CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,474
Acha tu mkuu kama mimiSijui nikomenti au niache tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tu mkuu kama mimiSijui nikomenti au niache tu
Kweli bhanaAcha tu mkuu kama mimi
Wasukuma wengi madish yao huyumba has a kipindi cha nvua.Kwa hiyo leo Bashiri atalala usingizi mnono sana eeh?
Jaffo, Kabundi, yule wa TPA, na yule paymaster pia?
Umepata cha afande selemani nini mkuu?
Tayari washaanzaWapo ICU, wakipata nafuu wataanza matusi ya nguoni kama kawaida zao.
Nakuona Veronica ulivyofurahi mwenyeweVigogo wapumulia mashine ni baada ya kupigwa chenga ya tobo huku wakilambwa za uso....
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nakuona Veronica ulivyofurahi mwenyewe
Nimecheka balaa jaman dah...sasa hv ni manyanyaso kwakwenda mbele dah🤣🤣🤣🤣Wasukuma wengi madish yao huyumba has a kipindi cha nvua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]What a Taikon [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu hii Taikon ina uhusiano wowote na Tycoon?
Waandishi wa habari hao usiwataje kabisa hamna kitu kabisaHivi naomba nikuulize swali!
Kati ya kigogo na waandishi wa habari Nani mwenye kutoa taarifa latest na za kuaminika? Kwa sababu wanahabari walishafungwa midomo so hakuna mtu ana kazi nao kwa sasa
😀😀😀 watu wanapoteanaKigogo kama kigogo anasumbua vichwa balaa
Kwahiyo Kigogo sio taasisi? Kama Kigogo ni taasisi, iweje watu wengi wawe na sifa za mtu mmoja?Whistleblower wetu maarufu ambae hutupatia zile news zenyewe za chini ya kapeti ndugu Kigogo au Bwana fulani, na kwa jinsi Watanzania tunavyopenda habari fukunyuzi, katika kipengele hicho ametukosha wengi...
Watu mnajua kuunganisha dot..!!Serikali ilihisi huyo Kigogo ni Zitto, wakamtwka yuke mkenya Raphael akiyekuwa msaidizi wa Zitto akawapa mpaka password zake.
Wakaishia ku-tweet tu, halafu bila bila.