Haya hayaaaa... Siiiiirii... Imefichukaaa! Eti,kwenye gazeti moja la Makorokocho!
Yule Mwigizaji wa Nigeria Ramsey Noah aliyeshiriki kwenye Filamu ya Kanumba known as Devil Kingdom anahusishwa na Kifo cha Kanumba,Kufungwa kwa Kajala na Lulu.
Ni hivi.. RAMSEY alipokuja bongo ku act movie hiyo alipata chance ya kupiga picha na Kajala..ona sasa Kajala anatumikia kifungo kwa kutakatisha fedha chafu. Lulu naye alipata nafasi ya kupiga naye picha... Ona sasa yupo rock up pia.
Kanumba kaigiza naye...ona sasa amededi. Ina maana hata hao Kajala na Lulu wangeigiza naye huenda tusingekuwa nao mpaka sasa!
Je,RAMSEY tumhusishe na kitu cha tunguli?? Kazi kwenu.