka nayo huko o level na a level kuwa chuo ni Bata,chuo Kuna PC za kutosha chuo unawezakuishi kinyunba na hakuna WA kukukataza ,chuo unaweza kudoji halafu ikiwa poa tu,chuo mwanamke hutakiwi KUKOSA bwana wa kukuonga

Sasa hapo unadhani tutarajie nini?
 
Huyo demu kafia kwenye gar la naibu wazir watu wanaficja kitu Gani? Na hao wazaz au ndugu zako kwann hawajajitokeza kwenye hili jambo.

Kweli mkuu maana ingekuwa kweli ameuliwa taarifa kutoka kilimanjaro ingekuwa straight hadi jina la mtuhumiwa ila kwakuwa ishatokea binti amekufa kwenye ajali ya NW inabidi ipikwe pikwe mambo yasiwe mengi.
 
Kuna nini kimejificha nyuma ya kifo cha huyu Binti?? Anadaiwa kufariki tarehe 29/04/2023 ila taarifa zimeanza kuzagaa Leo kwenye social media. Kuna maswali mengi kama haya....

Haya maswali yamechukuliwa sehemu nyingine, sio yangu.View attachment 2610308View attachment 2610312

Mwanafunzi wa UDOM, Nusura Hassan Abdallah anafar-
iki 29/04/2023 kifo chake kinatangazwa 04/05/2023, siku
6 baadae?

Hakuna taarifa za Jeshi la Polisi (pia kutoka kwa
tabibu) za kuuwawa kwa (kwa kipigo) Nusura, Moshi,
Kilimanjaro hadi sasa.

Hakuna taarifa za kukamatwa kwa huyo aliyetajwa bila
jina kuwa "mpenzi wake. Mtuhumiwa pia hajatajwa
popote katika taarifa.

UDOM, Wamefahamu vipi alikwenda Moshi kwa
mpenzi wake? Kwanini wamtambue ni mpenzi wake?
Walizungumza na marehemu?

UDOM walijuaje chanzo cha kifo cha Nusura ni kupigwa
na mpenzi wake? Walifanya postmortem? Walipewa
taarifa za kitabibu? Na nani?

Pia unaweza kusoma hapa

Rip
20230506_175111.jpg
 
Back
Top Bottom