Kigamboni: Watuhumiwa kutandaza mabomba na kuiba mafuta yanayoenda bandarini

Sawa DC kazi nzuri, ila kajifunze namna ya kujieleza vizuri na kuwa na mpangilio mzuri wa maneno
 
Nadhani serikali inatakiwa kufunga mita mwanzoni na mwisho mwa mabomba yake, hiyo itasaidia kujua kama kiasi cha mafuta kinachoingizwa toka kwenye meli ni kilekile kinachotoka kwenda kwenye matank
 
huu wizi ni hatari tupu. yaani hao ni mafia.
unapaswa uchunguzwe na wataalamu walio bobea na waadilifu.

lkn jambo lililo nishangaza iweje yadi kubwa kama ile polisi wafanye ambushi bila kukamata mtu hata mmoja, hata mlinzi hakuwepo!!! kuna watu miongoni mwa si waadilifu, kuna njama za hali ya juu, IGP ingilia kati na utoe maelekezo ya namna ya ku deal na uhalifu wa namna hiii.
 
Kwahio kwenye hio destination walikuwa hawashituki kuona loss ya ujazo wa lita za kutosha kutoka mzigo unaoingia na kupimwa na unaofika kwenye matenki ?
 
Kweli bado tuko nyuma sana au ndio njia za kupumbaza watu

Hapo kabla ya kuingia hapo ilikuwa waweke makachero na kupiga picha za kurekodi mienendo yote na ni nani anaingia na kutoka
Wangefanikisha kumdaka Boss mwenyewe kiulaini ila sasa kufanya hivyo maana yake ni kumwambia Boss kimbia kimeumana

Nionavyo hapa hakuna kitu watakamatwa walinzi na mwenye nyumba tu
Labda wawe na njia zingine za kumuwinda huyo Don
 
Sasa Magufuli anahusikaje hapo. Hao si wezi Kama wezi wengine au kosa lake ni kule kupiga vita wizi kwa maslahi ya taifa. Lazima tukubali alijitahidi kwa uwezo wake ila haizuii ukweli kwamba kuna wachache walikuwepo bado ambao mmoja wapo ni hawa
Hili limefanyika chini ya utawala wake
 
Wewe ni mpumbavu.

Kwani nani alikwambia nami ni fisadi/mhujumu/msaliti wa nchi yake?
Wewe sio fasadi/mhujumu/msaliti wa nchi yako, basi kaa kwa kutulia na utulivu wenzako wakipiga madili mazito kama hayo
 
Vitakua vidole vya chato labda
 
Hawa wezi ,Basi wakamatwe kwanza mali zao zote zitaifishwe, pili walipe pesa ya lita 60 kila siku KWA miaka miwili na nusu the wapewe cheti Cha wezi bora Tz ,wasifungwe
 
Mimi nimeshangaa pia ili swala limeongozwa na DC bila shaka huu mchezo uko Known, Bongo tuancheza sana aisee juzi kuna pipeline fulani zilikuwa hacked kule US kwenye states fulani, na hio state ika declare state of Emergency, Sisi hatuna attention na nishati soma hata National policy ya nishati utajiona, tunasahau bila nishati hata ulinzi hauwezekaniki
 
Mtandao mkubwa sana, lazima kuna watu walikuwa wanafaudu, kuanzia polisi mpaka TRA, documents za kutembeza lori la mafuta na manunuzi na mapato, utafoji mara 1,1, huwezi kufoji kila siku.

Duuh hii nchi tajiri. Kwerrriiii kweeerrii
Sasa tutakodisha maeneo yetu kweli??

Everyday is Saturday.............................. 😎
 
Mkuu kwa kigambon Kuna mengi sana yanaendelea huko hili mbona ndogo Sana tukisema tumwage mboga hapa wengne kesho tu tutaitwa marehemu kutokana na mfumo wa nchi yetu kutokulinda watoa Siri
Mkuu, tafuta anonymous method ureport izo taarifa huo ndio ulinzi wa taifa letu, trust me wapo waliopewa dhamana na ni watiifu sana
 
Wewe ni mmoja wapo.
Mtakomeshwa, hatuwezi kuendelea kuiona nchi yetu ikichezewa na vilaza kama nyinyi.
Hahaha sawa mkuu kalamu1 baki na akili zako tuache sisi vilaza tuangalie jinsi ya kuishi hapa mjini
 
Magu mwizi yeye ndio kajaza vibaka ndani ya system,dada punguza genye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…