Kigamboni: Watuhumiwa kutandaza mabomba na kuiba mafuta yanayoenda bandarini

Au uuze Madawa ya kulevya!!
 
Mimi lawama zote nazielekeza kwa vyombo vyetu vya ulinzi na Usalama! Wamekua na double standard katika kazi zao! Wao kutwa nzima kuvamia vibanda vya Gongo,lakina crime kubwa Kama hizo wanakua vipofu eti hawazioni kabisa!! Kumbe wameshapigwa na uchawi wa kizungu!!
 
Umewaza nje ya box saana. Ila mwizi shikamoo nimekukubali siyo wezi wetu wanang'ang"ania Tv huku street
Hao wa vi TV siyo wezi,hao ni wadokozi tu,na police ndiyo hapo kwa vidokozi ndiyo wanajifanya wanafanya kazi sana!!
 
huyu jamaa kaishi miaka 2 pale, ina maana ni lazima alishirikiana na vigogo kutekeleza hilo - ule ni mtandao mkali mno, inahusisha idara nyingi sana kufanikisha wizi huo wa ma-Trillion ya fedha ingekuwa lelemama angedakwa mapemaa kabla hata hajaanza.

Kwanza sidhani kama jamaa bado yupo Kigamboni, nafikiri sasa hivi yuko zake mitaa ya Kongo ama Somalia... Badala ya kupambana na lina Lissu wasio na madhara yoyote - Mzee alitakiwa aelekeze vita yake na nguvu yake huku sasa !!
 
Polisi wakiongezewa mshahara na incentives mbalimbali mfano makaz bora ah niko na uhakika hakuna jambaz atakaye katiza .....polisi wana jua mishe naa wapiga mishe izo
Toshekeni na Mishahara yenu! Maandiko yanasema hivyo!!
 
Na ukitaka kujua huu ni mtandao mkubwa,hii issue nayo itapotea tu hewani na wala hatutajua mwisho wake,hiyo ndiyo imetoka ndukii!!
 
Shida ya mwendazake alikuwa anatuficha mno ili asichafuke
π™Ίπš πšŠπš“πš’πšŒπš‘πš˜ πš•πšŠπš”πš˜ πš•πšŠπš”πš’πš—πš’ πš–πš’πš–πš’ πš—πšŠπš˜πš—πšŠ πšŠπš•πš’πš”πšžπš πšŠ πš–πšžπš πšŠπš£πš’ πš–πš—πš˜ πš–πšπšŠπš—πš˜ πš”πšŠπšπš’πš”πšŠ πš’πšœπšœπšžπšŽ 𝚒𝚊 π™ΆπšŠπšœ πš—πšŠ π™±πšŠπš—πšπšŠπš›πš’ 𝚒𝚊 π™±πšŠπšπšŠπš–πš˜πš’πš˜ πšœπš’πš—πšŠ πš‘πšŠπš”πš’πš”πšŠ πš”πšŠπš–πšŠ πš”πšžπš—πšŠ πšπšŠπš’πšœ πšŠπš—πšπšŽπš πšŽπš£πšŠ πš”πšžπšœπšŽπš–πšŠ πš”πš πšŠ πšžπš πšŠπš£πš’ πš”πš’πšŠπšœπš’ πš”πš’πš•πšŽ.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kifupi watu wanataka kuwa na Raisi ambaye atakuwa wa mteremko,sasa ngojea naye Samia akaze uone maneno atakayosemwa,kwani umeshasahau walivyokuwa wanampondea Kikwete?ilionekana hakuna Raisi katili kama yeye,leo hii Kikwete anaonekana malaika,nadhani hii ndio nature ya binadamu tusiwalaumu sana...
 
Hiyo mimba ya mwendazake utazaa lini?
 
Kosa lake ni kutuficha kila kitu. Ww ndani ya miaka mi5 uliwahi kusikia wizi? Unafikiri wiz haukuepo?
πš†πš’πš£πš’ πšžπš•πš’πšœπšŽπš–πš πšŠ 𝚊𝚝𝚊 π™ΆπšŠπš£πšŽπšπš’ πš•πšŠ πšπšŠπš’πšŠ π™Όπš πšŽπš–πšŠ πš•πš’πš•πš’πš πšŠπš‘πš’ πš”πšžπšŠπš—πš’πš”πšŠ πš“πš’πš—πšœπš’ πš–πšŠπšπšžπšπšŠ πš’πšŠπš—πšŠπšŸπš’πš˜πš’πš‹πš πšŠ πš”πšžπš•πšŽ π™±πšŠπš—πšπšŠπš›πš’πš—πš’ πš—πšŠ π™ΌπšŠπšπšž πš‘πšžπš’πš˜ πšŠπš”πšŠπš•πš’πšœπš’πšπšž.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimeona hiyo taarifa Jana kupitia kituo cha Chanel ten kwakweli inatisha!!!

kweli Jeshi letu la polisi wilaya zote za DSM tunawaomba wafanye kazi zao kwa uadilifu ili kubaini aina zote za uhalifu zinazo endelea ktk jiji hili la dsm.

Operesheni tokomeza uhalifu iendelee
 
Watu wataacha vipi hiyo michezo wakati wakishikwa adhabu yake ni ndogo tu, halafu tatizo ni kubwa lakini tunalipa attention ndogo sana.

Ulaya nishati ni agenda number moja ya national security; heh yaani we ukiivamia nchi yeyote ya ulaya mahala ambapo utakutana midege imejipanga inakusubiri na kila ya aina ya kombora linakusubiri ni kwenye storage zao za mafuta, vituo vya kuzalisha umeme, pipeline za mafuta na gas. Ukipiga ivyo vitu jeshi aliendi popote, nchi aizalishi chochote, chakula na bidhaa zingine aziendi popote ni umeshinda vita.

Yaani mtu kabisa anaweza fikia pipeline za mafuta Tanzania dah, tena mtu tu wakawaida aisee; nyie watu huo mchezo wa national security narudia tena ni wa vipanga you are not serious.

Mtu tu wa kawaida anawezaje fikia kitu sensitive kama icho kwenye maswala ya national security na ku tamper na miundombinu yake na wala umuoni waziri wa mambo ya ndani hapo au jeshi kuogopa tukio hilo.

Mjomba hilo swala nchi za wenzetu utafanywa mfano mtu mwingine asifikirie tena kujaribu.

Yaani we jua siku Tanzania ikiingia vitani sehemu ya kwanza adui anayoanza nayo ni hayo mafuta ya bandarini na bomba ya Kinyerezi sasa zalisha umeme wako wote sehemu moja uone shughuli yake ya kukutangwa itakavyokuwa rahisi. Utabaki na migari ya jeshi na ndege zisizoweza kwenda popote, narudia tena yaani mtu anachezea bomba la mafuta yanayoingia nchini aisee.
 
nimeona hiyo taarifa Jana kupitia kituo cha Chanel ten kwakweli inatisha!!!

kweli Jeshi letu la polisi wilaya zote za DSM tunawaomba wafanye kazi zao kwa uadilifu ili kubaini aina zote za uhalifu zinazo endelea ktk jiji hili la dsm.

Operesheni tokomeza uhalifu iendelee ktk maeneo yote ya jiji la dsm
 
Sukuma wahaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…