Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania wenzangu, Hawa watawala tunawachekea sana. Ukisoma comment nyingi zinaonyesha namna gani tulivyowapumbavu narudia tena watanzania sisi ni wapumbavu sana, tena mazuzu kabisa...Mambo ya msingi sana sisi ni kuyachekea chekea tu. Hawa watawala hasa chama tawala hakipaswi kuwa madarakani mpaka leo.
Mkitaka kuniua kwa comment yangu hii NIUENI ila huo ndiyo UKWELI.
Bado hawatosheki na 2885Wahuni wanataka watengeneze scarcity.
Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake , They said
Liquidiiiiiiiiii! Konki Fire 🔥Amamu hii ni fayaaa 🔥🔥🔥🔥🔥
Unapatikana maeneo gani mkuu!!Watanzania wenzangu, Hawa watawala tunawachekea sana. Ukisoma comment nyingi zinaonyesha namna gani tulivyowapumbavu narudia tena watanzania sisi ni wapumbavu sana, tena mazuzu kabisa...Mambo ya msingi sana sisi ni kuyachekea chekea tu. Hawa watawala hasa chama tawala hakipaswi kuwa madarakani mpaka leo.
Mkitaka kuniua kwa comment yangu hii NIUENI ila huo ndiyo UKWELI.
Hujuma
Wanaipiga KWELI KWELI.....Mafisadi yanaitafuna nchi
Imeshafika kwa baadhi ya mikoa..Lita itafika 3000 sasa!
Niko Maweni hapa hakuna taarifa zozote za motoMkuu Yericko Nyerere tunaomba taarifa za huo moto unaowaka Kigamboni ni nini kimetokea.
Maendeleo hayana vyama!
Kwani unahabari Gani Jo?Mkuu Yericko Nyerere tunaomba taarifa za huo moto unaowaka Kigamboni ni nini kimetokea.
Maendeleo hayana vyama!