trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 744
Hii sidhani kama ni taarifa rasmi
Maana haija shiba.....inaacha maswali mengi
Sasa huo mtikisiko wa Ubongo ulikujakujaje, na huwa kawaida unasababishwa na nini?
Je hakuna dalili za kugongwa kichwani?...mbona bado maelezo ni vague?
REST IN PEACE KANUMBA STEVE!
Haswa inabidi atulie mtoto mdogo anataka Mambo ya ukubwa akiwa mkubwa sijui atafanya yapi Sasa. Ila chamoto kakipata guilty ndo itammaliza mrembo huyuLulu kasafishwa kwa 100% kama taarifa ndio hii......
Nilikuwa namuonea huruma ..ila kashikashi aliyo kwisha ipata ni adhabu tosha kujitia utu uzima
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Kwa hiyo hii ndio sababu ya serikali kutia nguvu zake katika mazishi yake??
watu wanadondoka kwenye minara ya simu hawapati hyo impate alie chini...mimi naamini lulu hana hatia kwa maamuzi yao,ila dogo wamtoe awape na wengine brain nini sijui.
Hivi sasa kila mtu ana majonzi kutokana na kifo cha Kanumba. Ni kifo kilichomgusa kila mtu mpaka rais wa nchi. Lakini kuna wasanii wengi na waliojijengea heshima katika nchi hii waliugua na kufa bila kupata msaada wowote kutoka kwa washabiki au serikali.
Nimeamini kweli hatuko fair......
Sema kweli yako King!!This message has been deleted By Lulu
alilegea akaanguka? Iyo brain concussion inatokea after sudden impact to head. So something happened before impact. Maelezo yake ni ya uongo. Jela iyooo! Inamuita.
ha ha ha sio utani kanumba atazikwa kazi kwake yeyeKwan dhehebu gan yeye? Ata ivo ni supastar hatakosa padiri! Kufa wewe usiyehudhuria jumuia,itakula kwako,teh
Kweli dogo kasafishwa cz hiyo hali inatokea mtu anapokuwa na hasira ubongo una shake au alipojipigiza so mie nakwambia zitatafutwa namna nyingi tu ili dogo anasuliwe kwenye msala si mtaniambia