Amini hiki, wenye kazi yao wameshamjua kigogo ni nani na wanaomjua washajua kama wenye kazi yao wanamjua.
Tatizo mna vi underestimate vyombo vyenu vya ulinzi na usalama ilhali ndy vinavyofanya mlale na kuamka salama.
Umesema kigogo ni mwana CCM na hajawahi kuwa upinzani hapo upo sahihi kabisa ila watu hawajaelewa,Iko hivi kigogo ni mwanachama wa ccm toka muda ila utawala wa magu ulimfanya kuwa adui haimaanishi aliichukia ccm ila alimchukia mtu aliyekuwa anaiongoza ccm.
Yote tisa ila mnaweza kushangaa kama nikisema kigogo ni Mwanamke,huyo kigogo ana mida yake ya kuwa hewani inawaje watu huwa wanasema yuto masaa yotehewani ila so kweli hiyo midsa apokuwa hayupo hewani huko alipo huwa ni alfajili mida ya kuamka na kuianza siki
Nimalize kusema kigogo ni smart kweli ila ni mwanamke.
πππ
πππ
Acha uongo π kigogo si mwanamkeUmesema kigogo ni mwana CCM na hajawahi kuwa upinzani hapo upo sahihi kabisa ila watu hawajaelewa,Iko hivi kigogo ni mwanachama wa ccm toka muda ila utawala wa magu ulimfanya kuwa adui haimaanishi aliichukia ccm ila alimchukia mtu aliyekuwa anaiongoza ccm.
Yote tisa ila mnaweza kushangaa kama nikisema kigogo ni Mwanamke,huyo kigogo ana mida yake ya kuwa hewani inawaje watu huwa wanasema yuto masaa yotehewani ila so kweli hiyo midsa apokuwa hayupo hewani huko alipo huwa ni alfajili mida ya kuamka na kuianza siki
Nimalize kusema kigogo ni smart kweli ila ni mwanamke.
πππππππππππAcha uongo π kigogo si mwanamke
Narudia tena kigogo ni mwanamke sio mwanaume, Nilimpinga mapema huyu aliyeleta huu uzi kutaka kutuaminisha kwamba kigogo ni January Makamba lakini nilimwambia wazi kigogo sio huyu unayemfikilia, sasa kinachoendelea atakuwa ameamini.Acha uongo π kigogo si mwanamke
For your information kigogo si Mwanamke Nina maana na sababu zangu naishia hapaNarudia tena kigogo ni mwanamke sio mwanaume, Nilimpinga mapema huyu aliyeleta huu uzi kutaka kutuaminisha kwamba kigogo ni January Makamba lakini nilimwambia wazi kigogo sio huyu unayemfikilia, sasa kinachoendelea atakuwa ameamini.
ww huwa naona ni mjuaji anayetaka kuaminiwa kwa kile anachoamini na sio jinsi kilivyo, Mimi sibahatishi nilizungumza hili zaidi ya miaka miwili iliyopita hata leo nasema kile kile kigogo ni mwanamke.For your information kigogo si Mwanamke Nina maana na sababu zangu naishia hapa
Britanicca