Kifo chenye utata cha mfanyakazi wa TRA, Shaba Ndoja chastua wengi, Polisi chunguzeni

Ajaugua yaani alitoka zake kupata ka wine dorstof. Mida ya SAA tatubh hivi w akanunua mahitaji take, kaeñda kulala, asubuhi wafanyakazi wakaonabmtu afungu mlango kwenda kazini yapata SAA 12 wakaenda kumwamsha wakakuta wazamani
hii ni lugha gani umeandika father?
 
Mm nakaanao hapa mwanga !!! Hawa ni piga pxmbx tuu hapana oa hizi species
 
Duh nyumba moja hlf wamegawana mapaa, mmoja juu mwingne chini!! duh haya mabati yanaficha mengi.

Ama kweli ukitaka ndoa njema hakikisha mkeo hakuzidi kipato hata kwa dakika 1.
Masikini kibao wanalala mzungu wa nne
 
Huu sio umbea na upashkuna?Kuwa jasiri ni kosa?Wewe umewahi kwenda kwake akakufukuza au umbea na majungu tu?Watanzania muache tabia za kuumizwa na maisha ya watu.
Si unajua mswahili anataka mama atoke naye akateke maji na umbeya kama hao wakwere
 
Wakipata uwezo wanatengana vyumba ukikua ndio hivyo kila mtu anahamia nyumba yake au mama anapanda upstairs
 
take easy mkuu
 
Nakuunga mkono...Kiukweli ata Mimi siwezi kuoa mwanamke wa kipare miaka 800000....labda jeshi linijie na vifaru na rocket rangers kunilazimisha..,.
 
Mshana Jr njoo huku dada zako wanasimangwa
Mkuu naona umepigwa vitasa kule umeona uje uongeze nguvu uku[emoji23][emoji23][emoji23]mamaeee....siham Jf aiseee

Na bado mnaitana....[emoji23][emoji23][emoji23]haya mkuye mkuye
 
Mkuu naona umepigwa vitasa kule umeona uje uongeze nguvu uku[emoji23][emoji23][emoji23]mamaeee....siham Jf aiseee
Hapana,huku ndo ofisin kwangu,Wala sijapigwa vitasa.Mjadala kule umenipa Data nyingi sana ambazo sikutarajia kuzipata.na naendelea kujifunza zaidi.nafikiri hata nisipoenda field tayari ni 50% ya information muhimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…