Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Yani ndo nachoka [emoji1787]Hahaha eti TIGO PESA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani ndo nachoka [emoji1787]Hahaha eti TIGO PESA
Kama mainformer wapo nchini Wana muinform vipi bwana kigogo, path zao za information haziwezi kua traced mpaka kwa destination ..Anaepost ndo hayupo nchini ila wanaompa Taairfa wapo nchini
Kama meko mpaka anafariki hajampata kama lugola anatumbuliwa hakumpata kama kipilimba anaondoka kwenye idara hajampata huyu kumpata kwa sasa ni kaziKigogo amekua Osama bin laden wa Tz.
Siku zake zinahesabika, ila na nyie wa lumumba mbadirike.!
Wangekuwa wengi kwa wabongo wangekuwa wameshaachana njiaExactly kabisa kigogo yumo ndani ya Serikali.
Tena si mmoja ni wengi
Acha ujinga.Ukijiona unagombana na kila mtu jua wewe ni zero kabisa na unatatizo
Unajikuta mjuaji hatariAcha ujinga.
Bbc ilitoa tu makala kwa njia ya maandishiTuwekee sauti yake
Ni swala la makubaliano tu.Wangekuwa wengi kwa wabongo wangekuwa wameshaachana njia
Muelezee yeye ni mtu wa aina gani?Hiyo ni picha tuu, kama vile ukiambiwa umuelezee mtu usiyemjua kwa kusoma maandishi yake, mfano wewe naweza kukuelezea kwa jinsi ya unavyoandika
Ulikuwa nami Taikon
HahahahHii kumtafuta Kigogo kwa Picha ya Katuni ya Jay Z ni sawa na kumtafuta Shetani kwa Picha ya Yesu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huu Uzi ulifutwa umeuleta tena, ActiveVigogo wapumulia mashine ni baada ya kupigwa chenga ya tobo huku wakilambwa za uso.
Mara pap vigogo wanachungulia teuzi mara pap vigogo hawaoni majina yao mara pap vigogo wanaanza kuhema kwa kasi mara pap vigogo leo usingizi hawapati.
Ni nomaa yaani mama bhana.
Hivi wakuu ulishawai kuihisi ile presha wakati wakati wakuangalia matokeo ya NECTA form four. Ile presha vipi, vigogo wanaijua vizuri ngoja wakomenti.
Washa tairiwa bila ganzi hao.....Wapo ICU, wakipata nafuu wataanza matusi ya nguoni kama kawaida zao.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Vigogo wanajitafutia Magonjwa ya presha wenyewe lakini. Hakika Mungu huwa hashindwi. Amechukua kaweka waaaaaaaaWapo ICU, wakipata nafuu wataanza matusi ya nguoni kama kawaida zao.
Vigogo wapumulia mashine ni baada ya kupigwa chenga ya tobo huku wakilambwa za uso.
Mara pap vigogo wanachungulia teuzi mara pap vigogo hawaoni majina yao mara pap vigogo wanaanza kuhema kwa kasi mara pap vigogo leo usingizi hawapati.
Ni nomaa yaani mama bhana.
Hivi wakuu ulishawai kuihisi ile presha wakati wakati wakuangalia matokeo ya NECTA form four. Ile presha vipi, vigogo wanaijua vizuri ngoja wakomenti.