Kigogo2014 lazima awe mtu wa maana

Kigogo2014 lazima awe mtu wa maana

Anaepost ndo hayupo nchini ila wanaompa Taairfa wapo nchini
Kama mainformer wapo nchini Wana muinform vipi bwana kigogo, path zao za information haziwezi kua traced mpaka kwa destination ..
Bado Kuna vitu kuhusu huyu MTU anaitwa KIGOGO vinafkirisha Sana..
Nadharia nyingi zinazozungumzwa kumhusu bado unaona Kuna loop za huyu mtu kujulikana mbona hajulikani ..
Mimi siamnin Kama yupo nje huyu mtu .. mfano :
Umepoteza pesa yako unambiwa walochkua wamo mule ndani ukienda kuchungulia unamuona mzee wako na baba mkwe lazma urudi kwa alokuambia umulize Tena alisema walochkua wako wapi..utashindwa t kuuliza.
 
Kigogo hayupo hapa nchini!

Mwanzo kabisa wakikuwa wanamtumia Mange ila baadae wakahamia kwa kigogo.

Bbc walimhoji nafikiri ni mwaka jana lakini hawakutaja jina lake halisi.
 
Kigogo amekua Osama bin laden wa Tz.

Siku zake zinahesabika, ila na nyie wa lumumba mbadirike.!
Kama meko mpaka anafariki hajampata kama lugola anatumbuliwa hakumpata kama kipilimba anaondoka kwenye idara hajampata huyu kumpata kwa sasa ni kazi
 
Kijana umeandika saana ila ni mtu ambaye unapagawa kirahisi saana.... Huyo ni mtu tu kama wewe na hana uwezo wowote wa kipekee kama unavyohisi....

Suala la ugumu wa kukamatwa kwake ni siasa tu na kutokuwa serious na msako...
Security anayo ila sio ya kumfanya ashndkane kupatikana. Ni pimbi tu na utakuja kuamini one day
 
Vigogo wapumulia mashine ni baada ya kupigwa chenga ya tobo huku wakilambwa za uso.

Mara pap vigogo wanachungulia teuzi mara pap vigogo hawaoni majina yao mara pap vigogo wanaanza kuhema kwa kasi mara pap vigogo leo usingizi hawapati.

Ni nomaa yaani mama bhana.

Hivi wakuu ulishawai kuihisi ile presha wakati wakati wakuangalia matokeo ya NECTA form four. Ile presha vipi, vigogo wanaijua vizuri ngoja wakomenti.
 
Vigogo wapumulia mashine ni baada ya kupigwa chenga ya tobo huku wakilambwa za uso.

Mara pap vigogo wanachungulia teuzi mara pap vigogo hawaoni majina yao mara pap vigogo wanaanza kuhema kwa kasi mara pap vigogo leo usingizi hawapati.

Ni nomaa yaani mama bhana.

Hivi wakuu ulishawai kuihisi ile presha wakati wakati wakuangalia matokeo ya NECTA form four. Ile presha vipi, vigogo wanaijua vizuri ngoja wakomenti.
Huu Uzi ulifutwa umeuleta tena, Active
 
Vigogo wapumulia mashine ni baada ya kupigwa chenga ya tobo huku wakilambwa za uso.

Mara pap vigogo wanachungulia teuzi mara pap vigogo hawaoni majina yao mara pap vigogo wanaanza kuhema kwa kasi mara pap vigogo leo usingizi hawapati.

Ni nomaa yaani mama bhana.

Hivi wakuu ulishawai kuihisi ile presha wakati wakati wakuangalia matokeo ya NECTA form four. Ile presha vipi, vigogo wanaijua vizuri ngoja wakomenti.

Hao vigogo na Bashiri yumo?

Hiiiiii bagosha!
 
Back
Top Bottom