Kigamboni: Moshi mkubwa watanda winguni na kuleta taharuki

Kigamboni: Moshi mkubwa watanda winguni na kuleta taharuki

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,171
Reaction score
4,295
Kuna moshi mkubwa Kigamboni na inasemekana ni reserve ya mafuta inaungua.

Inatengenezwa scarcity?

2.jpg

11.JPG

===

Kuna Magari Mawili yalikuwa yamepaki karibu na Tanzania International petroleum Reserves(TIPER), inaonekana Betri zilipata hitilafu moto ukatokea. Hivyo magari yote mawili yakashika moto.

Ukiangalia kwa mbali moshi unaonekana upo TIPER, ila moto wala haujasogelea. Ile sehemu wanamwaga mafuta machafu ndo maana moshi ukawa Mkubwa.
 
Hujuma..ili sasa apewe tenda mmoja ajitengnezee utajiri wa kutisha kupitia jasho la watanzania
 
Moto wa mchongo....watu wako kazini..kesho waziri anakuja na statement mafuta hamna Hadi Mwezi wa Tano..
 
Back
Top Bottom