Kifo chenye utata cha mfanyakazi wa TRA, Shaba Ndoja chastua wengi, Polisi chunguzeni

Kifo chenye utata cha mfanyakazi wa TRA, Shaba Ndoja chastua wengi, Polisi chunguzeni

kuna mwanamke nilikua naishi naye ni mrembo haswa ila kila siku nikawa naumwa tumbo yani afya haikuwa stable kabisa baada ya kugombana alivyoondoka afya yangu ikalejea na magonjwa ya tumbo nimepona sasa sijui alikua ananilisha takataka gani mchaga yule
Stress tu hzo hujalogwa Wala Nini, mchawi wa mtu Ni mtu mwenyewe
 
Leo in siku ya tatu tukiwa tumegubikwa na sintomfahamu juu ya kifo hiki.

Marehemu alikuwa bukheri wa afya na alionekana Mara mwisho saa tatu na nusu alipoamua kwenda kulala alipita dukani akanunua mahitaji, asubuhi tunaambiwa Shaba Ndoja hatuko naye, ujasiri wa mke wake kumbeba yeye na mfanyakazi wa ndani bila hata kuwaita majirani wa karibu.

Mbaya zaidi hakujulisha majirani yaliyotokea. Hata mjane huyu anayefanya kazi Amref huwa hajumuiki na watu tangia alipoingia Bunju beach. Mpaka hapa wakina mama wameususia msiba kwa kuwa mwanamke aendagi kwenye misiba.

Maiti imesafirishwa leo kuelekea Dodoma kwao
Sasa mmemsusia afu unakuja jf kulalamika!? Hivi wengine mkoje!? Ninyi wenyewe mmemtenga Sasa mtajuaje kilichotokea😠!
 
Weeee sio mchaga ni mgogo mwenzake, kila MTU yuko kivyake mpaka anakufa mama analala ghrofani baba analala chini, wangekuwa wanalala wrote kama nibheart attacks bangemsaidia
Mpaka mambo ya ndani unayajua, bahati mbaya hatuwezi kukusaidia katika hili, hatuwajui wote, na ni maisha yao.
 
Mbaya zaidi hakujulisha majirani yaliyotokea. Hata mjane huyu anayefanya kazi Amref huwa hajumuiki na watu tangia alipoingia Bunju beach. Mpaka hapa wakina mama wameususia msiba kwa kuwa mwanamke aendagi kwenye misiba
Ndio Mana kabeba maiti peke yake,atawajulisha vipi nyie majirani wanoko wakati anajua fika mmtamsusia?
Ona Sasa mmeshindwa hata kwenda msibani kisa mke wa marehemu hajumuiki,hapo mmemsusa marehemu sio mke,mngesubiri mke afe ndio msuse
 
Duh nyumba moja hlf wamegawana mapaa, mmoja juu mwingne chini!! duh haya mabati yanaficha mengi.

Ama kweli ukitaka ndoa njema hakikisha mkeo hakuzidi kipato hata kwa dakika 1.
Wanawake wamekuwa mashetani! Mtaani kwangu asilimia 80 ya wamama wamegawana vyumba na waume zao! Tuongeze maombi tuwakumbukena hao ma mama!
 
Ndio Mana kabeba maiti peke yake,atawajulisha vipi nyie majirani wanoko wakati anajua fika mmtamsusia?
Ona Sasa mmeshindwa hata kwenda msibani kisa mke wa marehemu hajumuiki,hapo mmemsusa marehemu sio mke,mngesubiri mke age ndio msuse
Km hujui hilo la kunyakua maiti mwenyewe ndo halitamuacha salama huyo mama japo unaweza kuchukulia kitu cha kawaida. Duh watu wana roho ngumu aiseee.
 
Wewe n choko kama machoko wengine tu wa buza kwa mpalange huu ujinga wenu wa kuleta chuki ya kimakabila utawacost alafu Mod ntawashangaa sana msipofuta coment km hizi za kinnya nnya zinazowagawa watu km mtu huna cha kucoment bora ukawange.[emoji57][emoji57]
Mkuu una jina fikirishi sana.

Hivi kwa kukadiria pensheni ya mstaaf wa TRA ni kama ngapi vile? maana imesemwa kumbe alikuwa anaelekea kustaafu.

Ila nyny watu matata sasa[emoji23][emoji23][emoji23].

Asalamalekho bwana/bibi wewe.
 
Yaani sina hamu na wanawake wa kipare. Kuna ndugu yangu alikuwa ndiyo nguzo ya familia yao akaoa mpare. Yule mwanamke akawa na hawara akawa anamtesa sana ndugu yetu. Ndugu yetu alikuwa na cheo Kikubwa sana IDM Mzumbe akawa ametoka mkutano AICC Arusha kufika home akala chakula kesho yake hakuamka. Cha kusikitisha hata 40 haikuisha yule mwanamke akamleta yule hawara ndani Yaani nyumba aliyojenga ndugu yetu. Akaanza kutawanya watoto kupeleka upareni kwa wazazi na the only son aliishia kuishi maisha mabovu na bangi juu. Cha kustaajabisha siku ya mazishi hakulala msibani na alipoondoka hakurudi tena na alirudi baada ya zaidi ya miaka 20 akaomba akaonyeshwe kaburi la Marehemu mumewe akaomba hapo maana eti huwa anamtokea usiku. Yaani hii ni laana.

Kisa cha pili ni binamu yetu naye alioa mke mpare akawa changudoa mpaka hata akisimamia ndoa ni mpaka amdake huyo mwanaume aliyesimamia ndoa yake. Akili ya mume ikawa zuzu hata kwao hakujenga bali alijengea wazazi upareni akatupa wazazi wake. Mama yake alisema "Anayetaka kuoa mpare aoe haraka maana akishaingia kaburini hakuna kizazi chake cha kwanza hadi cha nne kitaoa mpare tena ni mwiko mkubwa mno."
Mange kimambi ni mpare pia
 
Ajaugua yaani alitoka zake kupata ka wine dorstof. Mida ya SAA tatubh hivi w akanunua mahitaji take, kaeñda kulala, asubuhi wafanyakazi wakaonabmtu afungu mlango kwenda kazini yapata SAA 12 wakaenda kumwamsha wakakuta wazamani
Weeee sio mchaga ni mgogo mwenzake, kila MTU yuko kivyake mpaka anakufa mama analala ghrofani baba analala chini, wangekuwa wanalala wrote kama nibheart attacks bangemsaidia
You sound kama ni mchepuko wa marehemu hivi, kwanini wasianze kukuhoji wewe maana unayajua mengi kuliko wana familia.
 
kuna mwanamke nilikua naishi naye ni mrembo haswa ila kila siku nikawa naumwa tumbo yani afya haikuwa stable kabisa baada ya kugombana alivyoondoka afya yangu ikalejea na magonjwa ya tumbo nimepona sasa sijui alikua ananilisha takataka gani mchaga yule
Kumbe wewe ni ME aisee ndo najua leo hii
 
Back
Top Bottom