Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
Ajali kama ajali zingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahah itakuwa chanzo ni Hypersonic Missiles za mrusi zimedondokea kwenye kisima cha mafuta kigamboni😂Mhusika mkuu wa huo moto itakua ni vita ya Ukraine.
Maana hii serikali kazi yake ni kuhamisha lawama kwa Ukraine.
Huu moto pia tutaambiwa chanzo ni ile vita ya urusi
Kwamba Sababu Ya Huo Moshi Ni VitaHangaya kapata kisingizio
Daah hiii nchi ngumuKuna moshi mkubwa Kigamboni na inasemekana ni reserve ya mafuta inaungua.
Inatengenezwa scarcity?
bila hurumaHujuma
Uuawe wakati umejificha nyuma ya keyboard ? Jitokeze hadharani uanzishe movement kuonesha hisia zakoWatanzania wenzangu, Hawa watawala tunawachekea sana. Ukisoma comment nyingi zinaonyesha namna gani tulivyowapumbavu narudia tena watanzania sisi ni wapumbavu sana, tena mazuzu kabisa...Mambo ya msingi sana sisi ni kuyachekea chekea tu. Hawa watawala hasa chama tawala hakipaswi kuwa madarakani mpaka leo.
Mkitaka kuniua kwa comment yangu hii NIUENI ila huo ndiyo UKWELI.
At least this is news though it is bad news. Kwanini magari 2 yawe na hitilafu halafu ya paki tiper?Kuna Magari Mawili yalikuwa yamepaki karibu na Tanzania International petroleum Reserves(TIPER), inaonekana Betri zilipata hitilafu moto ukatokea. Hivyo magari yote mawili yakashika moto.
Ukiangalia kwa mbali moshi unaonekana upo TIPER, ila moto wala haujasogelea. Ile sehemu wanamwaga mafuta machafu ndo maana moshi ukawa Mkubwa.
aisee!!Wamerudi
Mbona teyari Lita ni 3000Lita itafika 3000 sasa!