Lipi lenye uhakika katika hayo uliyoyaongea? maana naona maneno ya "anaonekana..ana sound kama..".Anaonekana kama ni mgonjwa na anasound kama tapeli. Zaidi ya yote hana maadili, huwezi toa siri za mgonjwa.
Hitimisho: Alikuwa tapeli na amekufa sababu afya yake haikuwa imara.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mke mchagga??????
Walai hata bure sioi
Wale viumbe especially wa kule mkoani Kilimanjaro ni tatizo. Wapo very selfish......Dah! yaani mtu mwenye mke au demu mchaga lazima kuna sehemu atakuwa analia, au kuugulia maumivu ndani kwa ndani......hivi hawa manzi wanakuwa na nini hasa?
Life ni dawa kwa ajili ya mifupa na kuimarisha mwili hususani kwa wazee,bi mkubwa wangu alikua anaitumia sana akapona magoti....R.I.P Dr.Jamaa aliwahi kusema kuwa Tundu Lissu ni mmoja wa wateja zake, kuna product yake moja inaitwa LIFE ndio anasema alikuwa akiitumia Lissu na ndio anadai ilimsaidia Lissu alipopatwa na lileshambulizi.
Mmmmmmhmn unajua kuna tabia unaweza hisi mtu anayo ukahisi labda umemfikiria vibaya tu then unakuja kuta mtu anaongelea the same experience as if mlikutana na same people at the same place same time......Mkuu
Ni dada zangu wa damu na hapa nawatetea:
Umekuja duniani kutetea uhai wako
I can not be pernalized kwa matatizo yako wewe
Hakuna society kuna individuals...selfishness is a noblest virtue!
Jamaa alikua na magonjwa yakeView attachment 1837507
View attachment 1837769
Wadau. Nafikiri mnamkumbuka huyu tatibu aliyekuwa maarufu Jijijini Dar Es salaam hasa miaka ya 2010 hadi 2017 .
Huyu mwamba amefariki dunia akiwa katika nyumba ya kulala wageni Jijijini Dodoma na tayari amezikwa Jijini Dar huku kukuiwa na utata wa familia ya mkewe aitwaye Riziki mwenyeji wa Kilimanjaro na ndugu wa marehemu. Mengine yatasemwa baadaye lakini tambua kuwa huyu mwamba amakwisha zikwa wiki mbili zimepita.
RIP DR Buberwa
Tazama video zake hapa.
Una personalize na ku-aaply selfishness kwenye relationship ambayo inatakiwa iwe driven na love, trust, respect, uvumilivu, peace, happiness, submission, high level of spirituality, mutual interests. Huwezi kuwa na quality za a respected woman ambazo kila mwanaume anazitarajia kama unaendeshwa na tabia za kijambazi kwa mwenza wako, wewe ni sawa na muuaji tu. Full stop.Mkuu
Ni dada zangu wa damu na hapa nawatetea:
Umekuja duniani kutetea uhai wako
I can not be pernalized kwa matatizo yako wewe
Hakuna society kuna individuals...selfishness is a noblest virtue!
Hujaona kuwa mkewe alikua wa Kilimanjaro au??Utata huko wapi? Au kuzikwa mapema ndio utata?
Ebu angalia tena vizuri comment yangu kama nimesema vibaya kabilaHuyo mbona alikuwa mgonjwa wa kisukari, acheni kusingizia makabila ya watu hata kwahyo picha inaonyesha mgonjwa
Hata wewe unaeza kuwa unaumwa na ukafa kifo chenye utata, kuumwa hayo maradhi haina maana mwingine afupishe uhai wako. Ndo maana mdau anasisitiza uchunguzi.Mbona sura yake inaonyesha ni mtu aliyekuwa na maradhi sugu kama sio ukimwi ni kisukari
mbona wamefanya kimya kimya hivyo R.I.PView attachment 1837507
View attachment 1837769
Wadau. Nafikiri mnamkumbuka huyu tatibu aliyekuwa maarufu Jijijini Dar Es salaam hasa miaka ya 2010 hadi 2017 .
Huyu mwamba amefariki dunia akiwa katika nyumba ya kulala wageni Jijijini Dodoma na tayari amezikwa Jijini Dar huku kukuiwa na utata wa familia ya mkewe aitwaye Riziki mwenyeji wa Kilimanjaro na ndugu wa marehemu. Mengine yatasemwa baadaye lakini tambua kuwa huyu mwamba amakwisha zikwa wiki mbili zimepita.
RIP DR Buberwa
Tazama video zake hapa.
Mbona sura yake inaonyesha ni mtu aliyekuwa na maradhi sugu kama sio ukimwi ni kisukari
Dr. Joseph K. Buberwa alikuwa Mgonjwa muda mrefu.Utata uko wapi? Hyo ni njia yetu wote
Dah! yaani mtu mwenye mke au demu mchaga lazima kuna sehemu atakuwa analia, au kuugulia maumivu ndani kwa ndani......hivi hawa manzi wanakuwa na nini hasa?
Huyo mbona alikuwa mgonjwa wa kisukari, acheni kusingizia makabila ya watu hata kwahyo picha inaonyesha mgonjwa
Watu huchekesha na kufuraisha sanaExactly dear
Afu watu wengine wanakuja kuongea porojo zisizo na maana
Kheeee embu mtupumzishe
Jirekebisheni basi, iweje msemwe nyinyi tu.......au mnaona ni sifa nzuri. Unakuta manzi ya kichaga inapiga mkwara 'usinichezee wewe hujui mimi ni mmachame'Hatunaga shida yoyote
Tuko sawa kama makabila mengine
Kama umepangiwa kufa utakufa tuu
Haihusiani na ukabila wala nini
Kwahyo kwenu watu huwa hawafi kisa sio wachagga vitu vingine huwa ni akili ndogo huamini. Mimi na wewe kufa siku moja ni lazimaUna personalize na ku-aaply selfishness kwenye relationship ambayo inatakiwa iwe driven na love, trust, respect, uvumilivu, peace, happiness, submission, high level of spirituality, mutual interests. Huwezi kuwa na quality za a respected woman ambazo kila mwanaume anazitarajia kama unaendeshwa na tabia za kijambazi kwa mwenza wako, wewe ni sawa na muuaji tu. Full stop.
Haana hakuwa Dr bali wa kujipachikaNi daktari by professional au ni kujipachika
Hafananiii
Zungumza yake dah uhai yu hai anatamka ai yu ai
Anafanania afya haikuwa sawa
Muda wake ulifika
Shukuruni Mungu kwa kila jambo
Apumzike kwa Amani