road master
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 2,064
- 3,021
Babu yangu ( marehemu )aliwahi kuniambia ukisha fikia hatua mmegombana na mke na mkalala vyumba tofauti hama hapo mahali mwachie jumba lake akae na watoto wewe tafuta kwengine ukaishi utakua salamaKumbe walishafikaa huku.?? Bhasi majanga...
Hakuna wanawake wanapigwa pumbu kirahisi kama wapare cjapata onaKwendaa huko mnajiheshimu wakat mnapigwa pumbu balaa huku mtaani
hii ni lugha gani umeandika father?Ajaugua yaani alitoka zake kupata ka wine dorstof. Mida ya SAA tatubh hivi w akanunua mahitaji take, kaeñda kulala, asubuhi wafanyakazi wakaonabmtu afungu mlango kwenda kazini yapata SAA 12 wakaenda kumwamsha wakakuta wazamani
Mm nakaanao hapa mwanga !!! Hawa ni piga pxmbx tuu hapana oa hizi speciesYaani sina hamu na wanawake wa kipare. Kuna ndugu yangu alikuwa ndiyo nguzo ya familia yao akaoa mpare. Yule mwanamke akawa na hawara akawa anamtesa sana ndugu yetu. Ndugu yetu alikuwa na cheo Kikubwa sana IDM Mzumbe akawa ametoka mkutano AICC Arusha kufika home akala chakula kesho yake hakuamka. Cha kusikitisha hata 40 haikuisha yule mwanamke akamleta yule hawara ndani Yaani nyumba aliyojenga ndugu yetu. Akaanza kutawanya watoto kupeleka upareni kwa wazazi na the only son aliishia kuishi maisha mabovu na bangi juu. Cha kustaajabisha siku ya mazishi hakulala msibani na alipoondoka hakurudi tena na alirudi baada ya zaidi ya miaka 20 akaomba akaonyeshwe kaburi la Marehemu mumewe akaomba hapo maana eti huwa anamtokea usiku. Yaani hii ni laana.
Kisa cha pili ni binamu yetu naye alioa mke mpare akawa changudoa mpaka hata akisimamia ndoa ni mpaka amdake huyo mwanaume aliyesimamia ndoa yake. Akili ya mume ikawa zuzu hata kwao hakujenga bali alijengea wazazi upareni akatupa wazazi wake. Mama yake alisema "Anayetaka kuoa mpare aoe haraka maana akishaingia kaburini hakuna kizazi chake cha kwanza hadi cha nne kitaoa mpare tena ni mwiko mkubwa mno."
Acha wivudaaaah kwa comments na kelele hizi zote bado utakuta mtu anaoa mpare au mchaga
Masikini kibao wanalala mzungu wa nneDuh nyumba moja hlf wamegawana mapaa, mmoja juu mwingne chini!! duh haya mabati yanaficha mengi.
Ama kweli ukitaka ndoa njema hakikisha mkeo hakuzidi kipato hata kwa dakika 1.
Si unajua mswahili anataka mama atoke naye akateke maji na umbeya kama hao wakwereHuu sio umbea na upashkuna?Kuwa jasiri ni kosa?Wewe umewahi kwenda kwake akakufukuza au umbea na majungu tu?Watanzania muache tabia za kuumizwa na maisha ya watu.
Afadhali ya hao wa mzungu wa nne, wanaweza kusikizana japo pumzi zao!!Masikini kibao wanalala mzungu wa nne
Kwahilo sikatai...Ila nyie wanawake wa kichaga kumtanguliza mtu mbinguni ni Kama kipaji kwenuKwendaa huko mnajiheshimu wakat mnapigwa pumbu balaa huku mtaani
take easy mkuuWewe n choko kama machoko wengine tu wa buza kwa mpalange huu ujinga wenu wa kuleta chuki ya kimakabila utawacost alafu Mod ntawashangaa sana msipofuta coment km hizi za kinnya nnya zinazowagawa watu km mtu huna cha kucoment bora ukawange.[emoji57][emoji57]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Walikufanya Nini mama..!??Binafsi nikipewa mpare na fungu la nyanya ntachagua fungu la nyanya nikapikie! Wapare ni nyoko!
Nakuunga mkono...Kiukweli ata Mimi siwezi kuoa mwanamke wa kipare miaka 800000....labda jeshi linijie na vifaru na rocket rangers kunilazimisha..,.Yaani sina hamu na wanawake wa kipare. Kuna ndugu yangu alikuwa ndiyo nguzo ya familia yao akaoa mpare. Yule mwanamke akawa na hawara akawa anamtesa sana ndugu yetu. Ndugu yetu alikuwa na cheo Kikubwa sana IDM Mzumbe akawa ametoka mkutano AICC Arusha kufika home akala chakula kesho yake hakuamka. Cha kusikitisha hata 40 haikuisha yule mwanamke akamleta yule hawara ndani Yaani nyumba aliyojenga ndugu yetu. Akaanza kutawanya watoto kupeleka upareni kwa wazazi na the only son aliishia kuishi maisha mabovu na bangi juu. Cha kustaajabisha siku ya mazishi hakulala msibani na alipoondoka hakurudi tena na alirudi baada ya zaidi ya miaka 20 akaomba akaonyeshwe kaburi la Marehemu mumewe akaomba hapo maana eti huwa anamtokea usiku. Yaani hii ni laana.
Kisa cha pili ni binamu yetu naye alioa mke mpare akawa changudoa mpaka hata akisimamia ndoa ni mpaka amdake huyo mwanaume aliyesimamia ndoa yake. Akili ya mume ikawa zuzu hata kwao hakujenga bali alijengea wazazi upareni akatupa wazazi wake. Mama yake alisema "Anayetaka kuoa mpare aoe haraka maana akishaingia kaburini hakuna kizazi chake cha kwanza hadi cha nne kitaoa mpare tena ni mwiko mkubwa mno."
Ni yeye ..ni yeye mchagaHivi mnauhakika gani huyo mwanamke mchaga?
Naona mnafokafoka tu.
mwandiko mbaya ila unaeleweka,poleni sana[emoji26]Marehemubamebakiza mwakanmmoja kustaafu, alikuwa anafanyabkazi mwenge YRA wakamrudisha makao makuu kusubiri kustaafu
Mkuu naona umepigwa vitasa kule umeona uje uongeze nguvu uku[emoji23][emoji23][emoji23]mamaeee....siham Jf aiseeeMshana Jr njoo huku dada zako wanasimangwa
Mi mwenyewe ni dada zangu Ila siwatakiMshana Jr njoo huku dada zako wanasimangwa
Hapana,huku ndo ofisin kwangu,Wala sijapigwa vitasa.Mjadala kule umenipa Data nyingi sana ambazo sikutarajia kuzipata.na naendelea kujifunza zaidi.nafikiri hata nisipoenda field tayari ni 50% ya information muhimu.Mkuu naona umepigwa vitasa kule umeona uje uongeze nguvu uku[emoji23][emoji23][emoji23]mamaeee....siham Jf aiseee