Kigogo2014 lazima awe mtu wa maana

Umewaza kiukweli kbsa kunawatu wamo ndani wanampa taarifa kwa nje a wapo karibu saaana na ikulu serikali ikowa makini wanamkamata huyu kiurahisi watafute wataalam wa Israel wiki moja tu mikononi.
 
una kiherehere sana kijana. unawashwa-washwa.
 
Kigogo hayuko nchini niskize mimi
 
Mkuu, nashukuru kwa maoni yako, sijanunua kesi, ila nimejaribu kuchora picha tuu
Unataka kupata umaarufu kwa kuanikwa au kutukanwa na Kigogo. Si mmoja kama hujui. Kuna watu zaidi ya wawili na uandishi unatofautiana mwingine anaandika kiswahili kibovu sana na hauoneshwi kama ni smart kichwani.

Hana elimu kubwa anatumiwa na watu taarifa anaandika. Mwingine ana Elimu ya It naye si mtulivu na si mjuzi wa lugha.in short ni type za akin mange na wewe mwandishi ambaye hujui umeweka na namba yako ya sioni tuzidi kukuona bwege
 
Kigogo ni mtu mwenye pesa sanaa yan an huo mtandao unampa taarifa anaupa hela ndef Tu an hayupo nchini.. Ana namba ake ukijarib kuitumia pesa ina jina ''tigo pesa'' sasa jiulize nan alimsajilia na alilipwa tshngap
Hahaha eti TIGO PESA
 
Hakuna siri anazotoa,siku akitoa siri ndiyo utafahamu kama wanaweza au hawawezi.PESA ILIMNUNUA SADAM NA OSAMA haiwezi shindwa kumnunua kigogo,tena atauzwa na mtu wake wa karibu.
mkuu tatzo huyo MTU wa karibu nae anajua huyu ndo kigogo 😅.. maana mi
Sijawai kuskia mtu jina lake ni kigogo Tanzania hii..
Kazi bado ipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…