Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi tanker nitasimulia baadae kilichotokea jana nilishinda nazo kumbe ndio ilikuwa mara ya mwisho kuzionaTaarifa ni kwamba kuna matenka ya mafuta yameungua moto maeneo ya mbuyuni/vijibweni(barabara ya kurlekea daraja la kigamboni)
Wanafidia hasara waliyopata kule awamu nyinhineMateja wa awamu ya sita siyo watu japo wana roho-wamechoma TAZAMA Depot!!!
Malori tu jimoto lote hilo!!ITV wameirusha wanasema ni maroli mawili yakusafirishia mafuta ndio yameungua
Ghala la mafuta machafu ndilo limewaka moto huku magari mawili yaliyokuwepo karibu na eneo la tukio nayo yakateketeaITV wameirusha wanasema ni maroli mawili yakusafirishia mafuta ndio yameungua
Zambia wana refinery, sisi hatuna, kwanini?Ghala la mafuta machafu ndilo limewaka moto huku magari mawili yaliyokuwepo karibu na eneo la tukio nayo yakateketea
Waziri husika atajibuZambia wana refinery, sisi hatuna, kwanini?
Kumbe tatizo lilianzia kwa hayo matanka kuwa karibu na wewe [emoji378].Hizi tanker nitasimulia baadae kilichotokea jana nilishinda nazo kumbe ndio ilikuwa mara ya mwisho kuziona
Kujiuzulu ni Ulaya sahau hilo bongoHii wizara haimtaki kabisa makamba, anafanya nini ofisini hadi muda huu ni bora akajiuzulu kujijengea heshima.
Utawasikia wapuuzi wakisema sababu ni watu kula mchana, tunakataa kufunga.Kuna moshi mkubwa Kigamboni na inasemekana ni reserve ya mafuta inaungua.
Inatengenezwa scarcity?
===
Watu waliongea sana jana baada ya hii taharuki eti kwamba watu hawafungi ndiyo maana umekuja moshi wa kiama. Kumbe ndiyo huu?Kuna moshi mkubwa Kigamboni na inasemekana ni reserve ya mafuta inaungua.
Inatengenezwa scarcity?
===