cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Umeambiwa mjane ni mgogo mwenzake, hivi hao makabila mengine ndo hawafi I don't see ur logic.Mjane ni wa kaskazini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeambiwa mjane ni mgogo mwenzake, hivi hao makabila mengine ndo hawafi I don't see ur logic.Mjane ni wa kaskazini
Stress tu hzo hujalogwa Wala Nini, mchawi wa mtu Ni mtu mwenyewekuna mwanamke nilikua naishi naye ni mrembo haswa ila kila siku nikawa naumwa tumbo yani afya haikuwa stable kabisa baada ya kugombana alivyoondoka afya yangu ikalejea na magonjwa ya tumbo nimepona sasa sijui alikua ananilisha takataka gani mchaga yule
Vp Ni mchaga Hawezi kufa kwa Corona au kuuliwa imebaki tu kikulacho?Kikulacho ki nguoni mwako
Sasa mmemsusia afu unakuja jf kulalamika!? Hivi wengine mkoje!? Ninyi wenyewe mmemtenga Sasa mtajuaje kilichotokea😠!Leo in siku ya tatu tukiwa tumegubikwa na sintomfahamu juu ya kifo hiki.
Marehemu alikuwa bukheri wa afya na alionekana Mara mwisho saa tatu na nusu alipoamua kwenda kulala alipita dukani akanunua mahitaji, asubuhi tunaambiwa Shaba Ndoja hatuko naye, ujasiri wa mke wake kumbeba yeye na mfanyakazi wa ndani bila hata kuwaita majirani wa karibu.
Mbaya zaidi hakujulisha majirani yaliyotokea. Hata mjane huyu anayefanya kazi Amref huwa hajumuiki na watu tangia alipoingia Bunju beach. Mpaka hapa wakina mama wameususia msiba kwa kuwa mwanamke aendagi kwenye misiba.
Maiti imesafirishwa leo kuelekea Dodoma kwao
Nyie vipi. Midume mnaweka avatar picha za kike halafu mnawaponda wapare. Mnachuki za kisoroBinafsi nikipewa mpare na fungu la nyanya ntachagua fungu la nyanya nikapikie! Wapare ni nyoko!
Mpaka mambo ya ndani unayajua, bahati mbaya hatuwezi kukusaidia katika hili, hatuwajui wote, na ni maisha yao.Weeee sio mchaga ni mgogo mwenzake, kila MTU yuko kivyake mpaka anakufa mama analala ghrofani baba analala chini, wangekuwa wanalala wrote kama nibheart attacks bangemsaidia
Ndio Mana kabeba maiti peke yake,atawajulisha vipi nyie majirani wanoko wakati anajua fika mmtamsusia?Mbaya zaidi hakujulisha majirani yaliyotokea. Hata mjane huyu anayefanya kazi Amref huwa hajumuiki na watu tangia alipoingia Bunju beach. Mpaka hapa wakina mama wameususia msiba kwa kuwa mwanamke aendagi kwenye misiba
Wewe ni ukoo mmoja na Pdidy?Marehemubamebakiza mwakanmmoja kustaafu, alikuwa anafanyabkazi mwenge YRA wakamrudisha makao makuu kusubiri kustaafu
Wanawake wamekuwa mashetani! Mtaani kwangu asilimia 80 ya wamama wamegawana vyumba na waume zao! Tuongeze maombi tuwakumbukena hao ma mama!Duh nyumba moja hlf wamegawana mapaa, mmoja juu mwingne chini!! duh haya mabati yanaficha mengi.
Ama kweli ukitaka ndoa njema hakikisha mkeo hakuzidi kipato hata kwa dakika 1.
Km hujui hilo la kunyakua maiti mwenyewe ndo halitamuacha salama huyo mama japo unaweza kuchukulia kitu cha kawaida. Duh watu wana roho ngumu aiseee.Ndio Mana kabeba maiti peke yake,atawajulisha vipi nyie majirani wanoko wakati anajua fika mmtamsusia?
Ona Sasa mmeshindwa hata kwenda msibani kisa mke wa marehemu hajumuiki,hapo mmemsusa marehemu sio mke,mngesubiri mke age ndio msuse
Mkuu una jina fikirishi sana.Wewe n choko kama machoko wengine tu wa buza kwa mpalange huu ujinga wenu wa kuleta chuki ya kimakabila utawacost alafu Mod ntawashangaa sana msipofuta coment km hizi za kinnya nnya zinazowagawa watu km mtu huna cha kucoment bora ukawange.[emoji57][emoji57]
Mange kimambi ni mpare piaYaani sina hamu na wanawake wa kipare. Kuna ndugu yangu alikuwa ndiyo nguzo ya familia yao akaoa mpare. Yule mwanamke akawa na hawara akawa anamtesa sana ndugu yetu. Ndugu yetu alikuwa na cheo Kikubwa sana IDM Mzumbe akawa ametoka mkutano AICC Arusha kufika home akala chakula kesho yake hakuamka. Cha kusikitisha hata 40 haikuisha yule mwanamke akamleta yule hawara ndani Yaani nyumba aliyojenga ndugu yetu. Akaanza kutawanya watoto kupeleka upareni kwa wazazi na the only son aliishia kuishi maisha mabovu na bangi juu. Cha kustaajabisha siku ya mazishi hakulala msibani na alipoondoka hakurudi tena na alirudi baada ya zaidi ya miaka 20 akaomba akaonyeshwe kaburi la Marehemu mumewe akaomba hapo maana eti huwa anamtokea usiku. Yaani hii ni laana.
Kisa cha pili ni binamu yetu naye alioa mke mpare akawa changudoa mpaka hata akisimamia ndoa ni mpaka amdake huyo mwanaume aliyesimamia ndoa yake. Akili ya mume ikawa zuzu hata kwao hakujenga bali alijengea wazazi upareni akatupa wazazi wake. Mama yake alisema "Anayetaka kuoa mpare aoe haraka maana akishaingia kaburini hakuna kizazi chake cha kwanza hadi cha nne kitaoa mpare tena ni mwiko mkubwa mno."
Ajaugua yaani alitoka zake kupata ka wine dorstof. Mida ya SAA tatubh hivi w akanunua mahitaji take, kaeñda kulala, asubuhi wafanyakazi wakaonabmtu afungu mlango kwenda kazini yapata SAA 12 wakaenda kumwamsha wakakuta wazamani
You sound kama ni mchepuko wa marehemu hivi, kwanini wasianze kukuhoji wewe maana unayajua mengi kuliko wana familia.Weeee sio mchaga ni mgogo mwenzake, kila MTU yuko kivyake mpaka anakufa mama analala ghrofani baba analala chini, wangekuwa wanalala wrote kama nibheart attacks bangemsaidia
Unagopa kusema mchaga? Kima kweliMkuu tulia unyooshe maelezo.
Je marehemu alikuwa na ukwasi wwote?
Je huyo mjane ni wa maeneo ya kule mbelembele ya Tanga au?
Yes ndiyo mara ya kwanza kabisa jamaa alikua hajawahi kufa.Ni kifo cha kwanza cha ghafla!?
Kumbe wewe ni ME aisee ndo najua leo hiikuna mwanamke nilikua naishi naye ni mrembo haswa ila kila siku nikawa naumwa tumbo yani afya haikuwa stable kabisa baada ya kugombana alivyoondoka afya yangu ikalejea na magonjwa ya tumbo nimepona sasa sijui alikua ananilisha takataka gani mchaga yule